Nani wa kuisimamisha Israeli kwa huu ubabe anao onesha Mashariki ya kati?

Nani wa kuisimamisha Israeli kwa huu ubabe anao onesha Mashariki ya kati?

MBYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2020
Posts
366
Reaction score
521
Tangu October 7 2023 tumeshuhudia vurugu za kijeshi za Israeli kujibu unyama waliofanyiwa na Hamasi,idadi kubwa ya raia wakiuwawa na kuteseka kutokana na mapigano kati ya Israel na Hamas

Lebanoni pia mapigano kati ya Hezbollah na Israel yameleta maafa makumbwa

Serikali ya mapinduzibua Irani imejaribu Kila njia kuizuia imeshindwa licha ya mamia ya makombora kasmbaratisha kambi zote za wazayuni Bado Israeli ni imara na inaogopwa na nchi zote za kiisilam

Uturuki miongoni mwa nchi zenye nguvu katika umma wakiisilamu kaishia tu kutoa matamko,Saudi Arabia aliye kitovu cha uisilam kasema hayamuhusu

Urusi na China hawajawa na msaada juu ya kuizuia Israeli isiyendelee na makumuzi yake

Umoja wa mataifa umeishia kutoa matamkoMarekani anauma na kupuliza

Ni taifa Gani litaweza kuisimamisha Israeli?
 
Akuna aliechangia uzi wako mana umeendika uzwazwa mtupu umeweka Dini kwenye mgogolo wa Ardhi kuusu Waislamu wengi awapo ktk nchi ulizotaja kila baada siku kadhaa waIsrael wanakimbilia kwenye mashimo kama panya ukutaja lkn umeitaja Iran kama imeshindwa lkn apo apo unajua tunajua Waisrael wanatafutana na panya kwenye mashimo na anaesababisha yote ayo ni Iran je kwann useme ameshindwa wakati Iran aijaguswa ipo Imala na ipo na Amani watu awalali kwenye mashimo!!! Kama Israel. Kashindwa nani apo. Ujiulizi kwann Israel marekani UK awaendi kwa Iran kumpiga vita !!
 
Akuna aliechangia uzi wako mana umeendika uzwazwa mtupu umeweka Dini kwenye mgogolo wa Ardhi kuusu Waislamu wengi awapo ktk nchi ulizotaja kila baada siku kadhaa waIsrael wanakimbilia kwenye mashimo kama panya ukutaja lkn umeitaja Iran kama imeshindwa lkn apo apo unajua tunajua Waisrael wanatafutana na panya kwenye mashimo na anaesababisha yote ayo ni Iran je kwann useme ameshindwa wakati Iran aijaguswa ipo Imala na ipo na Amani watu awalali kwenye mashimo!!! Kama Israel. Kashindwa nani apo. Ujiulizi kwann Israel marekani UK awaendi kwa Iran kumpiga vita !!
Sidhani kama Iran ananguvu yeyote kama angekuwa na nguvu basi Israeli mtoa roho angeshakoma Gaza

Kuhusu kukimbilia mahandaki hiyo ni kawaida kwa wanajeshi,Israel raia wake wote wanamafunzo ya kijeshi,sasa wavaa vilemba mabomu yanapigwa wapowapo tu ndo maana wanakufa sana😭
 
Iran ana nguvu gani wakati ndege za Israel zinaingia zinavyotaka na kobazi mkuu wa Hamas kauawa ndani ya jeshi.
Ananguvu wapi si wapambe wake tu hao,maana Ayatolah wao mpaka Leo anaogopa na kutetemeka kutimiza promise lll yake🤣🤣
 
Tangu October 7 2023 tumeshuhudia vurugu za kijeshi za Israeli kujibu unyama waliofanyiwa na Hamasi,idadi kubwa ya raia wakiuwawa na kuteseka kutokana na mapigano kati ya Israel na Hamas

Lebanoni pia mapigano kati ya Hezbollah na Israel yameleta maafa makumbwa

Serikali ya mapinduzibua Irani imejaribu Kila njia kuizuia imeshindwa licha ya mamia ya makombora kasmbaratisha kambi zote za wazayuni Bado Israeli ni imara na inaogopwa na nchi zote za kiisilam

Uturuki miongoni mwa nchi zenye nguvu katika umma wakiisilamu kaishia tu kutoa matamko,Saudi Arabia aliye kitovu cha uisilam kasema hayamuhusu

Urusi na China hawajawa na msaada juu ya kuizuia Israeli isiyendelee na makumuzi yake

Umoja wa mataifa umeishia kutoa matamkoMarekani anauma na kupuliza

Ni taifa Gani litaweza kuisimamisha Israeli?
Huwa we jamaa unaanzishaga vimada uchwara sana.
Embu andika baada ya kutafiti.
Israel haina nguvu pasi na msaada wa USA,UK,France na Germany.
Huo ubabe wa hapo ni wa hayo mataifa manne indirectly.
 
