Lamentations
JF-Expert Member
- Mar 12, 2023
- 285
- 848
Hizi ni dharau sasa..
KDB ilibidi uanze na kumlinganisha na kumlinganua na kina Cesc, Ozil. Thiago
KDB ilibidi uanze na kumlinganisha na kumlinganua na kina Cesc, Ozil. Thiago
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii sentensi ya mwisho ungeiandika kwa herufi kubwa.Xavi
Thiago Alcantara..
Iniesta
Messi....
Kwa ufupi kama hukupita La Masia...mpira wa pasi kwako huujui...
Atazame game ya Barca v Madrid 2009 au 10 kama sikosei. El Classico ya kwanza kwa Ronaldo na Jose Mourinho.Hakuna mchezaji mwenye uwezo wa kupiga pass kama Messi.
Messi anapiga penetration pass sijawahi kuona
Ukiitwa mpumbavu utasema umeonewa.Messi zama zake zilishapita, kwa sasa KDB ni top. Lakini hata kwa hizo zama zake Messi hakuwa Best. Xavi, Iniesta, Ozil
Hao uliowataja wenyewe wakijua umewafananisha na Messi watakutukana. Hapo hakuna hata mmoja anayemfikia Messi kwa pass za mwisho, na assistsMessi zama zake zilishapita, kwa sasa KDB ni top. Lakini hata kwa hizo zama zake Messi hakuwa Best. Xavi, Iniesta, Ozil
Kaangalie takwimu za ozil kwenye chances created, assists alafu nenda kaangalie na kwa messiMpaka sasa sijaona mtu kama MESUT OZIL JICHO LA PANZI
MARCELO pia alikuwa ni balaaa
Itakuwa ozil kaangushwa na aliokuwa anacheza nao ila mimi niliona alikuwa hatar kupenyezaKaangalie takwimu za ozil kwenye chances created, assists alafu nenda kaangalie na kwa messi
Messi ni bingwa mno kwenye kupiga pass za mwisho
Uwe unaelewa mada. Wapi wametaja listi? Nyie ndio huwa mnafeli mitihani kwa kutofuata maelekezo.List ya wakali wa Pasi bila majina ya Xavi na Andre Pirlo (Maestro) hio list haijakamilika
Uwe unaelewa mada. Wapi wametaja listi? Nyie ndio huwa mnafeli mitihani kwa kutofuata maelekezo.List ya wakali wa Pasi bila majina ya Xavi na Andre Pirlo (Maestro) hio list haijakamilika
Hao uliowataja wenyewe wakijua umewafananisha na Messi watakutukana. Hapo hakuna hata mmoja anayemfikia Messi kwa pass za mwisho, na assists
Ukiitwa mpumbavu utasema umeonewa.