Basi Nampa kura yangu Chinowanaman,najua atakuwa anajua kweliChino anajua ule ukweli ,Msami ni kik hana mafanikio na mwili hauchezi🤣🤣🤣Msami jina lake na yeye wapo tofauti yaani ni dancer ambaye ni local sana na kucopy hana mpya .
Tuzo za juzi. Yaani wewe hujui chochote. Kuna mwaka diamond alienda kupokea tuzo msami akiwa nyuma yake. Tuzo za kili awards kama sikosei. Hao wakina iyobo hawawezi jishindanisha na msami, msami kawahi kwenda sawa na sheta, msami na makomandoo. Kama ilivyo kutungia nyimbo kwa vijana wa THT basi msami hupajga styles kwenye majukwaa na kwenye video za mziki. Kazi ambayo chino sasa anaifanya. Msami si mtu wa vijiweni. Kazi bado inaendelea .. wewe hujui chochote. Upo kizazi cha chino. Chino ni mzuri na ana upepo hata iyobo, msami, na madancers kibao wamepitia humo.Mshamba nn huyo Msami nan ambaye hamjui?
Usifuate mkumbo soma nilichoandika hapo kwanza ,nimekuambia mbele ya Mose iyobo ...Mose iyobo ni bingwa wa style na zinabamba kitaa Msami ni mzuri kwa kucopy hana style zinzobamba Mfano chukulia nyimbo ya "Nana" ya diamond kaangalie ile style bado kuna My number one hizo ni style katoa Mose iyobo .
Nipe style ya Msami hana lolote nanq asiyemjua ....Twende kweny tunzo sana!?
🤣🤣Acha kufananisha iyobo na wacheza vigodor yaani Msami ni wauswahilini hana style anamix na kupaste hajulikani kabisa.Tuzo za juzi. Yaani wewe hujui chochote. Kuna mwaka diamond alienda kupokea tuzo msami akiwa nyuma yake. Tuzo za kili awards kama sikosei. Hao wakina iyobo hawawezi jishindanisha na msami, msami kawahi kwenda sawa na sheta, msami na makomandoo. Kama ilivyo kutungia nyimbo kwa vijana wa THT basi msami hupajga styles kwenye majukwaa na kwenye video za mziki. Kazi ambayo chino sasa anaifanya. Msami si mtu wa vijiweni. Kazi bado inaendelea .. wewe hujui chochote. Upo kizazi cha chino. Chino ni mzuri na ana upepo hata iyobo, msami, na madancers kibao wamepitia humo.
Msami alitamba kwa muda wake. Kijana alitamba kiasi kwamba akadate na wasanii wa bongo movie uwoya akiwa mmoja wapo.🤣🤣Acha kufananisha iyobo na wacheza vigodor yaani Msami ni wauswahilini hana style anamix na kupaste hajulikani kabisa.
Iyobo ni international usifananishe na wacheza vigodor.
Chino ni mwepesi hyo Msani hamna kitu hana umaarufu kwanza kazima ghafla .
Msami ni dancer wa vigodoro ni mzuri kwa kucopy n kupaste ila hana jipya kweny style zake za kawaida ... Madogo wa ice dancer wanajua hizo style hufiki popote .Msami alitamba kwa muda wake. Kijana alitamba kiasi kwamba akadate na wasanii wa bongo movie uwoya akiwa mmoja wapo.
Enzi za ujana namkumbuka sana msami. Kumlinganisha na vijana wa sasa unakosea sana.
Chino anajuaHabari wana jf ,nani mkali kati Chino kidd vs Msami.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chino....huyu mtu nadhani nyota yake ipo vizuri Sijawahi kumfuatilia hata uchezajai wake ila nimejikuta nampenda nikisikia "Chinowanaman Chinowanaman"
Wewe kama mimi. Yani ukiniuliza wimbo wake hata mmoja au dance sijui lakini ñimejikuta namkubali. Kuna wimbo kaimba na fid ndio nnaoufahamu tu.Chino....huyu mtu nadhani nyota yake ipo vizuri Sijawahi kumfuatilia hata uchezajai wake ila nimejikuta nampenda nikisikia "Chinowanaman Chinowanaman"
Damn u r missing alot in Tz hawa ndio madancer bora.Mkuu huyo chino na msamee ni masteji show Kijijini kwenu ama mbona siwajui?And I have been places blv dat.
