Nani kasema Nguruwe halali? Sio Ukristo au Uislamu kote wamemkana.

Nani kasema Nguruwe halali? Sio Ukristo au Uislamu kote wamemkana.

Toa hoja acha ngonjera
Hoja ni hivi kuna desturi na amri za Mungu ktk maandiko. Mbona wafuasi wa Kristu hawanawi mikono yote mpaka kwenye kiwiko wakitoja sokoni kuwa wako najisi? Hili la kutawadha miguu na mikono ni amri ya ngapi ya Mungu na adhabu ipi apewe kama kuzini ni kupigwa mawe kwa Wayahudi? Ila Mungu hajaruhusu MTU YOYOTE KUMWUA MTU KUMSAIDIA MUNGU KUTOA ADHABU.DHAMBI HUADHIBIWA NA KUSAMEHEWA NA MUNGU TU. HUO NDIO UKWELI.
 
Mkuu tunakula pale ambapo hamna chakula kimgine tunamgeuza kimazingaumbwe anakua halali
 
Hata nasi pia.

Lkn angalau uwe na 'twaa' ya kuweza kujizuia kutenda dhambi ndogo ndogo kama kuacha dhambi kubwa imeshindikana.

Lkn point yangu ipo palepale...Mungu Anatupenda, kuamrishwa kuacha kula nguruwe lazima atakuwa Ana madhara...haiwezekani Atuamrishe tusile tu burebure
Tuonyeshe Mungu Alipo Sema nyama ya nguruwe haramu!
Vitu alivyotaka wanadamu tusivile huna ubavu wa kula hata kimoja!
Mf!; mawe, cement.... Na vitu kama hivyo huwezi ukala huwezi!
 
Tuonyeshe Mungu Alipo Sema nyama ya nguruwe haramu!
Vitu alivyotaka wanadamu tusivile huna ubavu wa kula hata kimoja!
Mf!; mawe, cement.... Na vitu kama hivyo huwezi ukala huwezi!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] haya bhana [emoji471][emoji1628]
 
Nyama zipo nyingi ,unabishana na mpuuzi ambaye hawezi hata kununua nyama ya ngombe nyumbani kwake kuhusu nyama ya nguruwe
 
Mimi nyama ya nguruwe IPO kwenye friji daily home,wewe huwezi Opti hata kula ya ngombe,tafuta hela
 
Wakataze vijana aape zile hints za kuonesha wanavyoweza kuwa mashoga kwa ulaji wa nguruwe.
Hakuna ushahidi wa kisayansi unaounga mkono madai kwamba kula nyama ya nguruwe husababisha ushoga. Ushoga ni hali ya kujamiiana kwa watu wa jinsia moja na inahusishwa na sababu nyingi za kisaikolojia, kijamii na kibaiolojia.

Watu hujamiiana kimapenzi kwa sababu za kibinafsi na za kitambulisho, na hakuna chakula au kitu kingine chochote kinachoweza kusababisha ushoga au kugeuza mtu kuwa shoga.

Ni muhimu kutambua kwamba kuna tofauti kati ya mtu kujamiiana kimapenzi na mtu kula chakula fulani. Kula nyama ya nguruwe hauna uhusiano wowote na upendeleo wa kijinsia.
 
Back
Top Bottom