Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mpaka mkaka akaomba pesa kwa mwanamke huyo nae anashida aiseee..Hata wakaka baadhi yao ni ovyoo wanaomba hela, wanataka vitu ambavyo kiuhasilia hakunaga . Jamani hadi keroo . Halafu ukiwa serious ndio mazwazwa yanatokea .
Pisi hakuna sijui kuna shida gani kwa huu mtandaoJf hamna pisi. That's all I can say labda zamani ila zote zishakua mishangazi now
Nilikuwaga serious hadi na leo sipo serious tena nimeamua kutulia tu nachangia mada freshSasa mpaka mkaka akaomba pesa kwa mwanamke huyo nae anashida aiseee..
Ila mi kwa mda wangu wote huu nimeona hakuna userious humu ndani.
Hata kama mtu akakulilia shida bado hawo serious anazunguka zunguka sana.
Kuna mambo yanaendelea nje ya hapa ndo utajua kuna watu wa hovyo haijawahi tokea wengine ni mtu mzima na familia yake lakini anakua hovyo sana aiseee
Ndo wanataka tuwe namna hiyo..Nilikuwaga serious hadi na leo sipo serious tena nimeamua kutulia tu nachangia mada fresh
Hapana hapana mkuuWatu mpo serious sana humu...kwamba mke/mume anapatikana humu? Sijajua lkn
Usiwe serious sanaHata wakaka baadhi yao ni ovyoo wanaomba hela, wanataka vitu ambavyo kiuhasilia hakunaga . Jamani hadi keroo . Halafu ukiwa serious ndio mazwazwa yanatokea .
sasa watajuanajeNa hawajuani mpaka sasa hivi.
😀😀
weedogo ushakua chokotayari.mshamba hachekwiMimi nimemuoa BICHWA KOMWE -
Sijakuelewamsham
weedogo ushakua chokotayari.mshamba hachekwi
Kuna mmoja nilikutana nae sinza pale ile Lodge ya mzee torino alikuja na tangawizi, iriki na chupa ya asali. Anasema nim-mwagie asali mwili wote alafu niirudishe kwenye chupa kwa kuilamba na ulimi... ilikuwa shoo bab kubwa ile ya mambo ya kitangaJf hamna pisi. That's all I can say labda zamani ila zote zishakua mishangazi now
Mbona na mimi nimemuoa BICHWA KOMWE - au anatuchezea?Mimi nimemuoa BICHWA KOMWE -
Kimekupata nini funguka vizuriSasa mpaka mkaka akaomba pesa kwa mwanamke huyo nae anashida aiseee..
Ila mi kwa mda wangu wote huu nimeona hakuna userious humu ndani.
Hata kama mtu akakulilia shida bado hawo serious anazunguka zunguka sana.
Kuna mambo yanaendelea nje ya hapa ndo utajua kuna watu wa hovyo haijawahi tokea wengine ni mtu mzima na familia yake lakini anakua hovyo sana aiseee
Huyu atakuwa anatuchezea uvulana wetuMbona na mimi nimemuoa BICHWA KOMWE - au anatuchezea?
Ndio wale wale kina shilole.Huyu atakuwa anatuchezea uvulana wetu
Humu watu wana behave sana ila nje ya hapa..Kimekupata nini funguka vizuri
Maana nmecheka sana hapo mwishoni mtu mzima na familia...😅