Nani kawaleta Kawe hawa Panya wa maajabu na wa kimkakati wanaosemekana kutokea nchini Malawi?

Nani kawaleta Kawe hawa Panya wa maajabu na wa kimkakati wanaosemekana kutokea nchini Malawi?

1. Wana mikia mifupi

2. Wana mlio kama wa Mluzi

3. Wamewala Panya wote wa Kitanzania wenye mikia mirefu

4. Hawategeki kwa Sumu yoyote na hata Ukiwakimbiza hawakuogopi na wanaondoka kwa mwendo wa taratibu huku wakiwa hata hawana wasiwasi nawe

5. Paka wala hawaangaiki kuwakamata

6. Lishe yao wanaipata katika Matakataka na hasa Mashimo ya Nnya / Kinyesi

7. Mavi yao ni kama Utumbo wa Kuku, Meusi, Mafupi na yananuka balaa

Wapo sana Kawe na sina uhakika kama na Kwingineko pia wako na kuna taarifa zisizo rasmi na bado GENTAMYCINE nakataa kuziamini kuwa Panya hawa wameletwa na Wamalawi wanaokuja Kusali kwa Mwamposa na wengine wameenda mbali zaidi na kusema kuwa hawa Panya ni wa Kijasusi / Kinjagu kutoka nchini Malawi na kwamba wapo nchini Kimkakati zaidi.

Nivumilieni kidogo niwavizie wakitaka Kunya ( Kuukweka ) muda si mrefu nitawapiga Picha muwaone.
Ni kweli Kuna Mtu kawe Kuna Mtu anaishi kawe aliniambia siku za nyuma kidogo kwamba siku hizi kawe Kuna panya wengi sana, Tena yeye alihusisha na Imani za kishirikina ila kwa sumu wanakufa vizuri tu labda ni aina ya sumu unayotumia
 
Hawa panya wanategeka kwa sumu bila shida, haujawahi au haujui jinsi ya kutumia sumu unaanza kusema hawategeki kwa sumu! Changanya unga kidogo sana na sumu nyeusi ya chenga, onja kama imekolea kisha weka sehemu kavu na yasiwepo maji yoyote karibu.
Nionavyo mimi una nia ya kuwaua Wananchi kwa kuwaambia waonje huo mchanganyiko ili kuona kama hiyo sumu imekolea!
 
GENTAMYCINE

Wakati mwingine kuna makosa yanafanyika ya ki ecolojia nitatoa mfano

1. Kunguru wa Mafia waliletwa dar ajili ya kazi ya scavenging yaani kupunguza matakataka matokeo yake walivyo wakorofi wakawa wanawaangamiza wale kunguru wenye kizibao cheupe(white crested crow) zaid ya yote wakawa kero mno wanakula vifaranga yaani hawaogopi anashuka anakamata kifaranga ukiwepo.Ikafika mahali ikawekwa kampeni miaka 30 iliyopita mtu akipeleka yai lake anapewa shillingi 50 sijui iliishia wapi.

2. Samaki aina ya Sangara waliletwa Mwanza ajili ya kuangamiza magugu maji matokeo yake wakawa wanakuwa wakubwa mno wanakula samaki wengine.Wataalamu walivyo shtukia hili wakafungua viwanda vya minofu ya samaki sijui walifanikiwa vipi hadi sasa.

TOO MUCH OF ANYTHING IS MONOTONOUS
Kuna jambo halipo sawa ki ecolojia. Upo sahihi.
 
Hawa panya wanategeka kwa sumu bila shida, haujawahi au haujui jinsi ya kutumia sumu unaanza kusema hawategeki kwa sumu! Changanya unga kidogo sana na sumu nyeusi ya chenga, onja kama imekolea kisha weka sehemu kavu na yasiwepo maji yoyote karibu.
"......onja kama imekolea kisha........."
Duh! Veri hatarias. Je, mhusika baada ya(soma hapo 👆 👆 👆 👆 )atamudu kuiweka sehemu kavu na kuhakikisha hakuna maji karibu?????😳😱
 
Kwa kuongezea tu hawa panya wanaogopwa mpaka na nyoka. Lengo kubwa la hawa panya ni kuwateketeza wale panya wa kawaida
Waapi broo; Mbona wale nyoka maarufu kama Kifutu(puff adder)waliokuwa imported kutoka Malawi kwa lengo la kuwala panya wasumbufu kwenye mradi mkuu wa zao la karanga Kongwa hawakufanikiwa??
 
