Watanga na mambo yao wanajua balaaKuna mmoja nilikutana nae sinza pale ile Lodge ya mzee torino alikuja na tangawizi, iriki na chupa ya asali. Anasema nim-mwagie asali mwili wote alafu niirudishe kwenye chupa kwa kuilamba na ulimi... ilikuwa shoo bab kubwa ile ya mambo ya kitanga
Cc. Lamomy
Bi mkubwa anakuunga na majj ya madafu na mchaichai mzee balaa. Utajiuliza mwenyewe kwa nn uchepuke alafu unaacha bila kushauriwaWatanga na mambo yao wanajua balaa
Wanaweza kuwepo lakini kuwatambua ni ngumu sana,uongo mwingi kwa kila jinsiaWatu mpo serious sana humu...kwamba mke/mume anapatikana humu? Sijajua lkn
At least insta ningeamini lkn humu kbs mmhWanaweza kuwepo lakini kuwatambua ni ngumu sana,uongo mwingi kwa kila jinsia
NakaziaJf hamna pisi. That's all I can say labda zamani ila zote zishakua mishangazi now
Wanawake wa humu ni kuanzia 26 na kuendelea, halafu tayari wameshazaa na baba wa mtoto hajulikani alipoJf hamna pisi. That's all I can say labda zamani ila zote zishakua mishangazi now
Na wanaliwa sana Kimasihara aisee π π πNdoa JF? π€£π€£
Humu wapo wazee wa kimasihara na uzi wao upo wanatoa shuhuda nyingi.
Aisee unapewa ahadi hewa tu. Niamini MimiMimi soon ubani unachomwa shauri yako π€£π€£π€£
Ila muoaji ndo simjui nani? We huogopi??
π€£π€£π€£π€£ HatareeeNa wanaliwa sana Kimasihara aisee π π π
Na nani? Mimi sipewi ahadi hewa kaa kwa kutulia Manyanza πππAisee unapewa ahadi hewa tu. Niamini Mimi
Facts, zinajiona balaa kumbe ovyoNakazia
Asilimia kubwa yes wengi mashangazi.Wanawake wa humu ni kuanzia 26 na kuendelea, halafu tayari wameshazaa na baba wa mtoto hajulikani alipo
Wewe ni wa kuahidiwa tu, kula hizo ahadi hewa kama Madame Rita BSS na uwachukie wanaume. π Mikoba ya Shehe Yahya ninayo Mimi ujueNa nani? Mimi sipewi ahadi hewa kaa kwa kutulia Manyanza πππ
Nimekwambia muoaji simjui
π€£π€£π€£ Sawa dr Yahya, haya nitabirie naolewa na nani??Wewe ni wa kuahidiwa tu, kula hizo ahadi hewa kama Madame Rita BSS na uwachukie wanaume. π Mikoba ya Shehe Yahya ninayo Mimi ujue