Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Unajua mi sijui hata watu wanajadili nini hasa.. ukiangalia kichwa cha habari utaona kinasema nani ni mkuu kati ya mkurugenzi wa usalama na Mkuu wa majeshi. Sasa nataka niweke majibu hapa. CDF ndo Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama. Note hapo, usalama nao wanamhusuTiss wengi wanaopelekwa Jwtz ikiwa ni kipindi cha mafunzo wengi hukimbia ama kabla ya kumaliza mafunzo au baada ya kumaliza mafunzo, lakini pia Tiss hufanya usaili kwa kuchukua baadhi ya askari waliopo jwtz, sio kama wanaondoka jwtz moja kwa moja bali hufanyia kazi wakiwa humo humo.
Kwa kuongezea tu,pia hyo CDF ni member wa TISS. Nchi yetu huwezi kupewa madaraka ya kuongoza taasisi yoyte bila kuwa member wa TISS.Wana vyuo Na sehemu zao maalum... Si jeshini....
Hawa wanaonekana wadogo kutokana Na mfumo wao wa kufanya kazi nyuma ya pazia...lakini..Cdf..ili apite file yake lazima ipitie kwao... na hata rais!
Jeshi Lina nguvu ...watu Na silaha nyingi zaidi..Ila ikitokea Vita mpaka jeshi kwenda kupigana ujuwe...TI...kahusika ndio maana wapo mpaka jeshini Ila wanalipwa Na kitengo!...
Cdf...anaweza zimwa na hawa jamaa Ila yeye Hana uwezo wa kuwazima!... Na ndio Wana uwezo wa kumonitor Na kucontrol mpaka taasisi ya raisi!
Cdf..ni mkuu...wa vyombo vyote vya ulinzi Na usalama ila si kwa kitengo!
Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
Naona wana JF ndio wanasema tiss imepenye ma TISS jeshini. Bila kujua hao ni wanajeshi walikuwa jeshini na wamerudi jeshini, na kule walikuwa na majukumu flani.. jeshi MI inafanya kazi sana, sema sio vidomo domo kama hawa wengine, ndio maana watu hawaelewi lolote na hiyo ndio sifa mojaa kuu sana ya usalama wowote kuto eleweka wala watu kutokujua unafanya niniKwa sababu tiss ni sensor ya nchi na kuna task ni lazima ushirikiano ufanyike baina ya hivyo vyombo.
JWTZ kuna watu wana akili kishenzi kuliko hao TISS.. anzia Mabeyo na Diwani.. tukiachana na hawa wa chini.. na unapata picha pana, tazama nchi ilipo kiuchumi na mambo mengineUsalama huwa inatakiwa iwe kazi ya akili zaidi badala ya kutunisha misuli.
Ulicho kisema ndo ukweli wenyeweYawezekana ikawa haijulikani lakini mkuu wa usalama akawa ,Ndio mkuu wa wote ktk nje ya kamera na wote wakaripoti kwake kisiri bila kujuana ila ktk hadhara Cdf akaonekana mkubwa mfn Diwani wakati yupo mkuu wa takukuru alikuwa akiripoti kwa kipilimba bila wenzie kujua mpaka hayati alipo mbainisha hadharan n badae kuja kuwa Dgis na kipilmba kupelekwa ubalozini ikibakii siro n wengne wakishangaa !!
Umemaliza kila kitu.Mkuu huijui TISS nasisitiza huijui TISS, Jeshi liko monitrd na hiyo TISS na nataka nikuambie umeona ule uapaji wa maluteni usu ile juzi? Basi mule ndani wamechomekwa watu wa TISS kibao ili kufanya kazi za TISS ndani ya JWTZ na kwa taarifa yako kuanzia ngazi ya Brigedia Jeneral mpaka General pale kuna watu wa TISS zaidi ya 6 hivyo huwezi kuamua chochote wao wasijue. TISS hufanya kazi hata nje ya mipaka ya nchi ili kujua usalama wa nchi yetu. Nikuambie zaidi ni kwamba suala la usalama ni pana sana kuliko ULINZI. ULINZI ni ile hali ya KULINDA na KUTULIZA hali pindi itokeapo shida. USALAMA ni pamoja na KUTAFUTA NA KUGUNDUA KITU CHOCHOTE KITAKACHOIPATA AU KITAKACHOTOKEA NCHINI NA KUHATARISHA USALAMA WA NCHI AMBAPO SASA NDIO HAO JWTZ HUAMBIWA IMARISHENI ULINZI SEHEMU FULANI KUTOKANA NA KITU HIKI AU KILE.