Kuna mbu Pia wamekuja Tuwe makini sana..

Screenshot_20231221_055154_X.jpg

Screenshot_20231221_055133_X.jpg
 
GENTAMYCINE

Wakati mwingine kuna makosa yanafanyika ya ki ecolojia nitatoa mfano

1. Kunguru wa Mafia waliletwa dar ajili ya kazi ya scavenging yaani kupunguza matakataka matokeo yake walivyo wakorofi wakawa wanawaangamiza wale kunguru wenye kizibao cheupe(white crested crow) zaid ya yote wakawa kero mno wanakula vifaranga yaani hawaogopi anashuka anakamata kifaranga ukiwepo.Ikafika mahali ikawekwa kampeni miaka 30 iliyopita mtu akipeleka yai lake anapewa shillingi 50 sijui iliishia wapi.

2. Samaki aina ya Sangara waliletwa Mwanza ajili ya kuangamiza magugu maji matokeo yake wakawa wanakuwa wakubwa mno wanakula samaki wengine.Wataalamu walivyo shtukia hili wakafungua viwanda vya minofu ya samaki sijui walifanikiwa vipi hadi sasa.

TOO MUCH OF ANYTHING IS MONOTONOUS
Safi na hii ndo ukweli Japo ni Underground mission sana
 
Bro Genta tangu harusi Yako ipite umekuwa adimu sana Jf naona shemeji amekuweka busy
Namwonea huruma sana huyo Mwanamke ambaye Mimi nitakuwa ndiyo Mumewe na hasa akiwa na tabia / tatizo la Wivu kwani hakuna furaha niipendayo kama Kubandua mara kwa mara na Wanawake tofauti tofauti.

Sipendi kuzoea Mbunye moja hiyo hiyo kama Nauli za Daladala za Dar es Salaam.
 
Hawa panya wanategeka kwa sumu bila shida, haujawahi au haujui jinsi ya kutumia sumu unaanza kusema hawategeki kwa sumu! Changanya unga kidogo sana na sumu nyeusi ya chenga, onja kama imekolea kisha weka sehemu kavu na yasiwepo maji yoyote karibu.
Aonje kama imekolea[emoji848][emoji3][emoji3]
 
Lakini Kawe kuna Wanyasa wengi sana, wanaishi na Watanzania wakiwafanyisha kazi kwa mshahara kiduchu achilia mbali hao wanaokuja kwa Posa Boy.

Tena hawana vibali na hawajui Kiswahili vizuri, eti na kambi ya jeshi ipo jirani hapo hapo na ina vikosi muhimu kadhaaa.

Mtajua wenyewe na nchi yenu ya laana.
Mkuu acha watu watafute maisha. Wamalawi wanachapa kazi ambazo waswahili wengi hawawezi. Wengi wapo very professional, wanathamini kazi. Watanzania wengi sisi ni wajanjawajanja. Unataka wafukuzwe hizo kazi utafanya wewe? possibly not. kwa nini uumie mtu kutumia nguvu na akili yake kujipatia riziki? hii mipaka iliwekwa na wajinga fulani huko Berlin kwa maslahi yao. Kuna ndugu zako wako SA, US, UK , Canada hawana vibali lakini wanapambana. Ndo hao wanasaidia ndugu zao hapa TZ na kwingineko.

Mpaka leo sioni sababu ya mwafrica kuwa mkimbizi Africa. wacheni vijana watafute maisha. Na wewe ukitaka nenda Congo au kwingineko. Ilmradi usiibe cha mtu.

Mwisho wa siku wakifanya makosa waadhibiwe kama wengine. Ila tusiwahukumu tuu kwa sababu wanaitwa wamalawi. It is just a name!

Africa maisha ni magumu sana. ukiona mtu ana hustle mheshimu baada ya kumfitini.
 
Back
Top Bottom