Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Team Messi mnajikuta sanaNgoja kwanza uyo bwana Kelvin ana kombe lolote la dunia? Maana tusije mshindanisha Messi na vitu vya ajabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Team Messi mnajikuta sanaNgoja kwanza uyo bwana Kelvin ana kombe lolote la dunia? Maana tusije mshindanisha Messi na vitu vya ajabu
nani amekwambia hapa ni mtihani unajua maana ya open forum / Open Dialogoe? ni mtu kuongelea kinachoongelewa kutokana na mada husika; maadam kuna neno pasi basi mimi naweza kuongelea hilo neno pasi au kuonyesha kwamba katika wakali hata hao walioletwa hapa ni subset..., Unaweza ukasema ni nani mkali katika marais baina ya JK na JPM mimi nikakwambia ukitaja neno Urais na Wakali bila Kumtaja JKN mada inakuwa haijakamilika....Uwe unaelewa mada. Wapi wametaja listi? Nyie ndio huwa mnafeli mitihani kwa kutofuata maelekezo.
Sio Messi tu bali hadi MayeleTeam Messi mnajikuta sana
Duh! Haya Mkuu. [emoji2][emoji2]nani amekwambia hapa ni mtihani unajua maana ya open forum / Open Dialogoe? ni mtu kuongelea kinachoongelewa kutokana na mada husika; maadam kuna neno pasi basi mimi naweza kuongelea hilo neno pasi au kuonyesha kwamba katika wakali hata hao walioletwa hapa ni subset..., Unaweza ukasema ni nani mkali katika marais baina ya JK na JPM mimi nikakwambia ukitaja neno Urais na Wakali bila Kumtaja JKN mada inakuwa haijakamilika....
Ni open forum sio fill in the blanks..., Ukifuata ushauri wako Jibu ni kati ya hao wawili sababu hata ukisema kwanini unakuwa umekosea..., na wewe kunijibu mimi kuhusu comment yangu unakuwa umekosea sababu ni wapi wamesema huu uzi ni wa kukosoana ?
I think you get the drift.....