Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oyaa hahahaWengine service station ni kule tunakopata "mipalange" 🙂
Hilo linajulikanaImezoeleka kutumia neno Shell kwa sababu shell ndio kampuni kubwa sana inayojihusisha na utafutaji na usambazaji wa petrol duniani. Pia ni ya kwanza kufungua vituo vya mafuta nchini Tanganyika by then.
Watu wametoka mbaliAlikuwa Jambazi mkubwa na aliamua kuokoka baada ya kuponea chupchup ya Msako wa Rais wa Kenya Moi......
Nikazie au nisikazie? 😀😀Sio sheli ni kituo cha mafuta
Nafkir point yako iko mwishoni kabisa, Hapo kwenye wahudumu wa kiiraqTajiri wa hizi sheli kafanikiwa kumaintain discipline na uaminifu kwa wafanyakazi wake napendezwa sana na utamaduni wao karibia kwa sheli zote.
Naonaga zinapigwa nyimbo za dini au ni sheli ya kanisa fulani au mchungaji kiukweli huduma zao ni bora bila kusahau wahudumu wa kiiraq.
Si unaona akitembea anachechemea 😄Alikuwa Jambazi mkubwa na aliamua kuokoka baada ya kuponea chupchup ya Msako wa Rais wa Kenya Moi......
Kuzoeleka hakuhalalishi kila kituo cha mafuta kukiita Sheli coz Sheli "Shell'' ni jina la Kampuni ya US.Imezoeleka kutumia neno Shell kwa sababu shell ndio kampuni kubwa sana inayojihusisha na utafutaji na usambazaji wa petrol duniani. Pia ni ya kwanza kufungua vituo vya mafuta nchini Tanganyika by then.
Sheli ni kituo cha mafuta, imekuwa hivyo, iko hivyo ma itabaki kuwa hivyo..Majina ya vitu au mahali fulani hiwa na historia yake.Sio sheli ni kituo cha mafuta
Hivi ana maanisha Iraq kule kwa Saddam Hussein au kuna Iraq nyingine?Nafkir point yako iko mwishoni kabisa, Hapo kwenye wahudumu wa kiiraq
njoo ushangae warembo acha mboyoyoInjili ya Yesu lazima itangazwe kwa nguvu na LAZIMA. Ili siku ya mwisho hakuna kujitetea kabla ya kutupwa motoni ohhh sijui hatukusikia tulidanganywa wewe ni Issa ulizaliwa juu ya mtende
Vp waliokufa kabla neno halijawafikia?Injili ya Yesu lazima itangazwe kwa nguvu na LAZIMA. Ili siku ya mwisho hakuna kujitetea kabla ya kutupwa motoni ohhh sijui hatukusikia tulidanganywa wewe ni Issa ulizaliwa juu ya mtende
Hapana, hao ni wambulu kutoka karatu, mbulu, dongobesh, hanang, dareda, banati nk, kifupi ni wakazi wa mkoa wa manyara kwakina dokta slaa, wanaitwa wairaqwi. Mademu zao wazuri sanaHivi ana maanisha Iraq kule kwa Saddam Hussein au kuna Iraq nyingine?
Punguza ujuaji Mkuu, unaijua Sanaaya Uumbaji wa Maneno kwenye Lugha?Agip
Bp
Shell
Engen
Total
Gapco
Hayo ni baadhi makampuni makubwa dunia ya uuzaji usambazaji na uchimbaji mafuta.
Sio kila kituo cha mafuta kinaitwa shell.
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Wewe kama mimi tu, makelele ya magari mziki unapigwa vipi?Guys mimi cjawh sikia sheli yenye mzik
Thanks Mkuu kwa kunielewesha.Hapana, hao ni wambulu kutoka karatu, mbulu, dongobesh, hanang, dareda, banati nk, kifupi ni wakazi wa mkoa wa manyara kwakina dokta slaa, wanaitwa wairaqwi. Mademu zao wazuri sana
Nenda hapo "sheli" ya Victoria iliyopo kituo cha Viktoria kama unaelekea Makumbusho uone muziki unavyopigwa.Wewe kama mimi tu, makelele ya magari mziki unapigwa vipi?
Sawa bro!Punguza ujuaji Mkuu, unaijua Sanaaya Uumbaji wa Maneno kwenye Lugha?
Mdau Katoa Mfano wa neno BAJAJ nayo ni kesi kama ya Shell kikubwa mawasiliano yaeleweke.