Nani khasa huyu Ali Mwinyi Tambwe...Mzalendo, jasusi, shujaa wa Mapinduzi ya Zanzibar 1964?

Nani khasa huyu Ali Mwinyi Tambwe...Mzalendo, jasusi, shujaa wa Mapinduzi ya Zanzibar 1964?

Hii mada ya Magufuli? Si kafungue uzi wake utapata majibu.

Au yanakuumiza unayo yasoma hapa sasa upo mbioni kuhamisha magoli?
Maalim Faiza,
Historia hii imewachoma wengi.
Oxford University Press Nairobi waliusoma mswada wa kitabu changu.

Wakaniambia ni kazi nzuri lakini hawawezi kukichapa kwa kuwa wao
wanafanya biashara na serikali ya Tanzania kuchapa kitabu changu
ni muhali mkubwa kwao.

Niliangalia Kenya baada ya "publishers," hapa nyumbani kuogopa kukichapa
hiki kitabu.
 
Maalim Faiza,
Historia hii imewachoma wengi.
Oxford University Press Nairobi waliusoma mswada wa kitabu changu.

Wakaniambia ni kazi nzuri lakini hawawezi kukichapa kwa kuwa wao
wanafanya biashara na serikali ya Tanzania kuchapa kitabu changu
ni muhali mkubwa kwao.

Nilianalia Kenya baada ya publishers hapa nyumbani kukataa kukichapa
hiki kitabu.
Walikataa kutokana na upotoshaji uliopo!
 
Hii historia utaipata kwa mkuu Mohammed Said tuu,Allah akuhifadhi,Nikipitia maandiko yako kuna mengi huwa najifunza,Jazakallahu khayr Al akhy Mohammed Sayd
 
Gangongine hapana sababu haikuwa hiyo. Kitabu kiliambatana na pitio la profesa mmoja wa historia ambae aliusifu mswada kama kazi nzuri inayostahili kuchapwa.
 
Mada ya historia za viongozi. Kuna vingozi wengi wametajwa hapo juu.

Au unataka kumvunjia heshima Magufuli kwamba si kiongozi anayefaa kujulikana historia yake, anayefaa kujulikana ni Sykes tu?

Hapo ndipo ulipoonesha rangi yako kamili.

Kumbe yote ni kwa ajili uzi huu umegusa jina Sykes?

Tumekuelewa.
 
Gangongine hapana sababu haikuwa hiyo. Kitabu kiliambatana na pitio la profesa mmoja wa historia ambae aliusifu mswada kama kazi nzuri inayostahili kuchapwa.
"Upotoshaji" kwa tafsiri yao. Nafikiri unanielewa!
 
Naam nafurahi sana kupata historia nzuri kama hizi, safi sana Mzee MS
 
Asante sana kwa maandishi yako ambayo yanatufunua macho kwa yale yaliyotendeka mpaka tukafika mahala hapa tulipo. Inasikitisha sana kuona historia haipewi umuhimu wake, na pale inapopewa ni katika kupotosha ukweli ilikukidhi matakwa ya baadhi ua watu. Wahenga walisema, usipojua utokako, hakika hutajua unakoelekea!
 
Al Watan,
Sijui kwa nini unasema maneno haya.
Sithubutu kumvunjia heshima rais au yeyote awaye yule.

Mimi nimeandika historia ya waliopigania uhuru wa Tanganyika na nimenza
kutokea enzi za African Association katika 1920s hadi uhuru ulipopatikana 1961.
Hilo jibu kwa Faizafoxy.

Bado unanipiga chenga kunijibu kama Magufuli ataweza kula chapati kwa mchuzi Saigon.
 
"Upotoshaji" kwa tafsiri yao. Nafikiri unanielewa!
Tuandikie wewe historia ambayo unaijuwa kuwa si upotoshaji. Au japo kopi na kupesti hapa uipendayo. Ukishindwa ujuwe u muongo.

Simple.
 
Tuandikie wewe historia ambayo unaijuwa kuwa si upotoshaji. Au japo kopi na kupesti hapa uipendayo. Ukishindwa ujuwe u muongo.

Simple.
Umesoma vizuri post yangu? Naona hujaelewa mantiki na balagha iliyomo ndani yake!
 
Imebakia historia tena historia ya juzi ambayo haiwezi kubadili historia ya kesho!
 
Umesoma vizuri post yangu? Naona hujaelewa mantiki na balagha iliyomo ndani yake!

Nimeona hiyo "yao", sijaona walipoandika wamekataa kuchapisha kwa sababu ya "upotoshaji".

Ndiyo maana nikakwambia utuletee wewe uijuayo isiyo na " upotoshaji".

Balagha hapo ni " upotoshaji" na "yao". Maana kuu na mzizi wa neno " balagha" niijuwayo ni "kumbusho". Labda wewe unaijuwa vingine, hilo so tatizo kwangu.

Labda useme sijaelewa mantiki yako lakini kwa balagha haupo sahihi.
 
Nimeona hiyo "yao", sijaona walipoandika wamekataa kuchapisha kwa sababu ya "upotoshaji".

Ndiyo maana nikakwambia utuletee wewe uijuayo isiyo na " upotoshaji".

Balagha hapo ni " upotoshaji" na "yao". Maana kuu na mzizimwa neno " balagha" niijuwayo ni "kumbusho". Labda wewe unaijuwa vingine, hilo so tatizo kwangu.

Lands useme sijaelewa mantiki yako lakini kwa balagha haupo sahihi.
Hujaelewa mantiki. Nimefanya Tashtiti kwa kaka Mohamed kuwa wao ndio wanaona kuna upotoshaji wakati kimsingi hakuna upotoshaji wowote! Umenipata?
 
Imebakia historia tena historia ya juzi ambayo haiwezi kubadili historia ya kesho!
The lovers of romance can go elsewhere for satisfaction but where can the lovers of truth turn if not to history? ~Katharine Anthony
 
Hujaelewa mantiki. Nimefanya Tashtiti kwa kaka Mohamed kuwa wao ndio wanaona kuna upotoshaji wakati kimsingi hakuna upotoshaji wowote! Umenipata?
Hapo nimekupata na mantiki nimeielewa. Ahsante.
 
Back
Top Bottom