Nani muasisi wa vazi la "DELA"?

Nani muasisi wa vazi la "DELA"?

Hahaha
Inabidi uwe unatia na kabukta flani kwa ndani ukichoka unachomekea tu. Maana huwa mnachomekea kwenye Kabati.

Mnadhambi nyie
mimi naamini katika stara, kuvaa nguo huku ulichokivaa ndani kinaonekana sio stara napendelea kuvaa na zile rinda ndefu namcheshia mchezo umeisha
 
haijawahi kunichosha wallah, na siwezi kupunguza
Hahaha
Inabidi uwe unatia na kabukta flani kwa ndani ukichoka unachomekea tu. Maana huwa mnachomekea kwenye Kabati.

Mnadhambi nyie
Aliye leta Dera si mtu mwema.
Zile khanga zilikua zinatupa hamasa bwana. Toto likitoka kuoga lazima uturahi. Wakitembea au hata mkiwa ndani ilikua raha tu. Sasa Dera hata hujui Kama taarabu imo au la.
Ni nani Mkuu.
Au Mchina alitufanyia study anajua akili zetu akitia dela mtaani lazima apige pesa
 
Nadhani ukanda mzima wa Sahel wanavaa hili vazi kuanzia Somalia South Somalia North hadi Mauritania
Ethiopia linavaliwa sana maeneo yanayopakana Somalia
North Sudan hili vazi huvaliwa sana hata ukiingia Chad vazi hili huvaliwa

Nadhani akinamama hulipenda sana kwa sababu linasaidia kupunguza joto kutoka katika maeneo yao nyeti
Mkuu asante kwa nondo.

Huko nako wanafujo kama huku. Maana huku hasa uswazi imekuwa kama ni inhizo jipya duniani. Mara wachmekee kwenye vyu.pi, Mara abane kalio.

Najiuliza hii kitu imeanzia wapi, maana sisi wabongo hatujawahi kubuni kuwa ni kuiga na kuboresha.

Hao wamama wa huko huwa naona hadi wanachunga mbuzi na madera ika Yao ni mazito kabisa huwezi hata kumtamani kihivyo.

Huku sijui waliiga vibaya au wajasiliamali wanajua uswazi wanataka nini
 
Hao wamama wa huko huwa naona hadi wanachunga mbuzi na madera ika Yao ni mazito kabisa huwezi hata kumtamani kihivyo.
Mombasa unakuta kuna maeneo Wanawake wazuri kwelikweli wanatafuna mirungi wakiwa wamebakia madera pekee bila underwear au gagulo unaona kila kitu halafu wanalembua ajabu halafu ukipagawa wanakwambia "hutomoki leo"
 
Nadhani ukanda mzima wa Sahel wanavaa hili vazi kuanzia Somalia South Somalia North hadi Mauritania
Ethiopia linavaliwa sana maeneo yanayopakana Somalia...
Ni kweli wengi wanavaa hili vazi ila mishono inatofautiana kwa miji na miji au nchi.

Kwa mfano Mogadishu wanavaa vazi linaitwa Guntiino hilo ni ajab wanavyofunga hiyo nguo ila imepishana sana na Diraa wanayovaa huko kwingine kama Hargeisa.
 
Mombasa unakuta kuna maeneo Wanawake wazuri kwelikweli wanatafuna mirungi wakiwa wamebakia madera pekee bila underwear au gagulo unaona kila kitu halafu wanalembua ajabu halafu ukipagawa wanakwambia "hutomoki leo"
Hatari sana...
 
Ni kweli wengi wanavaa hili vazi ila mishono inatofautiana kwa miji na miji au nchi
Kwa mfano Mogadishu wanavaa vazi linaitwa Guntiino hilo ni ajab wanavyofunga hiyo nguo ila imepishana sana na Diraa wanayovaa huko kwingine kama Hargeisa
North Sudan lakwao ndio la ajabu sana utasema ni sari za kihindi
 
ajabu kuna mtu anaona ni kazi ni mazoea mimi nimezoea hivo sioni shida kabisa kulishikilia

Ni mazoea tu kama umezoea wala halimpi tabu mvaaji
Raha ya diraa ni kulishikilia maana ukikuona kalishikilia ndio utajua huyo kafuata vazi lilivyo
Hata wanaijeria (wanaume) vazi lao mpaka ulibebe [emoji23][emoji23]
 
North Sudan lakwao ndio la ajabu sana utasema ni sari za kihindi
Mkuu unajua hadi unatisha.
Usijuekuwa wewe ndio umewaletea wake zetu hii kitu nchini hahahaha

Wanawake walivyowepesi kubadili Mawazo ukileta dela hata la wapishi wa Boko haramu unaweza kushangaa unapiga pesa mingi sana
 
Ni mazoea tu kama umezoea wala halimpi tabu mvaaji
Raha ya diraa ni kulishikilia maana ukikuona kalishikilia ndio utajua huyo kafuata vazi lilivyo
Hata wanaijeria (wanaume) vazi lao mpaka ulibebe [emoji23][emoji23]
Lile vazi LA wakina igwe Mkuu inabidi utembee kwenye tiles maana ukiingia nalo mfano kwenye vumbi la Dodoma watu wanaweza kudhani unatoka kubeba Tofari za kuchoma.

Vumbi kila kona
 
Mavazi mengi tumeiga.
Suti,sketi na brouzi, suruali, kaptula hata Nguo za ndani.
Kanzu,hijabu etc zote ni imported styles.

Hili vazi LA dera sijui dela asili yake ni wapi.

Nimefuatilia sioni wachina,wazungu,waarabu wakivaa hii kitu.

Licha ya kutengenezwa hasa na wachina lakini sijui imekuaje ghafla wabongo sijui nchi nyingine afrika, dela limebadilisha kabisa tasnia ya mavazi ya mwanamke nchini.

Kama kuna mwanamke hana basi ni wakuhesabu.


Kwa nini nahoji?
Nchi imetumia gharama na muda mwingi kutafuta vazi LA taifa. Lakini huyo mjasiliamali Kawa siku kadhaa tu kabadikisha upepo dela nimekuwa vazi LA mwanamke mtanzania.

Wakuu kuuliza sio UJINGA asili ya hii kitu ni wapi na imekuajekuaje ndani ya muda mfupi imekubalika sana.
Kapicha puliziii😂😂
 
Back
Top Bottom