MAJUKUMU ya USALAMA ni mapana mno kuliko tuonavyo ndio maana TISS kuna wale ambao huripoti kila siku na kuonekana ofisi za mikoa, wilaya ua HQ na wale ambao hupaswi kuwajua kabisa ambao hao utawakuta JWTZ, POLISI, MAGEREZA, TRA, TPA, WABUNGE, WALIMU NK.
CDF hawezi patikana bila TISS kuweka mkono wao ILA DGIS anapatikana hata bila JWTZ kujua kutokana na unyeti wa nafasi zao. MMOJA NGUVU ya BUNDUKI mwingine MIFUMO. Kumbuka MFUMO ndio huongoza hizo BUNDUKI.
hiiiiiii hiiiWana vyuo Na sehemu zao maalum... Si jeshini....
Hawa wanaonekana wadogo kutokana Na mfumo wao wa kufanya kazi nyuma ya pazia...lakini..Cdf..ili apite file yake lazima ipitie kwao... na hata rais!
Jeshi Lina nguvu ...watu Na silaha nyingi zaidi..Ila ikitokea Vita mpaka jeshi kwenda kupigana ujuwe...TI...kahusika ndio maana wapo mpaka jeshini Ila wanalipwa Na kitengo!...
Cdf...anaweza zimwa na hawa jamaa Ila yeye Hana uwezo wa kuwazima!... Na ndio Wana uwezo wa kumonitor Na kucontrol mpaka taasisi ya raisi!
Cdf..ni mkuu...wa vyombo vyote vya ulinzi Na usalama ila si kwa kitengo!
Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
Wewe ndo sio muelewa,huyo uliyesema si kwamba alitolewa jeshini akapelekwa TISS ila ni kwamba tangu awali alikuwa TISS. Na umeshaambiwa TISS wapo kila kada ikiwepo hiyo JWTZ ili kumonitor mambo. Kwahiyo huko mbeleni usije shangaa mkurugenzi wa hospatal Muhimbili akawa DGI TISS.Amka ndugu yangu..uliza vizuri kama hujui. Hata wakuu wa TISS wengine wametokea jeshini. Mfano ni Hans Kitine, alitolewa jeshini kwenda usalama kuwa mkuu. Wapo wengi sana. Asilimia ya usalama wengi wanachukuliwa kutoka jeshini. That's a fact. Kwasababu wanakuwa well drilled kwenye mambo ya uzalendo
( Jeshini kwenyewe kuna watu wa tiss, tiss ni serikali ndani ya serikali.
The one who control infomation controls everything. )
Ulichoandika hapo ndio UONGO..
Inatakiwa ujue TISS ni nini na JWTZ ni nini.
Jeshi lina intelijensia yake yenyewe haiingiliwi.
Unavyosema Serikali ndani ya serikali unaijua SERIKALI? mihimili yake unaijua? Usirahisishe vitu vikawa vyepesi
Kwahiyo unataka kusema mkurugenzi wa TISS ni boss wa CDF? Ujinga nao ni mzigo. Kwanini CDF ni Mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama?Wewe ndo sio muelewa,huyo uliyesema si kwamba alitolewa jeshini akapelekwa TISS ila ni kwamba tangu awali alikuwa TISS. Na umeshaambiwa TISS wapo kila kada ikiwepo hiyo JWTZ ili kumonitor mambo. Kwahiyo huko mbeleni usije shangaa mkurugenzi wa hospatal Muhimbili akawa DGI TISS.
Rahisi sana kuingiza JWTZ kwenda TISS kuliko TISS kwenda jeshini.Hapa huna uhakika na ulisemalo. Kama TISS ifanyavyo basi hata JWTZ nao wameshafanya kitambo sana. Kiufupi hizi taasisi hakuna anayemuamini mwenzake kwa asilimia 100.
mtu yoyote anaweza itumikia TISS, ila sio JWTZ.Kwa kuongezea tu,pia hyo CDF ni member wa TISS. Nchi yetu huwezi kupewa madaraka ya kuongoza taasisi yoyte bila kuwa member wa TISS.
Wengi wanaokomenti elimu yao ni ndogo au sio wafuatiliaji wa mambo. Wanaposikiaga mkuu wa majeshi hawazingatii ni ni majeshi gani. CDF anaitwa mkuu wa majeshibya ulinzi. Majeshi ya ulinzi ni jeshi la anga, maji na ardhi.
