Wizara ipi sio ya muungano? Sina utaalamu wa sheria na katiba, kuna sehemu yoyote inayosema Wizara fulani katika serikali ya JMT itahusika na Tanganyika tu? Kuna wizara yoyote ya SMZ inaripoti kwa raisi wa JMT?Wizara ya fedha ni ya muungano, hawawezi kuteua waziri na naibu wote toka upande mmoja.
Nchi hii imeangushwa na haohao wanye CV kurasa 10.She obtained her Bachelor of Commerce degree in Finance from the University of Dar es Salaam in 1991. She thereafter obtained a Master of Philosophy in Policy Management and Development Economics and a Doctor of Philosophy in International Development from the University of Tsukuba in Japan.
Waziri wa mambo ya ndani,,fedha,,ulinzi,,muungano na mazingira hawa wanapiga kotekote bara na visiwani. Ila waziri wa kilimo yeye anapiga huku bara tu hausiki na visiwani..hizo ni baadhi tuWizara ipi sio ya muungano? Sina utaalamu wa sheria na katiba, kuna sehemu yoyote inayosema Wizara fulani katika serikali ya JMT itahusika na Tanganyika tu? Kuna wizara yoyote ya SMZ inaripoti kwa raisi wa JMT?
Na mimi nasema ni machizi pekee ambao hawatoniunga mkono!Mwehu pekee atakuunga mkono
Kuongea uwongo mtu aliye kwenye ofisi ya serikali ni majanga nchi nyingine mtu siku ya pili ana resign lakini kwetu uso mkavu utasema sio yeye aliyeongea sasa mtu kama huyu ndio PM ana uwezo gani leo wakukemea wengine kwa kusema uwongo wakati yeye alisema uwongo wazi kabisa. Ila kama hakukusudia alisema alichokuwa anakijuwa basi kapwaya inaonesha kiasi gani yuko out of coverage ni ku step down ila hatuna maadili katika maisha ya kawaida au public service.Umenichekeshaaaaa halafu umenikumbusha mama yangu alinipigia simu kuniambia nasikia magufuli anaumwa sana nikamwambia mama achana na maneno ya mtaani magu mzima si unaona hata waziri mkuu kasema? Nilivyokua namwamini huyu kiumbe dah! Sijawahi kumuamini tena
AnafaaHuyu ni MHASIBU na MTAALAMU WA KODI
Vipi mchungaji Gwajima, atatutoa? Apewe wizara gani huyo jamaa?Mwigulu Nchemba atazimudu siasa za wizara ya ulinzi kama tetesi zinavyosema au ndo atakwenda kupeleka siasa za wizara kwenye Jeshi? Kwangu mimi huyu si mtu sahihi kwa wizara ya ulinzi. Mzee Mkuchika anatajwa pia kwenda Ulinzi, yes will be chaguo sahihi lakini Bado tunaamini ana health strength yakuhudumu Kama Waziri? Kwangu mimi Mzee aachwe apumzike tusimchoshe. Anatajwa Simbachawene kwenda Ulinzi na Masauni kwenda Mambo ya Ndani. Masauni No, Simbachawene Yes. Kwa muktadha wa bla bla zinazoendelea naomba niseme mabadiliko yafutayo yanaweza kuleta tija
Bi. Stergomena Tax Waziri wa fedha, Charles Kimei Naibu Waziri wa fedha. Kwangu hii chemistry haina siasa nyingi na itajenga nidhamu ya kitaasisi ndani na nje endapo watapewa uhuru.
Simbachawene wizara ya Ulinzi, akisaidiwa na Masauni. Ndugulile Afya huku January Makamba akienda Mawasiliano.
Mwigulu Nchemba uwekezaji huku Kitila Mkumbo, DOROTH GWAJIMA wakisubiri bench kuona kama kidogo gurudumu litasogea.
