Nani mmiliki wa Vituo vya Mafuta vya “Victoria”?

Retired jambazi
 
Imezoeleka kutumia neno Shell kwa sababu shell ndio kampuni kubwa sana inayojihusisha na utafutaji na usambazaji wa petrol duniani. Pia ni ya kwanza kufungua vituo vya mafuta nchini Tanganyika by then.
Kulikua pia na ESSO
 
Mkuu uko vizuri sanaaa. Shikilia hapo hapo. Mazoea hujenga tabia hata kama mbovu. Kamwe sheli haliwezi kuwa jina la kila kituo cha mafuta Tanzania.
 
Hata masela wakivuta bangi huwa wanachoma udi kupoteza maboya
 
Hujapiga hata picha tuone vinafananaje na vipo wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…