Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Messi Ni level nyingine kbsa.KDB Ni mzuri ila Bado hajafikia viwango vya messi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahii kabisa,KDB akipiga pasi hesabu yake inaonekana wazi, namna alivyojipinda, nguvu anayoikadiria with accuracy, nk... Ukifanyia mazoezi unaupata uwezekano.
Messi haijulikani mpira unatokaje miguuni mwake na unafikiaje kwa mlengwa, ila tu unafika. Hata ufanyie mazoezi vipi, hutajua inawezekanaje. Ni kama anadanganya, ila ndio yanafanyika kweli.
Vijana wa mr la pulga bhana kwaio akina pirlo maestro, ozil wanacheza redeXavi
Thiago Alcantara..
Iniesta
Messi....
Kwa ufupi kama hukupita La Masia...mpira wa pasi kwako huujui...
Simpendi Messi ila mmemdhalilisha sana kumfananisha na upuuzi, KD hafikii hata kwa S. Fabregas.Wasalaam,
Kevin De Bruyne na Lionel Messi ni wachezaji wawili wenye vipaji vya kipekee katika soka na wote wawili wanajulikana kwa ustadi wao wa kupiga pasi. Hata hivyo, wana mbinu tofauti za kucheza na kuandaa pasi.
Kevin De Bruyne, ambaye ni kiungo wa kati wa Manchester City na timu ya taifa ya Ubelgiji, ana uwezo mkubwa wa kuona nafasi na kutoa pasi za kina. Ana udhibiti mzuri wa mpira na ufahamu wa hali ya wachezaji wenzake uwanjani. De Bruyne anajulikana kwa uwezo wake wa kutoa pasi za kuunganisha na pasi ndefu zinazovunja ngome ya timu pinzani. Yeye ni mtaalamu wa kubuni na kuandaa nafasi kwa wachezaji wenzake.
Lionel Messi, ambaye ni mshambuliaji na alikuwa akiichezea Barcelona, sasa PSG, na timu ya taifa ya Argentina, ni mchezaji mwenye kipaji cha kipekee. Yeye ni mtaalamu wa kupenyeza katika ngome ya timu pinzani na ana uwezo mkubwa wa kuunda nafasi za hatari. Messi ana udhibiti mzuri wa mpira na kasi ya ajabu, ambayo humruhusu kupenya katika safu ya ulinzi na kutoa pasi za kushtukiza ambazo mtu anamalizia kwa kuweka tu mguu.
Vivo hivo Messi ana uwezo mkubwa sana wa long ball na penetration passes kwahyo ameshacheza sana kama midfield deep kabisa.
Kati ya hao wawili nani ni Maestro akiikamia Midfield na anapiga pasi hatari??
Nipo hapa timu CR 7, ila dishi la Mleta mada limeyumba.Nipo nakagua ID za team Ronaldo hapa.
Leo Messi ni complete package. Anakupa kila kitu kuanzia pasi, dribbling, mpaka kufungaWasalaam,
Kevin De Bruyne na Lionel Messi ni wachezaji wawili wenye vipaji vya kipekee katika soka na wote wawili wanajulikana kwa ustadi wao wa kupiga pasi. Hata hivyo, wana mbinu tofauti za kucheza na kuandaa pasi.
Kevin De Bruyne, ambaye ni kiungo wa kati wa Manchester City na timu ya taifa ya Ubelgiji, ana uwezo mkubwa wa kuona nafasi na kutoa pasi za kina. Ana udhibiti mzuri wa mpira na ufahamu wa hali ya wachezaji wenzake uwanjani. De Bruyne anajulikana kwa uwezo wake wa kutoa pasi za kuunganisha na pasi ndefu zinazovunja ngome ya timu pinzani. Yeye ni mtaalamu wa kubuni na kuandaa nafasi kwa wachezaji wenzake.
Lionel Messi, ambaye ni mshambuliaji na alikuwa akiichezea Barcelona, sasa PSG, na timu ya taifa ya Argentina, ni mchezaji mwenye kipaji cha kipekee. Yeye ni mtaalamu wa kupenyeza katika ngome ya timu pinzani na ana uwezo mkubwa wa kuunda nafasi za hatari. Messi ana udhibiti mzuri wa mpira na kasi ya ajabu, ambayo humruhusu kupenya katika safu ya ulinzi na kutoa pasi za kushtukiza ambazo mtu anamalizia kwa kuweka tu mguu.
Vivo hivo Messi ana uwezo mkubwa sana wa long ball na penetration passes kwahyo ameshacheza sana kama midfield deep kabisa.
Kati ya hao wawili nani ni Maestro akiikamia Midfield na anapiga pasi hatari??
hahahahahahaNipo hapa timu CR 7, ila dishi la Mleta mada limeyumba.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app