Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
Upo sahihi lakini sio kigezo cha ww kua shoga
Lakini hicho ni kigezo cha wewe kuwa shoga 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sahihi lakini sio kigezo cha ww kua shoga
Tyipng error ndugu tusifike ukoLakini hicho ni kigezo cha wewe kuwa shoga 🤣
Subiri nifanye tafiti
Wala usihofu, nguruwe hana madhara yoyote na ndiyo nyama inayoongoza kuliwa duniani na hata Waislam wanaila sana ila hawa wasiojitambua ndiyo wapiga kelele.what a coincidence?!!! nimetoka kupiga Nusu kavu na Ugali, Allah anijalie maisha marefu
Unachanganyikiwa wewe Mdogo wanguKatika dini ya Ukristo, maandiko matakatifu ya Biblia yanapinga ulaji wa nguruwe kwa sababu inachukuliwa kuwa ni mnyama najisi.
Hii inapatikana katika kitabu cha Mambo ya Walawi 11:7-8 ambapo inasema " Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu huyo ni najisi. .Hamtakula nyama yao, wala hamgusi mizoga yao. Hao ni najisi kwenu."
Pia, kuna vifungu vingine vinavyopinga ulaji wa nguruwe kama vile Kitabu cha Kumbukumbu la Torati 14:8 ambacho kinapinga ulaji wa nguruwe, na Matendo ya Mitume 15:28-29 ambayo yanahimiza waumini kuepuka kula nyama iliyotolewa kwa sanamu na damu.
Kwa upande wa Uislamu, Quran inapinga ulaji wa nguruwe na inachukuliwa kuwa ni haramu kwa Waislamu. Kifungu cha Quran Surat al-Baqarah 2:173 kinakataza ulaji wa nguruwe pamoja na nyama ya wanyama waliochinjwa kwa njia ya kuchinjwa bila kumtaja Mungu, damu, nyama ya wanyama wanaouliwa kwa sababu ya miungu, na wanyama waliofariki kwa kifo cha asili. Kwa hivyo, Waislamu wanachukulia ulaji wa nguruwe kama jambo la kinyume na mafundisho ya dini yao.
NB: TUJADILI KWA AYA NA VIFUNGO MBALIMBALI ZA VITABU MBALIMBALI VYA DINI NGOJERA HAZITAKIWI.
View attachment 2613342
Tyipng.Tyipng error ndugu tusifike uko
Mmbo mengTyipng.
Kaka Leo unaunguza kinoma
Mtume Muhammad alipifika karamuni na kukuta Nyama nzuri ya Kitimoto imeisha ali Mind Sana, akasusa na kuwaambia wafuasi wake waisusie Nguruwe, ilikuwa ni Hasira tu ya Kukosa NyamaKatika dini ya Ukristo, maandiko matakatifu ya Biblia yanapinga ulaji wa nguruwe kwa sababu inachukuliwa kuwa ni mnyama najisi.
Hii inapatikana katika kitabu cha Mambo ya Walawi 11:7-8 ambapo inasema " Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu huyo ni najisi. .Hamtakula nyama yao, wala hamgusi mizoga yao. Hao ni najisi kwenu."
Pia, kuna vifungu vingine vinavyopinga ulaji wa nguruwe kama vile Kitabu cha Kumbukumbu la Torati 14:8 ambacho kinapinga ulaji wa nguruwe, na Matendo ya Mitume 15:28-29 ambayo yanahimiza waumini kuepuka kula nyama iliyotolewa kwa sanamu na damu.
Kwa upande wa Uislamu, Quran inapinga ulaji wa nguruwe na inachukuliwa kuwa ni haramu kwa Waislamu. Kifungu cha Quran Surat al-Baqarah 2:173 kinakataza ulaji wa nguruwe pamoja na nyama ya wanyama waliochinjwa kwa njia ya kuchinjwa bila kumtaja Mungu, damu, nyama ya wanyama wanaouliwa kwa sababu ya miungu, na wanyama waliofariki kwa kifo cha asili. Kwa hivyo, Waislamu wanachukulia ulaji wa nguruwe kama jambo la kinyume na mafundisho ya dini yao.
NB: TUJADILI KWA AYA NA VIFUNGO MBALIMBALI ZA VITABU MBALIMBALI VYA DINI NGOJERA HAZITAKIWI.
View attachment 2613342
Ukiniona hapa nacheka hadi machozi dah..ila wewe mtu wewe🙌Moja kwa moja utajitwalia mabikra wa kutosha ukiwa umejilaza pembeni ya kijito kinachotiririsha mvinyo huku jua likizama kwenye tope.Jioni hiyo ujue?
