Nani mkali kati ya Haruna Niyonzima na Clatous Chama?

Nani mkali kati ya Haruna Niyonzima na Clatous Chama?

Kwenu wadau wa Soka

Haruna Niyonzima na Clatous Chama Hawa ni Wachezaji ambao Wamejibebea Umaarufu Mkubwa kutokana na Uwezo wao wa Kucheza Soka la KIWANGO cha Juu katika Ligi Yetu ya Tanzania.

Viungo Hawa wamekuwa wakiwapa Matumaini Mashabiki wa Timu zao hasa wanapoanza katika kikosi na kufanya Mambo makubwa ndani ya Uwanja na kupelekea Timu pinzani kuonekana Kama wanaonewa na Kunyanyaswa na Wachezaji hao.

= Leo Tujue Kati ya Clatous Chota CHAMA (Mwamba wa Lusaka) na Haruna Hakizimana NIYONZIMA (Baba mzazi)

JE, NANI NI MCHEZAJI BORA ZAIDI.

"Soka ni Mchezo wa Wazi"
Mkuu usimfananishe baba mzazi na wakambo,ni vitu viwili tofauti kabisa,niyoo niyooo mzima mzima,usimfananishe na huo uchafu sio size Yake
 
Pa

Pamoja na UD songo
giphy.gif
 
Mkuu usimfananishe baba mzazi na wakambo,ni vitu viwili tofauti kabisa,niyoo niyooo mzima mzima,usimfananishe na huo uchafu sio size Yake
Mbona alikosa namba Simba..?
 
Hii si kweli mkuu...Haruna kwenye ubora wake ni bora kuliko Sure boy lakini si level za Chama...ni heri hata tungemdiscuss Chama na Kamusoko (Kampa kampa tena) kwenye ubora wake,ambaye alimuonyesha Haruna jinsi ya kucheza Modern football na kuchukua namba yake pale Yanga..
Kumbe Kamusoko ni ticha wa Haruna?
 
Haruna Niyonzima?
Hiki ni kichekesho. Siyo mbaya lakini huwez kamwe kumfananisha na CCC.
Angekua na viwango hivyo asingeachwa na SSC
Kuachwa inasemekana ni tabia haikuwa nzuri kikosini japo hata nafasi alikuwa anaipata kwa shida
 
Kwenu wadau wa Soka

Haruna Niyonzima na Clatous Chama Hawa ni Wachezaji ambao Wamejibebea Umaarufu Mkubwa kutokana na Uwezo wao wa Kucheza Soka la KIWANGO cha Juu katika Ligi Yetu ya Tanzania.

Viungo Hawa wamekuwa wakiwapa Matumaini Mashabiki wa Timu zao hasa wanapoanza katika kikosi na kufanya Mambo makubwa ndani ya Uwanja na kupelekea Timu pinzani kuonekana Kama wanaonewa na Kunyanyaswa na Wachezaji hao.

= Leo Tujue Kati ya Clatous Chota CHAMA (Mwamba wa Lusaka) na Haruna Hakizimana NIYONZIMA (Baba mzazi)

JE, NANI NI MCHEZAJI BORA ZAIDI.

"Soka ni Mchezo wa Wazi"
Acheni ujinga. MVP inatosha kukwambia nani zaidi...
 
Zaman watu kama wewe wangefukiwa chini ardhini wangeachwa kichwa tu halafu wakojolewe na kunyewa kichwani na kundi la watu wasiopungua 100. Na kuachwa hapo kwa siku 7.

Unawezaje mfananisha mtu mwenyw PHD ya mpira na mtu mwenye Diploma ya Mpira? Yaani Chama unamfananisha na Haruna? Wewe ulipaswa upigwe Mawe hadi kufa.
 
Zaman watu kama wewe wangefukiwa chini ardhini wangeachwa kichwa tu halafu wakojolewe na kunyewa kichwani na kundi la watu wasiopungua 100. Na kuachwa hapo kwa siku 7.

Unawezaje mfananisha mtu mwenyw PHD ya mpira na mtu mwenye Diploma ya Mpira? Yaani Chama unamfananisha na Haruna? Wewe ulipaswa upigwe Mawe hadi kufa.
Mada inajieleza kuwa nani bora zaidi ya mwingine..?

Usitake kutuaminisha kwamba huko zamani kulikuwa hakuna maswali.
 
Back
Top Bottom