Nani mkali wa Pasi kati ya Kevin De Bruyne Vs Lionel Messi?

Sahii kabisa,
miguu ya Messi iko sharp Sana,
Akishika mpira hatabiriki atafanya nn.

Unahisi Kama anapiga chenga akupite,kumbe anakusanya Kijiji muache nafas atoe pasi[emoji4]
 
Messi zama zake zilishapita, kwa sasa KDB ni top. Lakini hata kwa hizo zama zake Messi hakuwa Best. Xavi, Iniesta, Ozil
 
KDB pasi zake zinaitwa "chukua hiyooo". Anaepokea pasi anajikuta akisema, "jamaa anajua"



Messi pasi zake zinaitwa "ushindwe mwenyewe tu". Anaepokea pasi anajikuta akiwaza, "Oya huu mpira umenifikia vipi mazee?"


[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Messi kwenye suala la pasi, anaweza kupambanishwa na wenzie aliopita nao La Masia.

  • Xavi Hernandez
  • Andres Iniesta
  • Thiago Alcantara
  • Cesc Fabregas
  • Sergio Busquets


Tofauti na La Masia, nadhani ni Mesut Ozil pekee ndio anaweza kubattle na Messi kwenye hiyo sekta!
 
Simpendi Messi ila mmemdhalilisha sana kumfananisha na upuuzi, KD hafikii hata kwa S. Fabregas.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Leo Messi ni complete package. Anakupa kila kitu kuanzia pasi, dribbling, mpaka kufunga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…