GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #81
Sawa.View attachment 2883657
Hayo nii majibu yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa.View attachment 2883657
Hayo nii majibu yako
Washafika bara mikoani, kweli ni janga hili kazima serikali itafute namna ya kutoa elimu waangamzwe kwani niliwakuta Moshi na Arusha wa kutosha na watu wanaina kawaida tu kumbe wataangamiza kabisa mazalia ya ndege wa asili.GENTAMYCINE
Wakati mwingine kuna makosa yanafanyika ya ki ecolojia nitatoa mfano
1. Kunguru wa Mafia waliletwa dar ajili ya kazi ya scavenging yaani kupunguza matakataka matokeo yake walivyo wakorofi wakawa wanawaangamiza wale kunguru wenye kizibao...
Kumbe hadi Kilimanjaro na Arusha wapo?Washafika bara mikoani, kweli ni janga hili kazima serikali itafute namna ya kutoa elimu waangamzwe kwani niliwakuta Moshi na Arusha wa kutosha na watu wanaina kawaida tu kumbe wataangamiza kabisa mazalia ya ndege wa asili.
Nje ya topic kaka mkubwa..... Ile kitu aliyosema mkuu wa majeshi wageni kupewa vyeo ni kwa sie wazanaki au kule kwa wakina habibi1. Wana mikia mifupi
2. Wana mlio kama wa Mluzi
3. Wamewala Panya wote wa Kitanzania wenye mikia miref...
Acha Bangi / Bange sawa Mkuu?Nje ya topic kaka mkubwa..... Ile kitu aliyosema mkuu wa majeshi wageni kupewa vyeo ni kwa sie wazanaki au kule kwa wakina habibi
Haha poa blooAcha Bangi / Bange sawa Mkuu?
Panya wa Mama Samia 😂😆 duuhPanya hao wapo kila sehem Hapa Dar na sio Dar Tu. Nilimsikia mhehe mmoj anasem ata Iringa wapo. Hao panya Mbagala kule wanawaita Panya WA mama Samia. Wanawala panya WA kawaida na paka wanawaogop hao panya MaVi Yao yananuka balaa. Na kingn hao panya wanauliwa kw mtego .
Bado sijawabahatisha Wakinya / Wakiukweka ili niwapige Picha kadhaa mzione / muwaone. Vuta subira Mkuu.Picha
Na hawa panya wamezalishwa makusudi na kumwagwa mtaani ili waue wale wengine. Tatizo la hawa wanatafuna hata sufuria kama wanatafuta njia ya kupita. Wanahakikisha wanatoboa kila kilichopo mbele yao.GENTAMYCINE
Wakati mwingine kuna makosa yanafanyika ya ki ecolojia nitatoa mfano
1. Kunguru wa Mafia waliletwa dar ajili ya kazi ya scavenging yaani kupunguza matakataka matokeo yake walivyo wakorofi wakawa wanawaangamiza wale kunguru...
harafu wakisha wateketeza, wakae wao? sasa na wao si panya lakini au wana faida yyte ya ziada?Kwa kuongezea tu hawa panya wanaogopwa mpaka na nyoka. Lengo kubwa la hawa panya ni kuwateketeza wale panya wa kawaida
Hapo kwenye kuonja kwanzaHawa panya wanategeka kwa sumu bila shida, haujawahi au haujui jinsi ya kutumia sumu unaanza kusema hawategeki kwa sumu! Changanya unga kidogo sana na sumu nyeusi ya chenga, onja kama imekolea kisha weka sehemu kavu na yasiwepo maji yoyote karibu.
Unapochanganya vitu viwili ni vizuri uonje ili ujue ubora wake.Hapo kwenye kuonja kwanza
Em nenda hhuko umelaaniwa wewe peke akoLakini Kawe kuna Wanyasa wengi sana, wanaishi na Watanzania wakiwafanyisha kazi kwa mshahara kiduchu achilia mbali hao wanaokuja kwa Posa Boy.
Tena hawana vibali na hawajui Kiswahili vizuri, eti na kambi ya jeshi ipo jirani hapo hapo na ina vikosi muhimu kadhaaa.
Mtajua wenyewe na nchi yenu ya laana.
Bro punguza ujuaji mjaa laana wewe.Em nenda hhuko umelaaniwa wewe peke ako