Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haijaenda mkuu, wrong is wrong.Sheli ni kituo cha mafuta, imekuwa hivyo, iko hivyo ma itabaki kuwa hivyo..Majina ya vitu au mahali fulani hiwa na historia yake.
Unataka mtu aiite pikipiki ya matairi matatu badala ya bajaji? Nani atakuelewa. Imeenda hiyo
Hujamalizia pia aliwahi kuwa jambazi na mwizi mkubwa sana nchini Kenya kabla hajafukuzwa na kurudi Tanzania kuanzisha kanisa.Anaitwa Harlod Matemba. Yeye pia ni Mchungaji wa kanisa lake. Aliwahi kupata zabuni ya kujaza mafuta baadhi ya magari ya serikali, akakua.
Sijui kama hadi sasa bado anayo hiyo zabuni. Yeye ni mtu wa dini ya Kikristo kwelikweli hata sehemu kubwa ya staff wake ni Wakristo pia.
Aliwahi 'kupigwa' na wajanja kwa kuuziwa sehemu ya kiwanja cha Kanisa Katoliki, pale Msimbazi Center, jirani na mnara wa mawasiliano ya ndege.
Akaweka kituo cha kuuzia mafuta. Ila kanisa kwa busara, iliamua kumuuzia upya kihalali ili kumpunguzia hasara ya kuondoa kituo chake.
Ova
Sirgodi anajua hata wangekuwepo wangekuwa upande ganiVp waliokufa kabla neno halijawafikia?
Kazia tu mhasibu wetu mkuu wa jf 🤣 🤣Nikazie au nisikazie? 😀😀
Ahsante sana kwa jibu lako mkuuAnaitwa Harlod Matemba. Yeye pia ni Mchungaji wa kanisa lake. Aliwahi kupata zabuni ya kujaza mafuta baadhi ya magari ya serikali, akakua.
Sijui kama hadi sasa bado anayo hiyo zabuni. Yeye ni mtu wa dini ya Kikristo kwelikweli hata sehemu kubwa ya staff wake ni Wakristo pia.
Aliwahi 'kupigwa' na wajanja kwa kuuziwa sehemu ya kiwanja cha Kanisa Katoliki, pale Msimbazi Center, jirani na mnara wa mawasiliano ya ndege.
Akaweka kituo cha kuuzia mafuta. Ila kanisa kwa busara, iliamua kumuuzia upya kihalali ili kumpunguzia hasara ya kuondoa kituo chake.
Ova
Hahaha mzee mmoja hivi mhuni wa zamani aliyejifanya kaokoka. I had a girfriend na bado anafanya kazi pale, mzee anapenda watu weupe na hata mkewe ni cheupe.Tajiri wa hizi sheli kafanikiwa kumaintain discipline na uaminifu kwa wafanyakazi wake napendezwa sana na utamaduni wao karibia kwa sheli zote.
Naonaga zinapigwa nyimbo za dini au ni sheli ya kanisa fulani au mchungaji kiukweli huduma zao ni bora bila kusahau wahudumu wa kiiraq.
Pale Njombe mitaa ya Kibena kuna Sheli nayo full Disco mpaka mpira wanaontesha.Sheli nyingi zna mizik labda hujawahi fika kanda ya ziwa....nenda Kahama pale jamaa wanaweka music kabsa eg mathayo filling station,migori filling station....huyu kaenda mbali zaid kafunga tv kabsa kwa kila pump.....
Nilikuwa natafuta hii comment. Nimemalizana na huu uzi.Alikuwa Jambazi mkubwa na aliamua kuokoka baada ya kuponea chupchup ya Msako wa Rais wa Kenya Moi......
Mmiliki ni Askofu fulani hiviTajiri wa hizi sheli kafanikiwa kumaintain discipline na uaminifu kwa wafanyakazi wake napendezwa sana na utamaduni wao karibia kwa sheli zote.
Naonaga zinapigwa nyimbo za dini au ni sheli ya kanisa fulani au mchungaji kiukweli huduma zao ni bora bila kusahau wahudumu wa kiiraq.
Kama alikuwa anaiba kenya analeta Tanzania huyo ni shujaa.Alikuwa Jambazi mkubwa na aliamua kuokoka baada ya kuponea chupchup ya Msako wa Rais wa Kenya Moi......
Kwa nyongeza tu huyu jamaa alikuwa mtu wa "FRONT" enzi za ujana wake huko nchini KenyaAnaitwa Harlod Matemba. Yeye pia ni Mchungaji wa kanisa lake. Aliwahi kupata zabuni ya kujaza mafuta baadhi ya magari ya serikali, akakua.
Sijui kama hadi sasa bado anayo hiyo zabuni. Yeye ni mtu wa dini ya Kikristo kwelikweli hata sehemu kubwa ya staff wake ni Wakristo pia.
Aliwahi 'kupigwa' na wajanja kwa kuuziwa sehemu ya kiwanja cha Kanisa Katoliki, pale Msimbazi Center, jirani na mnara wa mawasiliano ya ndege.
Akaweka kituo cha kuuzia mafuta. Ila kanisa kwa busara, iliamua kumuuzia upya kihalali ili kumpunguzia hasara ya kuondoa kituo chake.
Ova
Hiyo sababu maalumu ni ipi? Arap Moi effect?Chuma hicho hapo (haachi pama Kwa sababu maalum)...Harold Matemba akiwa na Lukuvi wakati wa mgogoro wa eneo alilojenga kituo cha Mafuta pale Msimbazi Centre
View attachment 2983187
Badilisha heading basi ili isomeke "Nani mmiliki wa makampuni ya/vituo vya mafuta ya Sheli na Victoria?Tajiri wa hizi sheli kafanikiwa kumaintain discipline na uaminifu kwa wafanyakazi wake napendezwa sana na utamaduni wao karibia kwa sheli zote.
Naonaga zinapigwa nyimbo za dini au ni sheli ya kanisa fulani au mchungaji kiukweli huduma zao ni bora bila kusahau wahudumu wa kii
😄 si unaona anavyochechemeaHujamalizia pia aliwahi kuwa jambazi na mwizi mkubwa sana nchini Kenya kabla hajafukuzwa na kurudi Tanzania kuanzisha kanisa.
Sheli na Victoria?Badilisha heading basi ili isomeke "Nani mmiliki wa makampuni ya/vituo vya mafuta ya Sheli na Victoria?