Nani wa kuisimamisha Israeli kwa huu ubabe anao onesha Mashariki ya kati?

Nani wa kuisimamisha Israeli kwa huu ubabe anao onesha Mashariki ya kati?

Iran ana nguvu gani wakati ndege za Israel zinaingia zinavyotaka na kobazi mkuu wa Hamas kauawa ndani ya jeshi.
Ndege ipi na ya aina gani kutoka israel iliyoingia iran? Acha uongo we mwanachama wa LGBTQ
 
Mkuu tufanye umeshinda sawa mbabe.
Ila hakuna mbabe anayetegemea nguvu za wengine,mathalan mtizame Russia.
Rasia anawashirika wake na anaendelea kutafuta washirika hajasimama peke yake
 
Israel ni taifa pekee duniani linalopewa unconditional aids financially,millitary and diplomatic wise na hayo mataifa manne.
Hivi ni mkataba wa aina gani huu waliusaini? Mbona kama wazungu na walatini wapo vizuri kwenye mikataba ilikuaje Israel aliwasainisha kitu Cha hovyo namna hii
 
Tela viv imepondwa tena usiku wa jumanne nikisema kila siku kazaaa ndio muwe mnaelewa YEMEN anajipigia kama ngoma Taifa la mashoga.
 
Ndege ipi na ya aina gani kutoka israel iliyoingia iran? Acha uongo we mwanachama wa LGBTQ
Mabinti watatu wadogo waliingia Iran na kufanya uharibifu mkubwa sana.Kumbuka ni tubinti tutatu tu.Na kuhusu LGBTQ;Cha ajabu hao ndiyo wanaowapiga na kuwashinda wasio "LGBTQ"!
 
Mabinti watatu wadogo waliingia Iran na kufanya uharibifu mkubwa sana.Kumbuka ni tubinti tutatu tu.Na kuhusu LGBTQ;Cha ajabu hao ndiyo wanaowapiga na kuwashinda wasio "LGBTQ"!
Hizo ndege ziliingia mpaka tel aviv? Na wala iran hawakuziona wala kuzilipua?
 
Tangu October 7 2023 tumeshuhudia vurugu za kijeshi za Israeli kujibu unyama waliofanyiwa na Hamasi,idadi kubwa ya raia wakiuwawa na kuteseka kutokana na mapigano kati ya Israel na Hamas

Lebanoni pia mapigano kati ya Hezbollah na Israel yameleta maafa makumbwa

Serikali ya mapinduzibua Irani imejaribu Kila njia kuizuia imeshindwa licha ya mamia ya makombora kasmbaratisha kambi zote za wazayuni Bado Israeli ni imara na inaogopwa na nchi zote za kiisilam

Uturuki miongoni mwa nchi zenye nguvu katika umma wakiisilamu kaishia tu kutoa matamko,Saudi Arabia aliye kitovu cha uisilam kasema hayamuhusu

Urusi na China hawajawa na msaada juu ya kuizuia Israeli isiyendelee na makumuzi yake

Umoja wa mataifa umeishia kutoa matamkoMarekani anauma na kupuliza

Ni taifa Gani litaweza kuisimamisha Israeli?
Muda wao utafika siku moja
 
Hivi ni mkataba wa aina gani huu waliusaini? Mbona kama wazungu na walatini wapo vizuri kwenye mikataba ilikuaje Israel aliwasainisha kitu Cha hovyo namna hii
Wala sio kitu cha hovyo kuna mutual interests baina yao hata USA ananufaika pia.
Israel ni mlinzi wa Westerners hapo middle east geopolitically.
 
Rasia anawashirika wake na anaendelea kutafuta washirika hajasimama peke yake
Washirika wake ni watu wanaotoa limited support mkuu.
Hawatoi full support kama washirika wa Ukraine au Israel.
Na haswa washirika wa Russia ni wa kiuchumi kwasababu eneo ambalo limepwaya kwa Russia ni uchumi.
 
Washirika wake ni watu wanaotoa limited support mkuu.
Hawatoi full support kama washirika wa Ukraine au Israel.
Na haswa washirika wa Russia ni wa kiuchumi kwasababu eneo ambalo limepwaya kwa Russia ni uchumi.
MTU kama kolea kaskazini analimitiwa na nini?
Hilo
Washirika wake ni watu wanaotoa limited support mkuu.
Hawatoi full support kama washirika wa Ukraine au Israel.
Na haswa washirika wa Russia ni wa kiuchumi kwasababu eneo ambalo limepwaya kwa Russia ni uchumi.
Mtu kama Korea kaskazini analimitiwa na Nini?
Iwe limited au unlimited haindoi dhana ya mshirika
 
MTU kama kolea kaskazini analimitiwa na nini?
Hilo

Mtu kama Korea kaskazini analimitiwa na Nini?
Iwe limited au unlimited haindoi dhana ya mshirika
North Korea anaweza kuwa limited kulingana na nguvu yake kiuchumi.
N.Korea haina ubavu wa kusimama na Russia in all aspects kaka.
Sawa dhana ya ushirika haiondolewi ila tunatizama uzito wa ushirika na nguvu ya washirika uliokua nao.
Hivi kaka N.Korea ni sawa na USA ama UK!?
 
North Korea anaweza kuwa limited kulingana na nguvu yake kiuchumi.
N.Korea haina ubavu wa kusimama na Russia in all aspects kaka.
Sawa dhana ya ushirika haiondolewi ila tunatizama uzito wa ushirika na nguvu ya washirika uliokua nao.
Hivi kaka N.Korea ni sawa na USA ama UK!?
Sasa hayo nimadhaifu Yao acha Israel aendelee kula vinono vyake
 
Back
Top Bottom