Nani kapata mwenzi huku na wameoana?

Nani kapata mwenzi huku na wameoana?

Aisee wewe ni wa kuahidiwa tna ukiwa laini utadanganganywa na kutoa tu utawachukia wanaume ujue6😁😁😁
Mimi huyu?? 🀣🀣🀣
Pole sana manyanza mimi sidanganyiki na hakuna kibuyu yeyote wa kunidanganya
 
Sijui kwann sina hisia hata feki na wewe ningekuwa nishakudanganya 🀣🀣🀣
Hata hizo hisia zenyewe huna, ww nyuki wa mashineni tatizo. Halafu mimi kudanganywa na kibuyu km ww ujue dharau manyanza!! 🀣🀣🀣
 
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚Na Mumeo anakufuata nyuma kama mkia, but nina imani One day You will give me a self golden chance πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hata kukuanzishia uzi na hiyo ndio itakuwa ticket ya kukumiliki kabisaa
papuchi yangu ina meno itakung'ata hogo uwe kiwete πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Back
Top Bottom