Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Lile vazi LA wakina igwe Mkuu inabidi utembee kwenye tiles maana ukiingia nalo mfano kwenye vumbi la Dodoma watu wanaweza kudhani unatoka kubeba Tofari za kuchoma.
Vumbi kila kona
sie wazima Alhamdulillah,unapotea mnoAlhamdulillah namshukuru Allah sijambo mwali wangu,hofu huko tuu??
Hahahaha hiyo charanga ilikuwa balaa.Huko kubuluza chini na kulishikilia naona ndio fasheni la hilo dira sijui dera, miaka ya nyuma kama ya 2000 hv ilikujaga fasheni yakuitwa chalanga sketi moja ndefu hadi inabuluza chini sasa ukikuta mdada mfupi katupia hilo chalanga asee ni kituko😁
Yah hakika mkuuHahahaha hiyo charanga ilikuwa balaa.
Hili dela nalo litapita
Ninabashiri ubashiri wa uhakika kwamba chura kwako yupo wa haja na mkuu wewe ni mweupee peee nachomekea lakinimadera mengi yanakua marefu ni uamuzi wa mtu kupunguza au kuliacha kama mtu hajazoea kushikilia lazima aone kadhia ya kuvaa tena binafsi napenda nguo ifike chini ifunike miguu kias halaf nikitembea nishikilie kama utumwa flani hvii eh?? ni mazoea mkuu nimezoea
umekosa, unamjua simba dume alivyo?? huku juu mpana huku chini mwembamba ndio mimiNinabashiri ubashiri wa uhakika kwamba chura kwako yupo wa haja na mkuu wewe ni mweupee peee nachomekea lakini
Mwandiko wako tu unaonesha una chura na ni mweupeee peeeumekosa, unamjua simba dume alivyo?? huku juu mpana huku chini mwembamba ndio mimi
sasa unapingana na uhalisia?? mimi ndio mhusika na ndio nakujibu hapa sipo kama ufikiriavyo unataka kuamini haya hutaki hata sikulazimishiMwandiko wako tu unaonesha una chura na ni mweupeee peee
Niachee na imani yangusasa unapingana na uhalisia?? mimi ndio mhusika na ndio nakujibu hapa sipo kama ufikiriavyo unataka kuamini haya hutaki hata sikulazimishi
hayaNiachee na imani yangu