Huwa we jamaa unaanzishaga vimada uchwara sana.
Embu andika baada ya kutafiti.
Israel haina nguvu pasi na msaada wa USA,UK,France na Germany.
Huo ubabe wa hapo ni wa hayo mataifa manne indirectly.
Wale ni washirika wake hata mataifa mengine pia Yana washirika,Iwe Marekani,Urusi au China N.K wote wanawashirika wao
 
Wale ni washirika wake hata mataifa mengine pia Yana washirika,Iwe Marekani,Urusi au China N.K wote wanawashirika wao
Ushirika upo ila sio kama wa hayo mataifa na Israel.
Israel ni taifa pekee duniani linalopewa unconditional aids financially,millitary and diplomatic wise na hayo mataifa manne.
 
Ushirika upo ila sio kama wa hayo mataifa na Israel.
Israel ni taifa pekee duniani linalopewa unconditional aids financially,millitary and diplomatic wise na hayo mataifa manne.
Kwani wakifanga hayo kama washirika Kuna ubaya?
 
Kwani wakifanga hayo kama washirika Kuna ubaya?
Ndio usiseme yeye mbabe.
Mbabe gani akiwekewa zuio la silaha na USA anapiga kelele na kulalamika!?
Unasema unajiweza halafu ukiwekewa zuio unalalamika!?
 
Tangu October 7 2023 tumeshuhudia vurugu za kijeshi za Israeli kujibu unyama waliofanyiwa na Hamasi,idadi kubwa ya raia wakiuwawa na kuteseka kutokana na mapigano kati ya Israel na Hamas

Lebanoni pia mapigano kati ya Hezbollah na Israel yameleta maafa makumbwa

Serikali ya mapinduzibua Irani imejaribu Kila njia kuizuia imeshindwa licha ya mamia ya makombora kasmbaratisha kambi zote za wazayuni Bado Israeli ni imara na inaogopwa na nchi zote za kiisilam

Uturuki miongoni mwa nchi zenye nguvu katika umma wakiisilamu kaishia tu kutoa matamko,Saudi Arabia aliye kitovu cha uisilam kasema hayamuhusu

Urusi na China hawajawa na msaada juu ya kuizuia Israeli isiyendelee na makumuzi yake

Umoja wa mataifa umeishia kutoa matamkoMarekani anauma na kupuliza

Ni taifa Gani litaweza kuisimamisha Israeli?
Muda hubadilika, kuna muda utafika atapata tabu vilevile
 
Akuna aliechangia uzi wako mana umeendika uzwazwa mtupu umeweka Dini kwenye mgogolo wa Ardhi kuusu Waislamu wengi awapo ktk nchi ulizotaja kila baada siku kadhaa waIsrael wanakimbilia kwenye mashimo kama panya ukutaja lkn umeitaja Iran kama imeshindwa lkn apo apo unajua tunajua Waisrael wanatafutana na panya kwenye mashimo na anaesababisha yote ayo ni Iran je kwann useme ameshindwa wakati Iran aijaguswa ipo Imala na ipo na Amani watu awalali kwenye mashimo!!! Kama Israel. Kashindwa nani apo. Ujiulizi kwann Israel marekani UK awaendi kwa Iran kumpiga vita !!
Nadhani wewe ndio umeandika uharo mtupu,israel anazidi kuharibu na kuua magaidi bila huruma,kwa hili aungwe mkono na dunia nzima
 
Akuna aliechangia uzi wako mana umeendika uzwazwa mtupu umeweka Dini kwenye mgogolo wa Ardhi kuusu Waislamu wengi awapo ktk nchi ulizotaja kila baada siku kadhaa waIsrael wanakimbilia kwenye mashimo kama panya ukutaja lkn umeitaja Iran kama imeshindwa lkn apo apo unajua tunajua Waisrael wanatafutana na panya kwenye mashimo na anaesababisha yote ayo ni Iran je kwann useme ameshindwa wakati Iran aijaguswa ipo Imala na ipo na Amani watu awalali kwenye mashimo!!! Kama Israel. Kashindwa nani apo. Ujiulizi kwann Israel marekani UK awaendi kwa Iran kumpiga vita !!
Basi tufanye hivi Marekani, Israel, German,Ufaransa na Uingeleza zinamwogopa Iran. Hapo roho yako kwatu sio?
 
Back
Top Bottom