Hivi ni kweli kiongozi akiwa mtaalamu wa hilo jambo/taasisi anayoiongoza kuna tija? Hasa hapa TZ/Afrika?Huyu ni MHASIBU na MTAALAMU WA KODI
Asante sana. Kwahiyo huu mkanganyiko ni wa kimakusudi kabisa, kuwa wizara nyingine za serikali ya JMT ni za Tanganyika? Ila zinaripoti kwa raisi wa JMT?Waziri wa mambo ya ndani,,fedha,,ulinzi,,muungano na mazingira hawa wanapiga kotekote bara na visiwani. Ila waziri wa kilimo yeye anapiga huku bara tu hausiki na visiwani..hizo ni baadhi tu
Mwigulu ni bora aondolewe.
Kiukweli wa mwenyezi mungu mwngulu na chawene waondolewe kabisa.Mwigulu Nchemba atazimudu siasa za wizara ya ulinzi kama tetesi zinavyosema au ndo atakwenda kupeleka siasa za wizara kwenye Jeshi? Kwangu mimi huyu si mtu sahihi kwa wizara ya ulinzi. Mzee Mkuchika anatajwa pia kwenda Ulinzi, yes will be chaguo sahihi lakini Bado tunaamini ana health strength yakuhudumu Kama Waziri? Kwangu mimi Mzee aachwe apumzike tusimchoshe. Anatajwa Simbachawene kwenda Ulinzi na Masauni kwenda Mambo ya Ndani. Masauni No, Simbachawene Yes. Kwa muktadha wa bla bla zinazoendelea naomba niseme mabadiliko yafutayo yanaweza kuleta tija
Bi. Stergomena Tax Waziri wa fedha, Charles Kimei Naibu Waziri wa fedha. Kwangu hii chemistry haina siasa nyingi na itajenga nidhamu ya kitaasisi ndani na nje endapo watapewa uhuru.
Simbachawene wizara ya Ulinzi, akisaidiwa na Masauni. Ndugulile Afya huku January Makamba akienda Mawasiliano.
Mwigulu Nchemba uwekezaji huku Kitila Mkumbo, DOROTH GWAJIMA wakisubiri bench kuona kama kidogo gurudumu litasogea.
Tax apewe maendeleo na viwanda, Kimei Fedha.Wizara ya fedha ni ya muungano, hawawezi kuteua waziri na naibu wote toka upande mmoja.
Hii tetesi mbovu kabisa. Ummy wizara ya fedha hapana kabisa. January Makamba na afya NooooooHabari za ndani sana za uhakika ni kuwa January Makamba anarudishwa kwenye baraza la mawaziri sasa, huenda akawa ni waziri wa Afya. Dr. Tax anaingizwa baraza la mawaziri (lakini sio wizara ya Fedha!). Wizara ya Ulinzi anapewa Mnzanzibar. Na huenda Ummy Mwalimu akawa waziri wa fedha.
Hizo ni tetesi rasmi.
Watu mna vichwa vizito sana, wizara ya Fedha ni ya muungano, mmoja Tanganyika mmoja Zanzibar, huelewi nini hapo?Naamini unazo chini ya kapeti
Tuwekee kidogo basi
Jafo ni dying horse, hastahili hata kuwa mbunge achilia mbali huo uwaziri.Jafo arudishwe tamisemi
Huyu awapeleke kwanza vijana wa kawe Marekani, na wengine Japan kujifunza uvuvi ndio anaweza kufikiriwa kujadiliwa.Vipi mchungaji Gwajima, atatutoa? Apewe wizara gani huyo jamaa?
Mwigulu Nchemba ni mchumi first class. Nadhani utakuwa umepata jibu.Hivi ni kweli kiongozi akiwa mtaalamu wa hilo jambo/taasisi anayoiongoza kuna tija? Hasa hapa TZ/Afrika?
Mnamsifia sana makamba sijui kwa lipi hasa. Sijawai muona katika nyazfa zunazo mkutanisha na wananchi moja kwa moja. Sema wamweke tumpime mapema kama ana fit au la.Kumtoa mwigulu wizara ya fedha ni kosa kubwa sana mama atafanya.......angemwacha kwanza amalizane na hili la tozo. Hili wazo la tozo ni muhimu sana kwa nguvu ya serikali, for what a government without money?!!
Kumleta makamba barazani ni jambo jema sana na naomba litokee haswaa. Tukiongea ukweli, makamba yuko njema sana kichwani.