Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Hakuna aliyefanikiwa kwa kukopa ukiwa hauna kianzio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wakopeshaji nao hawana fikra,Hakuna aliyefanikiwa kwa kukopa ukiwa hauna kianzio
Salaam, Shalom!!
Nchi yetu ni maskini, na Umaskini wetu ni WA matumizi ya akili katika kuzitumia vizuri raslimali na kuzibadili raslimali kuwa utajiri.
Niliwahi kuhoji kuwa, dhamana ya mikopo anayokopa kiongozi wetu ni nini Hasa?
Speed katika kukopa ni kubwa sana, ni Kweli tunahitaji pesa Kwa ajili ya kumalizia miradi iliyoanzishwa na Hayati Magu lakini tunahitaji kufanya Utafiti mikopo iliyokopwa tulinganishe na KAZI mikopo hiyo imefanya tupate balance!
Ikiwa tunakopa na wizi unafanyika, pesa zinaibwa na hazitimizi kusudi Kisha tunarudi tena kukopa, hii Hali ni Hadi lini?
Nani wa kumfunga kiongozi wetu Speed Governor kuhusu mikopo?
Iweje Nchi ikope vijipesa kiduchu vya mboga Kwa kubadilishana na Raslimali zenye thamani mara elfu zaidi ya mikopo hiyo?
Ikiwa Bunge limeshindwa kumdhibiti Kiongozi wetu kutukopea bila kutuuliza, ni nani atazuia au kumshauri vizuri kuhusu mikopo yenye TIJA?
Swali: Njia Gani wananchi tuzitumie kumzuia kiongozi wetu kukopa pesa kiduchu Kwa Kugawa Ardhi, misitu, Bandari na Bahari, raslimali ambazo ni thamani yake ni kubwa kuliko vipesa anavyokopa Kisha vinaishia kuibwa?
Karibuni🙏
Ukiona Ndugu Mpina anaongea Hadi anataka kulia, jua Hali ni Tete.Hiv mikopo hii inaelekezwa kwenye sector gani hasa?
Na ukijitia kimbelembele unauliwa hakuna hata wa kunyanyua mdomoNani amfunge governor kama raia mmekaa kimya.
Hakuna haja ya kuomba, hiyo ilishapitishwa hivyo tokea 2024 ilipoamriwa agombee na marehemu.Omba sana sana Hilo lisitokee, Mungu atuepushie mbali na hii kadhia ya kiongozi huyu!!
Marehemu yupi huyo 2024?Hakuna haja ya kuomba, hiyo ilishapitishwa hivyo tokea 2024 ilipoamriwa agombee na marehemu.
Hata wakati wa Escrow walitoa ufafanuzi tena mzuri kushinda huu wenuTafuta bandiko la Profesa Mkumbo limeongelea kwa kina kilichokwenda kufanyika Korea kabla ya kuanzisha uzi wenye ujumbe ambao tayari umeshatolewa ufafanuzi.
Sanduku la kura tu ndo linaweza mdhititiSalaam, Shalom!!
Nchi yetu ni maskini, na Umaskini wetu ni WA matumizi ya akili katika kuzitumia vizuri raslimali na kuzibadili raslimali kuwa utajiri.
Niliwahi kuhoji kuwa, dhamana ya mikopo anayokopa kiongozi wetu ni nini Hasa?
Speed katika kukopa ni kubwa sana, ni Kweli tunahitaji pesa Kwa ajili ya kumalizia miradi iliyoanzishwa na Hayati Magu lakini tunahitaji kufanya Utafiti mikopo iliyokopwa tulinganishe na KAZI mikopo hiyo imefanya tupate balance!
Ikiwa tunakopa na wizi unafanyika, pesa zinaibwa na hazitimizi kusudi Kisha tunarudi tena kukopa, hii Hali ni Hadi lini?
Nani wa kumfunga kiongozi wetu Speed Governor kuhusu mikopo?
Iweje Nchi ikope vijipesa kiduchu vya mboga Kwa kubadilishana na Raslimali zenye thamani mara elfu zaidi ya mikopo hiyo?
Ikiwa Bunge limeshindwa kumdhibiti Kiongozi wetu kutukopea bila kutuuliza, ni nani atazuia au kumshauri vizuri kuhusu mikopo yenye TIJA?
Swali: Njia Gani wananchi tuzitumie kumzuia kiongozi wetu kukopa pesa kiduchu Kwa Kugawa Ardhi, misitu, Bandari na Bahari, raslimali ambazo ni thamani yake ni kubwa kuliko vipesa anavyokopa Kisha vinaishia kuibwa?
