Nani kasema Nguruwe halali? Sio Ukristo au Uislamu kote wamemkana.

Nani kasema Nguruwe halali? Sio Ukristo au Uislamu kote wamemkana.

Mh!, Pia usisahau maandiko yanayosema "Akilacho mwanadamu bila kumtudi basi si haramu"

Endelea kukazana kutokula nyama ya Nguruwe,huku unaendelea kuagua kwa kutumia Korani yako takatifu,pia na uzinifu vilevile na kuoa na kuwapa talaka wake zako huku watoto wakigeuka machokoraa mitaani.

Mbingu itakuwa yako,maana mmiliki ni Babu yako.
 
Katika dini ya Ukristo, maandiko matakatifu ya Biblia yanapinga ulaji wa nguruwe kwa sababu inachukuliwa kuwa ni mnyama najisi.

Hii inapatikana katika kitabu cha Mambo ya Walawi 11:7-8 ambapo inasema " Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu huyo ni najisi. .Hamtakula nyama yao, wala hamgusi mizoga yao. Hao ni najisi kwenu."

Pia, kuna vifungu vingine vinavyopinga ulaji wa nguruwe kama vile Kitabu cha Kumbukumbu la Torati 14:8 ambacho kinapinga ulaji wa nguruwe, na Matendo ya Mitume 15:28-29 ambayo yanahimiza waumini kuepuka kula nyama iliyotolewa kwa sanamu na damu.

Kwa upande wa Uislamu, Quran inapinga ulaji wa nguruwe na inachukuliwa kuwa ni haramu kwa Waislamu. Kifungu cha Quran Surat al-Baqarah 2:173 kinakataza ulaji wa nguruwe pamoja na nyama ya wanyama waliochinjwa kwa njia ya kuchinjwa bila kumtaja Mungu, damu, nyama ya wanyama wanaouliwa kwa sababu ya miungu, na wanyama waliofariki kwa kifo cha asili. Kwa hivyo, Waislamu wanachukulia ulaji wa nguruwe kama jambo la kinyume na mafundisho ya dini yao.


NB: TUJADILI KWA AYA NA VIFUNGO MBALIMBALI ZA VITABU MBALIMBALI VYA DINI NGOJERA HAZITAKIWI.

View attachment 2613342
Mambo ya walawi ni kitabu cha wayahudi kilicho katika biblia na sio kitabu cha wakristo
 
Mambo ya walawi ni kitabu cha wayahudi kilicho katika biblia na sio kitabu cha wakristo
Wakristo tumembiwa hivi
Marko 7:15
Hakuna kitu kilicho nje ya mtu ambacho kikimwingia chaweza kumtia unajisi, bali vile vimtokavyo, ndivyo vimtiavyo unajisi yule mtu.

19 kwa sababu hakimwingii moyoni, ila tumboni tu; kisha chatoka kwenda chooni? Kwa kusema hivi alivitakasa vyakula vyote.

20 Akasema, Kimtokacho mtu ndicho kimtiacho unajisi.

21 Kwa maana ndani ya mioyo ya watu hutoka mawazo mabaya, uasherati,

22 wivi, uuaji, uzinzi, tamaa mbaya, ukorofi, hila, ufisadi, kijicho, matukano, kiburi, upumbavu.

23 Haya yote yaliyo maovu yatoka ndani, nayo yamtia mtu unajisi.

Kwa Wakristo najisi ni hizo hapo zilizo orodheshwa na sio kula nyama ya Mamba au Nyoka. Irimradi iruhusiwe na Serikali kama ilivyo ruhusu kula nyama ya Mamba hivi karibuni.
 
Katika dini ya Ukristo, maandiko matakatifu ya Biblia yanapinga ulaji wa nguruwe kwa sababu inachukuliwa kuwa ni mnyama najisi.

Hii inapatikana katika kitabu cha Mambo ya Walawi 11:7-8 ambapo inasema " Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu huyo ni najisi. .Hamtakula nyama yao, wala hamgusi mizoga yao. Hao ni najisi kwenu."

Pia, kuna vifungu vingine vinavyopinga ulaji wa nguruwe kama vile Kitabu cha Kumbukumbu la Torati 14:8 ambacho kinapinga ulaji wa nguruwe, na Matendo ya Mitume 15:28-29 ambayo yanahimiza waumini kuepuka kula nyama iliyotolewa kwa sanamu na damu.

Kwa upande wa Uislamu, Quran inapinga ulaji wa nguruwe na inachukuliwa kuwa ni haramu kwa Waislamu. Kifungu cha Quran Surat al-Baqarah 2:173 kinakataza ulaji wa nguruwe pamoja na nyama ya wanyama waliochinjwa kwa njia ya kuchinjwa bila kumtaja Mungu, damu, nyama ya wanyama wanaouliwa kwa sababu ya miungu, na wanyama waliofariki kwa kifo cha asili. Kwa hivyo, Waislamu wanachukulia ulaji wa nguruwe kama jambo la kinyume na mafundisho ya dini yao.


