Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 7,621
- 12,505
Huyu mpk leo bado dancer tuu
Ndio kazi yake mkuu [emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mpk leo bado dancer tuu
Umemaliza Msami ,kitambo saana ,na hadi akawa mwalimu pale THTBado nipo pale pale...... zingatia era mkuu
Enzi ya Msami Baby mziki wetu hakuwa unafanya vizuri international kama sasa, ulikua unaishia EA Tv
Chino ana enjoy international recognition ya muziki wetu, Trace, Channel nk nk
award zipo mpaka category ya East Africa..... lazima umuone international na Msami alikua local
Akina Msumi walikua na dance style zao kwa kipindi hicho kama walivyo wakina Chino na style zao za amapiano nk
Msami alisumbua sana tu nyimbo zili hit sana na alikua Top dansa enzi hizo
Enzi hizo muziki tanzania kitovu ilikua ni THT, wasanii wa THT walikua juu sana wanabebwa na Clauds Msami alikua top na sio vigododoroni mkuu
Hakuna msanii anayedumu milele, ni sawa na kusema Rich mavoko ni local na wakati amewahi kufanya makubwa sana sema soko la muziki linamkataa kama alivyo Msami
Usimuone anapiga vigodoro uswahilini anaganga njaa tu ila aliku top dancer na hit song kali
Dah kitambo sana, na Fred yuko wapi ?Ndio kazi yake mkuu [emoji23][emoji23]
Hapo sawaBado nipo pale pale...... zingatia era mkuu
Enzi ya Msami Baby mziki wetu hakuwa unafanya vizuri international kama sasa, ulikua unaishia EA Tv
Chino ana enjoy international recognition ya muziki wetu, Trace, Channel nk nk
award zipo mpaka category ya East Africa..... lazima umuone international na Msami alikua local
Akina Msumi walikua na dance style zao kwa kipindi hicho kama walivyo wakina Chino na style zao za amapiano nk
Msami alisumbua sana tu nyimbo zili hit sana na alikua Top dansa enzi hizo
Enzi hizo muziki tanzania kitovu ilikua ni THT, wasanii wa THT walikua juu sana wanabebwa na Clauds Msami alikua top na sio vigododoroni mkuu
Hakuna msanii anayedumu milele, ni sawa na kusema Rich mavoko ni local na wakati amewahi kufanya makubwa sana sema soko la muziki linamkataa kama alivyo Msami
Usimuone anapiga vigodoro uswahilini anaganga njaa tu ila aliku top dancer na hit song kali
Fred wayne yule mchizi wa Mbeya alikuwa anaunda kundi la makomandoo.Umemaliza Msami ,kitambo saana ,na hadi akawa mwalimu pale THT
Hivi Fred yuko wapi nae alikua dancer mzuri tu dogo yule
Ewaaa, mdg wangu yule yuko wapi siku hz ?Fred wayne yule mchizi wa Mbeya alikuwa anaunda kundi la makondoo.
Kawa kibonge sijui kapotelea hawa jamaa 😂😂siwaoni kabisa .Ewaaa, mdg wangu yule yuko wapi siku hz ?
Chino ni dancer ambaye anacheza kila aina ya mziki tofauti na hao wengine mlowatajaChino anajua ule ukweli ,Msami ni kik hana mafanikio na mwili hauchezi🤣🤣🤣Msami jina lake na yeye wapo tofauti yaani ni dancer ambaye ni local sana na kucopy hana mpya .
Madogo walitoa show katika wedding yangu, enzi hizo wako vzrKawa kibonge sijui kapotelea hawa jamaa 😂😂siwaoni kabisa .
Wao ni dancers ila wanashindwa kuweka mwili katika hali nzuri ,sasa ni vibonge hawana miili mizuri ya kucheza dah yaani acha tu.Madogo walitoa show katika wedding yangu, enzi hizo wako vzr
Jamaa ana nyota sana na kuimba kavamia tu 😂😂ila ni dancer kwa asili.Chino ni dancer ambaye anacheza kila aina ya mziki tofauti na hao wengine mlowataja
Watu kutoka milima ya uluguru waogope sana 🤣🤣🤣Jamaa ana nyota sana na kuimba kavamia tu 😂😂ila ni dancer kwa asili.
Hawa madancers wengi kama wameathirika fulani na kucheza yule jamaa nilimuona sinza madukani ila miguu haitulii anaruka ruka tu na yuko peace sana ....Yaani mda wote ni kucheza tuWatu kutoka milima ya uluguru waogope sana 🤣🤣🤣