wax
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 5,945
- 5,733
Ndiyo tabia zenu mataga nyie ndiyo mnakula kwa mpalange pumbavu zenuHahahhahaha wanasema uzuri wa dela uwe na churaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo tabia zenu mataga nyie ndiyo mnakula kwa mpalange pumbavu zenuHahahhahaha wanasema uzuri wa dela uwe na churaaaa
ya kiswahili ni vijora madira kuanzia misomali madishdasha and the like ndio bei ghali almost kuanzia elf 30 - 35 lakini vijora kisicho na mtandio elf 8 cha mtandio elf 12 madera ya kanga ndio ya kumwaga elf kumi elf nane unajipatiaNasikia hayo ni Yale ya masikini.
Ila hapo ya adabu mazito na hayana mambo hayo ya uswahili.
Hii kitu Wenda ni ingizo LA ibirisi
nije wapi tulipoaganaMbona hukuja tena mkuu?
Wahuni Sana haoKwa nini vimepokelewa kwa shangwe uswazi kuliko kwa wenye nazo....
Tandika utadhani ni vazi LA Kata.
Siku ya wanawake Mtaa flani wao wakavaa ndio sale Yao hahaha
Mama unaonekana una msamwanda wa abuja 😂😂😂madera mengi yanakua marefu ni uamuzi wa mtu kupunguza au kuliacha kama mtu hajazoea kushikilia lazima aone kadhia ya kuvaa tena binafsi napenda nguo ifike chini ifunike miguu kias halaf nikitembea nishikilie kama utumwa flani hvii eh?? ni mazoea mkuu nimezoea
Utamu wa Dera chura anese neseKwa nini huwa hawavai yanayowatosha?
Ndiyo kwa hiyo ushasahau tena mkuunije wapi tulipoagana
haijawahi kunichosha wallah, na siwezi kupunguzaIle staili yao ya kushikilia hilo vazi hivi haiwachoshi? kwanini wasikate iwe ndefu ya wastani ili isiburuze chini kuepuka kushikilia au hakuna madera mafupi?
hahahaha una wazimu sio bureMama unaonekana una msamwanda wa abuja 😂😂😂
Yah mie nikiliona tu Sambwanda nakuwa chizi 😂😂😂 ntumie ata picha tu piemunihahahaha una wazimu sio bure
ni maamuzi kama maamuzi mengine wapo mbona wengine huenda nayo makanisani na misikitiniKwa nini hawaingii nayo makanisani
Au ni vazi la kupumzikia nyumbani tu.
Tutoane ushamba wakuu, hawa ni wake,Dada,mama zetu wameletewa vazi nimepita mahali nikawatafakari Mara Uzi tayari ukatua kwenye medula
Nadhani ukanda mzima wa Sahel wanavaa hili vazi kuanzia Somalia South Somalia North hadi MauritaniaDira asili yake ni North Somalia ila South wana vazi lingine tofauti kidogo
Tembea uone kwa kweli
unanifanya nacheka kama mpuuzi mimi sina huo msambwanda nipo kama mojaYah mie nikiliona tu Sambwanda nakuwa chizi 😂😂😂 ntumie ata picha tu piemuni
na kuvaa dera sio kazi, kazi kulishikilia
Hahahahaijawahi kunichosha wallah, na siwezi kupunguza