fidel castro wapili
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 3,497
- 2,911
Leta maandiko sio porojoMtume Muhammad alipifika karamuni na kukuta Nyama nzuri ya Kitimoto imeisha ali Mind Sana, akasusa na kuwaambia wafuasi wake waisusie Nguruwe, ilikuwa ni Hasira tu ya Kukosa Nyama
Mambo ya walawi ni kitabu cha wayahudi kilicho katika biblia na sio kitabu cha wakristoKatika dini ya Ukristo, maandiko matakatifu ya Biblia yanapinga ulaji wa nguruwe kwa sababu inachukuliwa kuwa ni mnyama najisi.
Hii inapatikana katika kitabu cha Mambo ya Walawi 11:7-8 ambapo inasema " Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu huyo ni najisi. .Hamtakula nyama yao, wala hamgusi mizoga yao. Hao ni najisi kwenu."
Pia, kuna vifungu vingine vinavyopinga ulaji wa nguruwe kama vile Kitabu cha Kumbukumbu la Torati 14:8 ambacho kinapinga ulaji wa nguruwe, na Matendo ya Mitume 15:28-29 ambayo yanahimiza waumini kuepuka kula nyama iliyotolewa kwa sanamu na damu.
Kwa upande wa Uislamu, Quran inapinga ulaji wa nguruwe na inachukuliwa kuwa ni haramu kwa Waislamu. Kifungu cha Quran Surat al-Baqarah 2:173 kinakataza ulaji wa nguruwe pamoja na nyama ya wanyama waliochinjwa kwa njia ya kuchinjwa bila kumtaja Mungu, damu, nyama ya wanyama wanaouliwa kwa sababu ya miungu, na wanyama waliofariki kwa kifo cha asili. Kwa hivyo, Waislamu wanachukulia ulaji wa nguruwe kama jambo la kinyume na mafundisho ya dini yao.
NB: TUJADILI KWA AYA NA VIFUNGO MBALIMBALI ZA VITABU MBALIMBALI VYA DINI NGOJERA HAZITAKIWI.
View attachment 2613342
Wakristo tumembiwa hiviMambo ya walawi ni kitabu cha wayahudi kilicho katika biblia na sio kitabu cha wakristo
Kwani kuku anacheua?Katika dini ya Ukristo, maandiko matakatifu ya Biblia yanapinga ulaji wa nguruwe kwa sababu inachukuliwa kuwa ni mnyama najisi.
Hii inapatikana katika kitabu cha Mambo ya Walawi 11:7-8 ambapo inasema " Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu huyo ni najisi. .Hamtakula nyama yao, wala hamgusi mizoga yao. Hao ni najisi kwenu."
Pia, kuna vifungu vingine vinavyopinga ulaji wa nguruwe kama vile Kitabu cha Kumbukumbu la Torati 14:8 ambacho kinapinga ulaji wa nguruwe, na Matendo ya Mitume 15:28-29 ambayo yanahimiza waumini kuepuka kula nyama iliyotolewa kwa sanamu na damu.
Kwa upande wa Uislamu, Quran inapinga ulaji wa nguruwe na inachukuliwa kuwa ni haramu kwa Waislamu. Kifungu cha Quran Surat al-Baqarah 2:173 kinakataza ulaji wa nguruwe pamoja na nyama ya wanyama waliochinjwa kwa njia ya kuchinjwa bila kumtaja Mungu, damu, nyama ya wanyama wanaouliwa kwa sababu ya miungu, na wanyama waliofariki kwa kifo cha asili. Kwa hivyo, Waislamu wanachukulia ulaji wa nguruwe kama jambo la kinyume na mafundisho ya dini yao.
NB: TUJADILI KWA AYA NA VIFUNGO MBALIMBALI ZA VITABU MBALIMBALI VYA DINI NGOJERA HAZITAKIWI.