Toka utotoni mwangu tunakula nguruwe kwetu, wote tuna afya nzuri tu. Hata ndugu zetu Waislam wanakula sana wakija nyumbani na wengi wanapiga simu Mze awawekee wakiwa wanakuja. Dini ufanya watu kuwa wajinga na ndiyo maana wengi waaminio hizi dini za maboti hawana maendeleo zaidi ya Wachungaji wao na masheikh wanaopata misaada toka Uarabuni.Katika dini ya Ukristo, maandiko matakatifu ya Biblia yanapinga ulaji wa nguruwe kwa sababu inachukuliwa kuwa ni mnyama najisi.
Hii inapatikana katika kitabu cha Mambo ya Walawi 11:7-8 ambapo inasema " Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu huyo ni najisi. .Hamtakula nyama yao, wala hamgusi mizoga yao. Hao ni najisi kwenu."
Pia, kuna vifungu vingine vinavyopinga ulaji wa nguruwe kama vile Kitabu cha Kumbukumbu la Torati 14:8 ambacho kinapinga ulaji wa nguruwe, na Matendo ya Mitume 15:28-29 ambayo yanahimiza waumini kuepuka kula nyama iliyotolewa kwa sanamu na damu.
Kwa upande wa Uislamu, Quran inapinga ulaji wa nguruwe na inachukuliwa kuwa ni haramu kwa Waislamu. Kifungu cha Quran Surat al-Baqarah 2:173 kinakataza ulaji wa nguruwe pamoja na nyama ya wanyama waliochinjwa kwa njia ya kuchinjwa bila kumtaja Mungu, damu, nyama ya wanyama wanaouliwa kwa sababu ya miungu, na wanyama waliofariki kwa kifo cha asili. Kwa hivyo, Waislamu wanachukulia ulaji wa nguruwe kama jambo la kinyume na mafundisho ya dini yao.
NB: TUJADILI KWA AYA NA VIFUNGO MBALIMBALI ZA VITABU MBALIMBALI VYA DINI NGOJERA HAZITAKIWI.
View attachment 2613342
Toka utotoni mwangu tunakula nguruwe kwetu, wote tuna afya nzuri tu. Hata ndugu zetu Waislam wanakula sana wakija nyumbani na wengi wanapiga simu Mze awawekee wakiwa wanakuja. Dini ufanya watu kuwa wajinga na ndiyo maana wengi waaminio hizi dini za maboti hawana maendeleo zaidi ya Wachungaji wao na masheikh wanaopata misaada toka Uarabuni.
Sasa Wasabato ni watu, huoni kama wamechanganikiwa?Wasabato ambao huwa hawali kitimoto je hao ni Waisilamu au Wanaongozwa na masheikh huko makanisani mwao??!!
Nani kakudanganya dini ni ukristo na uislamu tu? Umechanganyikiwa ama? Dunia kubwa sana. Nguruwe tunamla kajifie mbele.Katika dini ya Ukristo, maandiko matakatifu ya Biblia yanapinga ulaji wa nguruwe kwa sababu inachukuliwa kuwa ni mnyama najisi.
Hii inapatikana katika kitabu cha Mambo ya Walawi 11:7-8 ambapo inasema " Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu huyo ni najisi. .Hamtakula nyama yao, wala hamgusi mizoga yao. Hao ni najisi kwenu."
Pia, kuna vifungu vingine vinavyopinga ulaji wa nguruwe kama vile Kitabu cha Kumbukumbu la Torati 14:8 ambacho kinapinga ulaji wa nguruwe, na Matendo ya Mitume 15:28-29 ambayo yanahimiza waumini kuepuka kula nyama iliyotolewa kwa sanamu na damu.
Kwa upande wa Uislamu, Quran inapinga ulaji wa nguruwe na inachukuliwa kuwa ni haramu kwa Waislamu. Kifungu cha Quran Surat al-Baqarah 2:173 kinakataza ulaji wa nguruwe pamoja na nyama ya wanyama waliochinjwa kwa njia ya kuchinjwa bila kumtaja Mungu, damu, nyama ya wanyama wanaouliwa kwa sababu ya miungu, na wanyama waliofariki kwa kifo cha asili. Kwa hivyo, Waislamu wanachukulia ulaji wa nguruwe kama jambo la kinyume na mafundisho ya dini yao.
NB: TUJADILI KWA AYA NA VIFUNGO MBALIMBALI ZA VITABU MBALIMBALI VYA DINI NGOJERA HAZITAKIWI.
View attachment 2613342
Umeshajibiwa nguruwe ni halali. Soma matendo ya mitume 10: 9-15endelezeni uzi mm nishajua na nishapata majibu kwamba hamna hoja
Watoto lainiiii wadogoo wabichi futa tupu sabini na wawili, mudi alivo fundi 😋 kuna sampuli ingine zitatoka kuzimu unambiwa kunogesha tuMoja kwa moja utajitwalia mabikra wa kutosha ukiwa umejilaza pembeni ya kijito kinachotiririsha mvinyo huku jua likizama kwenye tope.Jioni hiyo ujue?