Nani mwenye nguvu anayeruhusu 'Mauaji ya Sumu' ndani ya CCM?

Nani mwenye nguvu anayeruhusu 'Mauaji ya Sumu' ndani ya CCM?

Anayehitaji sumu ya Cyanide anicheki inbox.

Uchaguzi wa serikali za mitaa umekaribia na uchaguzi mkuu unakuja hivyo ni vema uwe nayo hii sumu.

Kichupa hiki nauza Tshs: 110,000/=
Screenshot_20240207-171838_1.jpg
 
Hii ni kauli rasmi ya Chama cha Mapinduzi kinachoongoza serikali toka kwa msemaji wake Paulo Makonda kwamba ndani ya CCM kuna shughuli za mauaji ya SUMU!

Rejea nyuma Kwamba Mzee Mangula alilishwa/alinyweshwa sumu, Na leo Kwamba Makonda anataka kuuawa kwa sumu? Hii ni taarifa rasmi kwamba CCM ni genge la maauji!

Hili ni ingizo jipya katika jamii japo kijasusi si jambo geni. Nachojiuliza maswali bila majibu ni kwamba, Bado Mkuu wa Jeshi la Polisi yupo tu?, Bado Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa yupo tu? Usiseme hayo ni mambo ya wanaccm na kwamba hayakuhusu, Amini nakuambia, Wakimalizana huko ccm, hawa makada wataanza kutembea na vichupa vya sumu mitaani kuwinda wapinzani na wakosiaji.

Naomba nikurejeshe katika Kitabu pendwa cha Taifa cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi juu ya Mbinu za kijasusi za mauaji ama kudhoofisha afya ya mlemgwa na hasa mbinu ya kumpulizia sumu adui.

Mnamo mwaka 1997, aliyekuwa Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyau akishika hatamu katika muhula wake wa kwanza aliruhusu kufanyika kwa misheni ya kumuaa Bw. Khaled Meshaal katika mji mkuu wa Jordan Amman, Bwana Khaled Meshaal alikuwa kiongozi wa mamlaka ya ndani ya Palestina. Mawakala watano wa ujasusi wa shirika la Mossad la Israel waliingia nchini Jordan kwa kuigiza kama watalii kutoka Canada. Walimvamia Bw. Meshaal katika mitaa ya jiji la Amman na kumpulizia sumu sikioni. Kisha walimuacha akiwa hajitambui wakiamiani angekufa ndani ya masaa 48. Lakini Bw. Meshaal hakufa.

Katika tukio lingine, mtu mmoja aliyeitwa Bohdan Mykolayovych Stashynsky, aliyekua muuaji wa shirika la kijasusi la muungano wa soviet, KGB, aliwaua viongozi wawili wa Ukraine; Lev Rebet na Stephan Bandera. Baada ya kupokea agizo la kutekeleza mpango huo kutoka kwa Mwenyekiti wa halmashauri ya mawaziri wa Soviet, Bw. Bohdan alitumia mbinu ya kumpulizia sumu mlengwa wa kwanza na kuhakikisha anapoteza maisha mnamo mwaka 1957. Miaka miwili baadae, yaani 1959, Bohdan alimuua Bw. Stephan Bandera kwa mbinu ileile. Ndipo alipopewa tuzo ya Order of the Red Banner kutoka Moscow. Katika mbinu hiyo, sumu ya Cyanide hutumiwa mara nyingi. Cyanide huweza kuandaliwa kama unga na kuchanganya na manukato au maji na kuwekwa katika kipulizo kama manukato au bunduki ya kupuliza.

Aina ya sumu za maaji ya kiserikali ziko nyingi lakini kwa uwezo wa uhifadhi na uwezo wa kiinchi, Nchi nyingi za afrika zinamiliki zaidi sumu ya cyanide ambayo kimsingi ni sumu ya kale ya kisoviet ambayo hata Urusi wenyewe na Ulaya hawatumii katika dunia ya leo.

Swali tunalotakiwa kuwauliza Wanaccm na serikali yao, Ni nani anayeruhusu matumizi ya mauaji ya sumu katika nchi yetu? Nani anadhibiti ghala la silaha za kibaolojia na kikemia katika nchi yetu?