View attachment 2613342
ππππππππππDaaah nimefurahi sana hii comment imefanya siku ianze vzuriAcha ujinga wakatazwe kula walawi ww mmatumbi unasema imekatazwa acheni shobo za kijinga
Ni Mambo ya Walawi hayo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Acha ujinga wakatazwe kula walawi ww mmatumbi unasema imekatazwa acheni shobo za kijinga
πππππ€£π€£π€£π€£π€£π€£Mbavu zangu daaaaahMoja kwa moja utajitwalia mabikra wa kutosha ukiwa umejilaza pembeni ya kijito kinachotiririsha mvinyo huku jua likizama kwenye tope.Jioni hiyo ujue?
π€£π€£π€£π€£Heee sasa mkuu mm nina swali.Akibishia na hii,huyu atakuwa zuzu sugu!ππππ
πππππLakini waisilamu tunaruhusiwa kula kidogo wakati wa shida. Leo nina shida halafu
Tetea kwa hoja acha makasiriko
Ukitaka kujua kama wanakula au la, angalia wakati wa mfungo wa ramadhani mdudu anavyobaki mabuchani na huko kwenye vikaango..!!Sawa.Nakuletea paja la nguruwe kama zawadi kwa ukoo wako.
Watu bwana, mtu yupo radhi aue mwenzake/afanye uzinzi/matusi kwa sana/Pombe kwa sana ila kitimoto atakuambia sili hata kwa bunduki. Kwamba kula kitimoto ni dhambi isiyosameheka ama? Hizi dini tuzifuate lakini zisitufunge akili pia.
Wazee kama ukila hufi na wala haikuletei madhara kiafya kula tu kwa sana. Mimi hapa nina mzigo wa kutosha kwenye banda soon nawatoa.
π€£π€£π€£π€£π€£πππππYaani kuna watu wana akili ambazo hata shetani akikaa pembeni anashangaa huyu mtu anawaza KWA kutumia nn daaah nimecheka sana ππππKwa hiyo wale nguruwe ndiyo hawa tulio nao wanaishi hadi leo? Au wale walikufa palepale?
Amiiiiin, Inshallahwhat a coincidence?!!! nimetoka kupiga Nusu kavu na Ugali, Allah anijalie maisha marefu
Itakua vyema kuamini yote yaliyo andika kwenye kitabu hicho .Katika dini ya Ukristo, maandiko matakatifu ya Biblia yanapinga ulaji wa nguruwe kwa sababu inachukuliwa kuwa ni mnyama najisi.
Hii inapatikana katika kitabu cha Mambo ya Walawi 11:7-8 ambapo inasema " Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu huyo ni najisi. .Hamtakula nyama yao, wala hamgusi mizoga yao. Hao ni najisi kwenu."
Pia, kuna vifungu vingine vinavyopinga ulaji wa nguruwe kama vile Kitabu cha Kumbukumbu la Torati 14:8 ambacho kinapinga ulaji wa nguruwe, na Matendo ya Mitume 15:28-29 ambayo yanahimiza waumini kuepuka kula nyama iliyotolewa kwa sanamu na damu.
Kwa upande wa Uislamu, Quran inapinga ulaji wa nguruwe na inachukuliwa kuwa ni haramu kwa Waislamu. Kifungu cha Quran Surat al-Baqarah 2:173 kinakataza ulaji wa nguruwe pamoja na nyama ya wanyama waliochinjwa kwa njia ya kuchinjwa bila kumtaja Mungu, damu, nyama ya wanyama wanaouliwa kwa sababu ya miungu, na wanyama waliofariki kwa kifo cha asili. Kwa hivyo, Waislamu wanachukulia ulaji wa nguruwe kama jambo la kinyume na mafundisho ya dini yao.
NB: TUJADILI KWA AYA NA VIFUNGO MBALIMBALI ZA VITABU MBALIMBALI VYA DINI NGOJERA HAZITAKIWI.
View attachment 2613342
Umeambia Aya na vifungu we unasema unasema nusu kavu! Ndo useme kifungu gani hicho kilichofanya ule nusu kavu!?what a coincidence?!!! nimetoka kupiga Nusu kavu na Ugali, Allah anijalie maisha marefu
Ujinga mtupu wewe mambo ya walawi yqnakuhusu nini??ninawafuga wapo kama 56 ndio nae desha familia kupitia mifugo hii,msituharibie soko
Sasa Wasabato ni watu, huoni kama wamechanganikiwa?
Bongo Asante sana.