NB: TUJADILI KWA AYA NA VIFUNGO MBALIMBALI ZA VITABU MBALIMBALI VYA DINI NGOJERA HAZITAKIWI.

View attachment 2613342
Kwani kuku anacheua?
 
Watu bwana, mtu yupo radhi aue mwenzake/afanye uzinzi/matusi kwa sana/Pombe kwa sana ila kitimoto atakuambia sili hata kwa bunduki. Kwamba kula kitimoto ni dhambi isiyosameheka ama? Hizi dini tuzifuate lakini zisitufunge akili pia.

Wazee kama ukila hufi na wala haikuletei madhara kiafya kula tu kwa sana. Mimi hapa nina mzigo wa kutosha kwenye banda soon nawatoa.
images-20-4-jpg.2226269
 
Kwa hiyo wale nguruwe ndiyo hawa tulio nao wanaishi hadi leo? Au wale walikufa palepale?
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂Yaani kuna watu wana akili ambazo hata shetani akikaa pembeni anashangaa huyu mtu anawaza KWA kutumia nn daaah nimecheka sana 😂😂😂😂
 
Kitimoto choma, ndizi mzuzu ilioanza kuivaiva,kachumbari,pilipili,weeeeeeeee na ka coca kabariiiiiiiiiiiidi
 
Katika dini ya Ukristo, maandiko matakatifu ya Biblia yanapinga ulaji wa nguruwe kwa sababu inachukuliwa kuwa ni mnyama najisi.

Hii inapatikana katika kitabu cha Mambo ya Walawi 11:7-8 ambapo inasema " Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu huyo ni najisi. .Hamtakula nyama yao, wala hamgusi mizoga yao. Hao ni najisi kwenu."

Pia, kuna vifungu vingine vinavyopinga ulaji wa nguruwe kama vile Kitabu cha Kumbukumbu la Torati 14:8 ambacho kinapinga ulaji wa nguruwe, na Matendo ya Mitume 15:28-29 ambayo yanahimiza waumini kuepuka kula nyama iliyotolewa kwa sanamu na damu.

Kwa upande wa Uislamu, Quran inapinga ulaji wa nguruwe na inachukuliwa kuwa ni haramu kwa Waislamu. Kifungu cha Quran Surat al-Baqarah 2:173 kinakataza ulaji wa nguruwe pamoja na nyama ya wanyama waliochinjwa kwa njia ya kuchinjwa bila kumtaja Mungu, damu, nyama ya wanyama wanaouliwa kwa sababu ya miungu, na wanyama waliofariki kwa kifo cha asili. Kwa hivyo, Waislamu wanachukulia ulaji wa nguruwe kama jambo la kinyume na mafundisho ya dini yao.


NB: TUJADILI KWA AYA NA VIFUNGO MBALIMBALI ZA VITABU MBALIMBALI VYA DINI NGOJERA HAZITAKIWI.

View attachment 2613342
Itakua vyema kuamini yote yaliyo andika kwenye kitabu hicho .
tangu Aya ya Kwanza mpaka ya mwisho .
kuchukua vifungu vinavyokufurahisha na kujenga hoja si Sawa.
kama unaamini ni maandiko ya MUNGU mbona umeacha kumtaja ngamia kwenye surahiyo 11:4 ambaye naye ni haramu unakubaliana na Hilo kama hukubali yakatae yote hata sungura ni haramu na mwewe ,bata pia ni haramu .
wenye kitabu chao Wana hoja ya kua walifafanuliwa kua kimtiacho MTU unajisi si vyakula ni matendo maovu vyakula vyote hugeuka choo
 
what a coincidence?!!! nimetoka kupiga Nusu kavu na Ugali, Allah anijalie maisha marefu
Umeambia Aya na vifungu we unasema unasema nusu kavu! Ndo useme kifungu gani hicho kilichofanya ule nusu kavu!?

Au shiumbi mnungu shakumemena??
 
Ujinga mtupu wewe mambo ya walawi yqnakuhusu nini??ninawafuga wapo kama 56 ndio nae desha familia kupitia mifugo hii,msituharibie soko


Hata muuza bangi naye huwa mkali linapoharibiwa soko la bangi yake, lakini bangi itabaki kuwa haramu tu jinsi kitimoto kilivyokuwa haramu na najisi.
Sasa Wasabato ni watu, huoni kama wamechanganikiwa?


Wasabato ni Waisilamu au Wakristo???
 
Back
Top Bottom