Kwenye mashirika ya kijasusi yaliyostaarabika na yanayoheshimu misingi ya ujasusi, maghala ya silaha zote za kimaabara huwa chini ya mamlaka ya mkuu wa nchi mfano Rais, Waziri Mkuu, Mfalme au Malkia inategemeana na aina ya mfumo wa taifa hilo. Panapohitajika matumizi ya sumu hizi mwenye mamlaka ya kuruhusu matumizi hayo ni rais wa nchi, waziri mkuu wa nchi, mfalme au malka ambao kwa lunga ya kijasusi huitwa “sponsor”. Hili inategemeana na muondo wa nchi na shirika/idara husika.....

Kwaundani, Soma Kitabu cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi kwa +255715865544 au +255755865544

ROSTAM AZIZI...ROSTAM AZIZI... ROSTAM AZIZI...ZUNGU...ZUNGU...ZUNGU....GSM...GSM...GSM.
 
Uchambuzi umekaa vizuri sana. Kama nchi yetu inafuata kweli misingi ya kisheria, haki na pia utawala bora; basi huyu Paul Makonda anatakiwa kuhojiwa na vyombo vya dola, ili ukweli ubainike. Maana ni dhahiri hiyo kauli yake ina ukakasi mwingi.
Mbona nyie mnao sema makonda alihusika na utekaji,mbona hamhojiwi na polisi ili kudhibitisha tuhuma hizo!?.
 
Aisee ni hatari sana!Hatujui nani atatangulizwa ahera.
Na vifo vikitokea tunaumia sisi raia kisaikolojia wao hata hawajali.

Hivi umajua mamilion ya watanzania mjini na vijijini wanaamini Mh. Magufuli ipo siku atarudi na kila mmoja atafurahia.

Je ni nani anaweza kutambua hili na kuchukua nafasi ya kuwajenga watu hisia zao na kuwapa moyo wasonge mbele.

Mbona Nyerere alivyokufa zilitumika approacha nzuri na za mara moja kuwajenga watu kisaikolojia kwa

1. Kwa kutengeneza msiba wa Taifa
2. Kufanyika kwa matukio mbalimbali ya mwendelezo pale Mwitongo Musoma
3. Vipindi kedekede vya kumuenzi katika medi zote
4. Kanga, nguo, na vipeperushi vyenye ujumbe wa Nyerere nk vilisaidia watu kuzoea hali na kumove on

Na mengine meeengi.


Sasa alipokufa JPM ambae mamilion ya watanzania, mabilion ya waafrika walimpenda hakuna hatua stahiki zilichukuliwa...
Tukio lilipelekwa pelekwa ili liishe lipite, baada ya pale yakaanza masimango, vijembe juu ya marehemu.

Kiongozi mkuu tuliemtegemea kutupa mshikamano yeye akaja na misemo ya kuumiza zaidi..

a) tunafungua nchi (kwani nani aliifunga)
b). Kuna ule msemo wa simba wa yuda

Nimalize kwa kusema hupati support kwa watanzania kwa kumponda JPM yani hapo ndio wanakudharau kuliko chochote

Hupati support ya watanzania ikiwa husikilizi, hutatui changamoto zao hata kama ni kidogo katika uono wako, ila kwao ndio changamoto kubwa.

Keep Going MAKO
 
Kama ni wao wenyewe acha wamalizane maana suoni faida yao maana ni uchawa tu
 
Hii ni kauli rasmi ya Chama cha Mapinduzi kinachoongoza serikali toka kwa msemaji wake Paulo Makonda kwamba ndani ya CCM kuna shughuli za mauaji ya SUMU!

Rejea nyuma Kwamba Mzee Mangula alilishwa/alinyweshwa sumu, Na leo Kwamba Makonda anataka kuuawa kwa sumu? Hii ni taarifa rasmi kwamba CCM ni genge la maauji!

Hili ni ingizo jipya katika jamii japo kijasusi si jambo geni. Nachojiuliza maswali bila majibu ni kwamba, Bado Mkuu wa Jeshi la Polisi yupo tu?, Bado Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa yupo tu? Usiseme hayo ni mambo ya wanaccm na kwamba hayakuhusu, Amini nakuambia, Wakimalizana huko ccm, hawa makada wataanza kutembea na vichupa vya sumu mitaani kuwinda wapinzani na wakosiaji.

Naomba nikurejeshe katika Kitabu pendwa cha Taifa cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi juu ya Mbinu za kijasusi za mauaji ama kudhoofisha afya ya mlemgwa na hasa mbinu ya kumpulizia sumu adui.

