Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaaaa visitors wanakusainia nyaraka mkaazi mwenyeji au mzawa?Wale ni visitors!
Hahahahaha .......ndiyo maajabu ya Tanganyika. Mtanganyika hajawahi kuingia kwenye Baraza la Wawakilishi hata Ile kusalimia tu.Haaaaa visitors wanakusainia nyaraka mkaazi mwenyeji au mzawa?
kwani Kuna tatizo gani. Hata angeshushwa malaika akishavaa kijani ni muda mfupi TU atageuka kuwa shetani.Au Kibajaji
Usishangae akawa Muunguja.Mkeka wa Spika ndio umekamilika ambapi utabiri wa Pascal Mayalla na Genta juu ya Spika ajaye umekamilika.
Sasa nafasi ya Naibu Spika iko wazu.
Nani atatufaa?
Je, ni vema akatokea Zanzibar kwa tiketi ya ACT wazalendo?
Maendeleo hayana vyama.
Ili kupunguza hasara ya muda na raslimali fedha-Ikiwemo ada ya kuchukua fomu,posho za vikao,mafuta,rushwa nk ni bora tu ateuliwe.Wanatumia kodi zetu hao,nadhani hizo chaguzi zina gharama.Naibu Spika angepewa hugo huyo TULIA ili awe na VYEO VYOTE maana ana Tamaa
mwache chief adeal na watu wake au umeshasahau kuwa hangaya ni chifu wa wasukumaMama Samiha kaamua kuwafutilia mbali sukuma gang kwenye ulingo wa siasa wakati yeye kafikishwa hapo na sukuma gang
Weka kifungu cha sheria au katiba ya nchi kinachosema naibu spika lazima awe mbungeMkeka wa Spika ndio umekamilika ambapi utabiri wa Pascal Mayalla na Genta juu ya Spika ajaye umekamilika.
Sasa nafasi ya Naibu Spika iko wazu.
Nani atatufaa?
Je, ni vema akatokea Zanzibar kwa tiketi ya ACT wazalendo?
Maendeleo hayana vyama.
Weka kifungu cha sheria au katiba ya nchi kinachosema naibu spika lazima awe mbunge
Au weweItapendeza sana!
Zungu darasa la saba B
Kama Mzee wa kitovuni alivyowafuta msoga gang na huku aliwekwa magogoni na waoMama Samia kaamua kuwafutilia mbali sukuma gang kwenye ulingo wa siasa wakati yeye kafikishwa hapo na sukuma gang
Mimi siyo mbunge!Au wewe
Itapendeza!Atapewa mbunge Mzanzibar mwanaume!
Chuki binafsi, fanya kazi achana na Tulia keshapata na ndiyo speaker wetuNaibu Spika angepewa huyo huyo TULIA ili awe na VYEO VYOTE maana ana Tamaa
kwani sukuma gang ndiyo watanzania zaidi? wala siyo walimfikisha hapo ni katiba fariki wao hawana mamlaka zaidi ya watanzania wengineMama Samia kaamua kuwafutilia mbali sukuma gang kwenye ulingo wa siasa wakati yeye kafikishwa hapo na sukuma gang
Watafute msukuma atafaa zaidi labda🤣🤣🤣🤣Naibu Spika angepewa huyo huyo TULIA ili awe na VYEO VYOTE maana ana Tamaa