Karibuni🙏
Waarabu wanapita mashuleni kuulizia walimu na wanafunzi wa Dini Ile,Hadi bibi chaudele anatoka kwenye madaraka tanganyika yote itakua imerudi kua koloni la mataifa tofauti duniani, bwana nduga iiii aliyaona mapema akasema ukweli lakini kile kibibi kwa kushilikiana na machawa wake wakamtukana na kumdhalilisha kinacho endelea sasa hivi naona jamaa hua anajichekea zake
Sanduku la kura limeibwa tangu 2020,Sanduku la kura tu ndo linaweza mdhititi
"Anaupiga mwingi"Salaam, Shalom!!
Nchi yetu ni maskini, na Umaskini wetu ni WA matumizi ya akili katika kuzitumia vizuri raslimali na kuzibadili raslimali kuwa utajiri.
Niliwahi kuhoji kuwa, dhamana ya mikopo anayokopa kiongozi wetu ni nini Hasa?
Speed katika kukopa ni kubwa sana, ni Kweli tunahitaji pesa Kwa ajili ya kumalizia miradi iliyoanzishwa na Hayati Magu lakini tunahitaji kufanya Utafiti mikopo iliyokopwa tulinganishe na KAZI mikopo hiyo imefanya tupate balance!
Ikiwa tunakopa na wizi unafanyika, pesa zinaibwa na hazitimizi kusudi Kisha tunarudi tena kukopa, hii Hali ni Hadi lini?
Nani wa kumfunga kiongozi wetu Speed Governor kuhusu mikopo?
Iweje Nchi ikope vijipesa kiduchu vya mboga Kwa kubadilishana na Raslimali zenye thamani mara elfu zaidi ya mikopo hiyo?
Ikiwa Bunge limeshindwa kumdhibiti Kiongozi wetu kutukopea bila kutuuliza, ni nani atazuia au kumshauri vizuri kuhusu mikopo yenye TIJA?
Swali: Njia Gani wananchi tuzitumie kumzuia kiongozi wetu kukopa pesa kiduchu Kwa Kugawa Ardhi, misitu, Bandari na Bahari, raslimali ambazo ni thamani yake ni kubwa kuliko vipesa anavyokopa Kisha vinaishia kuibwa?
Karibuni🙏
HahahaaSalaam, Shalom!!
Nchi yetu ni maskini, na Umaskini wetu ni WA matumizi ya akili katika kuzitumia vizuri raslimali na kuzibadili raslimali kuwa utajiri.
Niliwahi kuhoji kuwa, dhamana ya mikopo anayokopa kiongozi wetu ni nini Hasa?
Speed katika kukopa ni kubwa sana, ni Kweli tunahitaji pesa Kwa ajili ya kumalizia miradi iliyoanzishwa na Hayati Magu lakini tunahitaji kufanya Utafiti mikopo iliyokopwa tulinganishe na KAZI mikopo hiyo imefanya tupate balance!
Ikiwa tunakopa na wizi unafanyika, pesa zinaibwa na hazitimizi kusudi Kisha tunarudi tena kukopa, hii Hali ni Hadi lini?
Nani wa kumfunga kiongozi wetu Speed Governor kuhusu mikopo?
Iweje Nchi ikope vijipesa kiduchu vya mboga Kwa kubadilishana na Raslimali zenye thamani mara elfu zaidi ya mikopo hiyo?
Ikiwa Bunge limeshindwa kumdhibiti Kiongozi wetu kutukopea bila kutuuliza, ni nani atazuia au kumshauri vizuri kuhusu mikopo yenye TIJA?
Swali: Njia Gani wananchi tuzitumie kumzuia kiongozi wetu kukopa pesa kiduchu Kwa Kugawa Ardhi, misitu, Bandari na Bahari, raslimali ambazo ni thamani yake ni kubwa kuliko vipesa anavyokopa Kisha vinaishia kuibwa?
Karibuni🙏
Wewe acha janja janja........Hata kama kaeleza gazeti nzima speed ya ukopaji imepita maelezo.Tafuta bandiko la Profesa Mkumbo limeongelea kwa kina kilichokwenda kufanyika Korea kabla ya kuanzisha uzi wenye ujumbe ambao tayari umeshatolewa ufafanuzi.
Hii speed hata mimi imenitisha sasa. Hizi hela zinaenda wapi?Nani amfunge governor kama raia mmekaa kimya.
Picha imeongezeka UKWELI,"Anaupiga mwingi"
View attachment 3008201
Mie kinachoniuma zaidi ni kwamba ETI mkopaji ana mpango wa kugombea nafasi aliyonayo uchaguzi mkuu wa mwakani!!!.
Afrika tumelogwa!
Zile hela hakuna aliyechangia ni maigizo tu ni pesa za serikali......makabwela wanafanyishwa maigizo tu.Cha kutia huruma makabwela kabisa kabisa wanachanga senti zao za kununulia chumvi eti hela ya form wakati hup hup form ni moja tuuuu.