Mtafute mtu yoyote mwenye akili na busara. Muulize kwa upole, utapata majibuJeshini hakuna watu, kuna wanajeshi [emoji1][emoji1][emoji1].. Kuna watu wana access ya moja kwa moja na RAIS kwenye kila idara hata huko TISS penyewe na diwani hawajui, na hata polisi na ipo hivyo hata JWTZ
CDF sio Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na UsalamaKwahiyo unataka kusema mkurugenzi wa TISS ni boss wa CDF? Ujinga nao ni mzigo. Kwanini CDF ni Mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama?
Kwa yako na wengine wasiowaelewa na kiprotocal CDF anaonekana yupo juu ila kimajukumu TISS ndo yupo above all na do moyo na injini dola. Mfumo wa huu wa utawala ali uasisi Nyerere na ndo maana nakwambia unavyosikia nchi nyingine jeshi linapindua nchi,kwa Tanzania haiwezekani maaana hakuna kiongozi wa jeshi anaweza kuorganize hilo jambo akafanikiwa,mashushu wamejaa kila kona na jeshini ndo wamejaa balaa.Kwahiyo unataka kusema mkurugenzi wa TISS ni boss wa CDF? Ujinga nao ni mzigo. Kwanini CDF ni Mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama?
We naona unaropoka. Military intelligence ni nini? Na inafanya kazi gani naomba unijibu kwa hojaMkuu huijui TISS nasisitiza huijui TISS, Jeshi liko monitrd na hiyo TISS na nataka nikuambie umeona ule uapaji wa maluteni usu ile juzi? Basi mule ndani wamechomekwa watu wa TISS kibao ili kufanya kazi za TISS ndani ya JWTZ na kwa taarifa yako kuanzia ngazi ya Brigedia Jeneral mpaka General pale kuna watu wa TISS zaidi ya 6 hivyo huwezi kuamua chochote wao wasijue. TISS hufanya kazi hata nje ya mipaka ya nchi ili kujua usalama wa nchi yetu. Nikuambie zaidi ni kwamba suala la usalama ni pana sana kuliko ULINZI. ULINZI ni ile hali ya KULINDA na KUTULIZA hali pindi itokeapo shida. USALAMA ni pamoja na KUTAFUTA NA KUGUNDUA KITU CHOCHOTE KITAKACHOIPATA AU KITAKACHOTOKEA NCHINI NA KUHATARISHA USALAMA WA NCHI AMBAPO SASA NDIO HAO JWTZ HUAMBIWA IMARISHENI ULINZI SEHEMU FULANI KUTOKANA NA KITU HIKI AU KILE.
MAJUKUMU ya USALAMA ni mapana mno kuliko tuonavyo ndio maana TISS kuna wale ambao huripoti kila siku na kuonekana ofisi za mikoa, wilaya ua HQ na wale ambao hupaswi kuwajua kabisa ambao hao utawakuta JWTZ, POLISI, MAGEREZA, TRA, TPA, WABUNGE, WALIMU NK.
CDF hawezi patikana bila TISS kuweka mkono wao ILA DGIS anapatikana hata bila JWTZ kujua kutokana na unyeti wa nafasi zao. MMOJA NGUVU ya BUNDUKI mwingine MIFUMO. Kumbuka MFUMO ndio huongoza hizo BUNDUKI.
CDF sio mkuu wa wa majeshi ya ulinzi na Usalama acha ujinga,ulisikia lini akiitwa hivyo au wewe ndo umeanzisha hicho cheo? Yeye ni mkuu wa majeshi ulinzi. Kama hujui majeshi ya ulinzi ndo nikutajie ni jeshi la anga, la maji na ardhi. Kiongozi wa mashi yote ya ulinzi na usalama ni Rais ndo maana anaitwa Amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama.Kwahiyo unataka kusema mkurugenzi wa TISS ni boss wa CDF? Ujinga nao ni mzigo. Kwanini CDF ni Mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama?
Huyo jamaa sio mwelewa kabisa ni la saba failuresCDF sio Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama
CDF ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Chief of Defence Forces
Na Deffence Forces ni zile Three Commandants (Kamandi) za jeshi, Airforce, Navy nchi Kavu.
Kuna Nchi nyingi tu hawana Navy, Land locked Countries ama nchi ambazo zimezungukwa na nchi nyingine na hazina Water Bodies / Bahari, Mfano Malawi etc
Kwa kwetu National Service imeongezwa kama Kamandi ya Jeshi.
Mfano ukiichukua TPS, Tanzania Prisons Services kuwa chini ya Jeshi, na Yenyewe itakuwa sehemu ya Defence Forces under CDF
Kimsingi CDF ni Mkuu wa Jeshi, kwa Tanzania ni Mkuu wa JWTZ na sio Mkuu wa Polisi, TISS,Magereza etc
Hao wana wakuu wao