Nani mwoga kati ya Russia na NATO yenye nchi kama 30?

Nani mwoga kati ya Russia na NATO yenye nchi kama 30?

Historia inasema Russia ilikuwa Nchi kubwa sana kwa kila kitu lakini ikaja kupoteza moja ya siraha kubwa zaidi katika maendeleo yake namaanisha Uchumi na Umoja wake kusambaratika.
Baada ya hapo kilichobaki ni kuhakikisha ulinzi wao unaimarika zaidi na ndio sababu leo hii kwenye uchumi wameporomoka lakini kwenye siraha na mbinu za kivita ni wababe haswa (super military might) na hawamtegemei mshirika yeyote.
Hakuna Taifa lolote wala Umoja wowote upo tayari kupigana na Russia kwa sasa itakuwa ni maafa makubwa sana.
Uko sahihi - ila pia ile original EAC ilipovunjika, kuna nchi ilifaidika zaidi ya wenzake... urusi ya leo ilifaidika zaidi USSR ilipovunjika
 
Ni kweli Tena kweli USA NATO dhaifu Sana mbele ya taifa imara ROSH(RUSSIA)
 
Back
Top Bottom