Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
For You, I'm ready. ππππpapuchi yangu ina meno itakung'ata hogo uwe kiwete ππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
For You, I'm ready. ππππpapuchi yangu ina meno itakung'ata hogo uwe kiwete ππππ
Hisia zangu zimekuelewa kiwango cha SGR ππππmi naogopaa πππ
π€£π€£π€£π€£ Manyanza komaa wizo mzuri ana bonge la wowowo MSHANGAZI NANGAI HUOHisia zangu zimekuelewa kiwango cha SGR ππππ
Yaani namuelewa mpaka nalewa bila hangover π€€π€€π€€π€£π€£π€£ Huyo huyo wizo mkomalie mpk kieleweke
Usiogope wizo buana, mchukue manyanza atajinyonga π€£π€£π€£mi naogopaa πππ
Sijui uwe mpambe nuksi??? ππππ€£π€£π€£π€£ Manyanza komaa wizo mzuri ana bonge la wowowo MSHANGAZI NANGAI HUO
Shikilia hapo hapo mpk akuelewe π€£π€£π€£Yaani namuelewa mpaka nalewa bila hangover π€€π€€π€€
Naanzaje kujinyonga wakati ni suala la makubaliano tu na Mimi napashwa kuwa na subra ili nile mbivu? πππUsiogope wizo buana, mchukue manyanza atajinyonga π€£π€£π€£
Yaani huu ni mwendo wa Kumbikumbi πππShikilia hapo hapo mpk akuelewe π€£π€£π€£
Kumbe ndo maana unadiss wanawake, unafall na wanaume wenzio.....watu hamuishi vituko.Hisia zangu zimekuelewa kiwango cha SGR ππππ
π€£π€£π€£ Kazana mpk umpateNaanzaje kujinyonga wakati ni suala la makubaliano tu na Mimi napashwa kuwa na subra ili nile mbivu? πππ
Wacha weee π€£π€£π€£Yaani huu ni mwendo wa Kumbikumbi πππ
π€£π€£π€£π€£ wizo mshangazi broKumbe ndo maana unadiss wanawake, unafall na wanaume wenzio.....watu hamuishi vituko.
Au unataka ni fall kwako Acha wivu na wewe πππKumbe ndo maana unadiss wanawake, unafall na wanaume wenzio.....watu hamuishi vituko.
Aaah wapiiiii wifi zako wawili wana mapmb.π€£π€£π€£π€£ wizo mshangazi bro
Dada ukae ukielewa kuwa huo ni mfumo.Hata wakaka baadhi yao ni ovyoo wanaomba hela, wanataka vitu ambavyo kiuhasilia hakunaga . Jamani hadi keroo . Halafu ukiwa serious ndio mazwazwa yanatokea .
πPole sana mpendwaHata wakaka baadhi yao ni ovyoo wanaomba hela, wanataka vitu ambavyo kiuhasilia hakunaga . Jamani hadi keroo . Halafu ukiwa serious ndio mazwazwa yanatokea .
ONgeq kiswahili
Ni kweliDada ukae ukielewa kuwa huo ni mfumo.
Siyo tu Jf, ni popote utapotaka kuanzisha mf: 'uhusiano mwema', kununua aridhi ama kitu chochote chenye thamani, kujenga nk lazima habari hizo uziwekee password ama code ili zisifahamike hadi utakapozitekeleza.
Shetani Lucifer hapendi matokeo ya mambo hayo ambayo kimsingi huleta mafanikio na afueni ya maisha kwa mwanadamu, basi hujikongoja mwenyewe kuvuruga wala hatumi mfuasi.
Ukianzisha mambo niliyoyataja na yakafahamika, utapigwa vita na fitina kibao hata kwa watu wako wa karibu hadi ushangae!