Nani mmiliki wa Vituo vya Mafuta vya “Victoria”?

Nani mmiliki wa Vituo vya Mafuta vya “Victoria”?

Sheli ni kituo cha mafuta, imekuwa hivyo, iko hivyo ma itabaki kuwa hivyo..Majina ya vitu au mahali fulani hiwa na historia yake.

Unataka mtu aiite pikipiki ya matairi matatu badala ya bajaji? Nani atakuelewa. Imeenda hiyo
Haijaenda mkuu, wrong is wrong.
 
Anaitwa Harlod Matemba. Yeye pia ni Mchungaji wa kanisa lake. Aliwahi kupata zabuni ya kujaza mafuta baadhi ya magari ya serikali, akakua.

Sijui kama hadi sasa bado anayo hiyo zabuni. Yeye ni mtu wa dini ya Kikristo kwelikweli hata sehemu kubwa ya staff wake ni Wakristo pia.

Aliwahi 'kupigwa' na wajanja kwa kuuziwa sehemu ya kiwanja cha Kanisa Katoliki, pale Msimbazi Center, jirani na mnara wa mawasiliano ya ndege.

Akaweka kituo cha kuuzia mafuta. Ila kanisa kwa busara, iliamua kumuuzia upya kihalali ili kumpunguzia hasara ya kuondoa kituo chake.

Ova
Hujamalizia pia aliwahi kuwa jambazi na mwizi mkubwa sana nchini Kenya kabla hajafukuzwa na kurudi Tanzania kuanzisha kanisa.
 
Anaitwa Harlod Matemba. Yeye pia ni Mchungaji wa kanisa lake. Aliwahi kupata zabuni ya kujaza mafuta baadhi ya magari ya serikali, akakua.

Sijui kama hadi sasa bado anayo hiyo zabuni. Yeye ni mtu wa dini ya Kikristo kwelikweli hata sehemu kubwa ya staff wake ni Wakristo pia.

Aliwahi 'kupigwa' na wajanja kwa kuuziwa sehemu ya kiwanja cha Kanisa Katoliki, pale Msimbazi Center, jirani na mnara wa mawasiliano ya ndege.

Akaweka kituo cha kuuzia mafuta. Ila kanisa kwa busara, iliamua kumuuzia upya kihalali ili kumpunguzia hasara ya kuondoa kituo chake.

Ova
Ahsante sana kwa jibu lako mkuu
Ni mwenyeji wa mkoa gani
 
Tajiri wa hizi sheli kafanikiwa kumaintain discipline na uaminifu kwa wafanyakazi wake napendezwa sana na utamaduni wao karibia kwa sheli zote.

Naonaga zinapigwa nyimbo za dini au ni sheli ya kanisa fulani au mchungaji kiukweli huduma zao ni bora bila kusahau wahudumu wa kiiraq.
Hahaha mzee mmoja hivi mhuni wa zamani aliyejifanya kaokoka. I had a girfriend na bado anafanya kazi pale, mzee anapenda watu weupe na hata mkewe ni cheupe.
Wahudumu sio wote Wairaq, demu wangu alikua mixer ya Msukuma na Mnyiramba. Mzee anachoangalia rangi,kabila baki nalo mwenyewe.
 
Sheli nyingi zna mizik labda hujawahi fika kanda ya ziwa....nenda Kahama pale jamaa wanaweka music kabsa eg mathayo filling station,migori filling station....huyu kaenda mbali zaid kafunga tv kabsa kwa kila pump.....
Pale Njombe mitaa ya Kibena kuna Sheli nayo full Disco mpaka mpira wanaontesha.
 
Tajiri wa hizi sheli kafanikiwa kumaintain discipline na uaminifu kwa wafanyakazi wake napendezwa sana na utamaduni wao karibia kwa sheli zote.

Naonaga zinapigwa nyimbo za dini au ni sheli ya kanisa fulani au mchungaji kiukweli huduma zao ni bora bila kusahau wahudumu wa kiiraq.
Mmiliki ni Askofu fulani hivi
 
Huu Bwana sori yake kubwa ya mafanikio n utoaji ndugu
Niliwahi sali nae kanisa laa mama Rwaakatare aisee yàanii akisikia kunahitajika msaada fulani ama aa ujenzi ama mtu anamatatizo kutoaa mil 50 mpaka 100 kawaida kabisa sijajua kuhusu hali za wafanyakazi wake maana wengi wanaotoaaa huwa waliokaribh hutaabika sana ila n mtu mmoja mzuri 🎅

Nilimfurahia sikumoja baada ya mama rwakatare kufa nahisi alihama ama alikuja siku hio kutoa ushuhuda nilimkuta kwa mwamposa akishuhudia na kumshukuru Mungu toka aanze kusali kwa mwamposa ameongeza fuel stations zaidi ya 5 na akatoa sadaka kiasi....[kikubwaa]..na Mungu wake

usioneemafanikio tu nyuma kuna utoaji
 
Anaitwa Harlod Matemba. Yeye pia ni Mchungaji wa kanisa lake. Aliwahi kupata zabuni ya kujaza mafuta baadhi ya magari ya serikali, akakua.

Sijui kama hadi sasa bado anayo hiyo zabuni. Yeye ni mtu wa dini ya Kikristo kwelikweli hata sehemu kubwa ya staff wake ni Wakristo pia.

Aliwahi 'kupigwa' na wajanja kwa kuuziwa sehemu ya kiwanja cha Kanisa Katoliki, pale Msimbazi Center, jirani na mnara wa mawasiliano ya ndege.

Akaweka kituo cha kuuzia mafuta. Ila kanisa kwa busara, iliamua kumuuzia upya kihalali ili kumpunguzia hasara ya kuondoa kituo chake.

Ova
Kwa nyongeza tu huyu jamaa alikuwa mtu wa "FRONT" enzi za ujana wake huko nchini Kenya
 
Chuma hicho hapo (haachi pama Kwa sababu maalum)...Harold Matemba akiwa na Lukuvi wakati wa mgogoro wa eneo alilojenga kituo cha Mafuta pale Msimbazi Centre
Screenshot_2024-05-07-11-23-28-031-edit_com.google.android.googlequicksearchbox.jpg
 
Tajiri wa hizi sheli kafanikiwa kumaintain discipline na uaminifu kwa wafanyakazi wake napendezwa sana na utamaduni wao karibia kwa sheli zote.

Naonaga zinapigwa nyimbo za dini au ni sheli ya kanisa fulani au mchungaji kiukweli huduma zao ni bora bila kusahau wahudumu wa kii
Badilisha heading basi ili isomeke "Nani mmiliki wa makampuni ya/vituo vya mafuta ya Sheli na Victoria?
 
Back
Top Bottom