Mnamo mwaka 1997, aliyekuwa Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyau akishika hatamu katika muhula wake wa kwanza aliruhusu kufanyika kwa misheni ya kumuaa Bw. Khaled Meshaal katika mji mkuu wa Jordan Amman, Bwana Khaled Meshaal alikuwa kiongozi wa mamlaka ya ndani ya Palestina. Mawakala watano wa ujasusi wa shirika la Mossad la Israel waliingia nchini Jordan kwa kuigiza kama watalii kutoka Canada. Walimvamia Bw. Meshaal katika mitaa ya jiji la Amman na kumpulizia sumu sikioni. Kisha walimuacha akiwa hajitambui wakiamiani angekufa ndani ya masaa 48. Lakini Bw. Meshaal hakufa.

Katika tukio lingine, mtu mmoja aliyeitwa Bohdan Mykolayovych Stashynsky, aliyekua muuaji wa shirika la kijasusi la muungano wa soviet, KGB, aliwaua viongozi wawili wa Ukraine; Lev Rebet na Stephan Bandera. Baada ya kupokea agizo la kutekeleza mpango huo kutoka kwa Mwenyekiti wa halmashauri ya mawaziri wa Soviet, Bw. Bohdan alitumia mbinu ya kumpulizia sumu mlengwa wa kwanza na kuhakikisha anapoteza maisha mnamo mwaka 1957. Miaka miwili baadae, yaani 1959, Bohdan alimuua Bw. Stephan Bandera kwa mbinu ileile. Ndipo alipopewa tuzo ya Order of the Red Banner kutoka Moscow. Katika mbinu hiyo, sumu ya Cyanide hutumiwa mara nyingi. Cyanide huweza kuandaliwa kama unga na kuchanganya na manukato au maji na kuwekwa katika kipulizo kama manukato au bunduki ya kupuliza.

Aina ya sumu za maaji ya kiserikali ziko nyingi lakini kwa uwezo wa uhifadhi na uwezo wa kiinchi, Nchi nyingi za afrika zinamiliki zaidi sumu ya cyanide ambayo kimsingi ni sumu ya kale ya kisoviet ambayo hata Urusi wenyewe na Ulaya hawatumii katika dunia ya leo.

Swali tunalotakiwa kuwauliza Wanaccm na serikali yao, Ni nani anayeruhusu matumizi ya mauaji ya sumu katika nchi yetu? Nani anadhibiti ghala la silaha za kibaolojia na kikemia katika nchi yetu?

Kwenye mashirika ya kijasusi yaliyostaarabika na yanayoheshimu misingi ya ujasusi, maghala ya silaha zote za kimaabara huwa chini ya mamlaka ya mkuu wa nchi mfano Rais, Waziri Mkuu, Mfalme au Malkia inategemeana na aina ya mfumo wa taifa hilo. Panapohitajika matumizi ya sumu hizi mwenye mamlaka ya kuruhusu matumizi hayo ni rais wa nchi, waziri mkuu wa nchi, mfalme au malka ambao kwa lunga ya kijasusi huitwa “sponsor”. Hili inategemeana na muondo wa nchi na shirika/idara husika.....

Kwaundani, Soma Kitabu cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi kwa +255715865544 au +255755865544

Dhamni ya damu ya mtu hua inakwenda mpaka kizazi cha nne.
 
Na Nyamitako bado anawindwa sidhani kama atatoboa 2025.
 
Hii ni kauli rasmi ya Chama cha Mapinduzi kinachoongoza serikali toka kwa msemaji wake Paulo Makonda kwamba ndani ya CCM kuna shughuli za mauaji ya SUMU!

Rejea nyuma Kwamba Mzee Mangula alilishwa/alinyweshwa sumu, Na leo Kwamba Makonda anataka kuuawa kwa sumu? Hii ni taarifa rasmi kwamba CCM ni genge la maauji!
Hivi Mangula yuko wapi ? siku ile pale lumumba walibaki wanne tu na mhudumu mmoja akawekewa sumu , wqliobaki ni Mangula , Jiwe , Polepole na Bashiru

Huyo Mhudumu mfupi sitamtaja kwa sababu za kibinadamu
 
Hivi Mangula yuko wapi ? siku ile pale lumumba walibaki wanne tu na mhudumu mmoja akawekewa sumu , wqliobaki ni Mangula , Jiwe , Polepole na Bashiru

Huyo Mhudumu mfupi sitamtaja kwa sababu za kibinadamu
Comrade Peter Magoti, Au sio huyu?
 
Makonda na Polepole wameongelea na waganga (walozi) mbona hujaligusia?
 
Back
Top Bottom