Mshamba nn huyo Msami nan ambaye hamjui?
Usifuate mkumbo soma nilichoandika hapo kwanza ,nimekuambia mbele ya Mose iyobo ...Mose iyobo ni bingwa wa style na zinabamba kitaa Msami ni mzuri kwa kucopy hana style zinzobamba Mfano chukulia nyimbo ya "Nana" ya diamond kaangalie ile style bado kuna My number one hizo ni style katoa Mose iyobo .
Nipe style ya Msami hana lolote nanq asiyemjua ....Twende kweny tunzo sana!?
mose iyobo na diamond ni kama mkate na blue band,,,wanapatana sanaMshamba nn huyo Msami nan ambaye hamjui?
Usifuate mkumbo soma nilichoandika hapo kwanza ,nimekuambia mbele ya Mose iyobo ...Mose iyobo ni bingwa wa style na zinabamba kitaa Msami ni mzuri kwa kucopy hana style zinzobamba Mfano chukulia nyimbo ya "Nana" ya diamond kaangalie ile style bado kuna My number one hizo ni style katoa Mose iyobo .
Nipe style ya Msami hana lolote nanq asiyemjua ....Twende kweny tunzo sana!?
Msami anajua ila ni level za local kweny vigodoro.Mkuu Tunatatizo kubwa sana la kulinganisha ubora bila kuangalia era
Ubora wa mtu unapimwa kwenye era yake(yaani walikua wanatumia style gani na alikua bora kiasi gani kwenye hiyo hizo style)
Hadi leo Michel Jackson anaheshimika kama mwimbaji na dancer bora kabisa kuwahi kutokea duniani, lakini kwa kizazi cha sasa kuna watu wanacheza hadi unaogopa na kuona Mbona Jackson cha mtoto?
Ukirudisha wakina maradona na pele kwenye peak yao dunia ya leo watasugua benchi sana tu kwa matakwa ya makocha na mpira wa kileo, wanatakiwa wakina Haland game nzima ana touch 6 magoli mawili lakini wakina maradona wanapiga chenga uwanja mzima[emoji23]
Msumi enzi yake alifanya alichofanya Chino...... Ali dance sana na akaja kuwa muimbaji akavuma sana tu
Na enzi hizi mziki wetu ulikua mdogo sana mambo ya tuzo za dancer hayakuwepo kivile kama sasa
Sasa hivi Msumi amebaki kuwa mwalimu mzuri sana, video nyingi za muziki unazoziona za akina Nandy, Maua Sama na wasanii wengi waliopitia THT ni kazi ya Msumi kwenye dancing
Chino ni mzuri kwa era yake ya sasa lakini naamini hamfiki Iyobo sema ni vile uimbaji umemtoa zaidi na kumfanya maarufu zaidi
Ila kwenye kucheza tu iyobo ni balaa kwenye era yao
Kwenye huu ulimwengu wa ku TREND ukipigisha kura lazima Chino atashinda tu, kuna watu watampenda tu hata hawajawahi kuona akicheza ila trend ya nyimbo zake na ile signature yake kwenye nyimbo zake “Chinowanaman” inavutia sana aiseee
Ktambo sanamose iyobo na diamond ni kama mkate na blue band,,,wanapatana sana
Msami anajua ila ni level za local kweny vigodoro.
Hakuna style ya "leaning" hii inajulikana kwa Michael Jackson huyo Msami hana style yeye ni kucheza kama watu kweny macamp ni dancer ambaye yupo local sana type yake ni wale Makomandoo tena wale wana style nyingi ni zao zinawatambulisha ila Msami yeye hana style.
Ukizungumzia dancer dunia ukimuongleaa Michael Jackson hapo ushaongelea ishu ya pop na style yake ya ile ya kulean ,ukisema Neyo huyo kwa kucheza na jukwaani shaking zile na kucheza na Mic ndefu zile ...Wakina usher na Chris brown wnajulikana wana style zao za unique .
Msami sio mbunifu palikuwa na kina said Christopher na More love hawa walifanya vyema kweny Cheza Tanzania yale mashindano ila hawakuwa na majina makubwa ,walikuwa zaidi ya Msami.
Huyu mpk leo bado dancer tuuMsami hamna kitu pale