FATHER OF HISTORY
JF-Expert Member
- Aug 15, 2012
- 915
- 638
Hela ya ELIMU Bure mpaka Leo Iko wapi?Hao wazawa wanashindwa kusimamia wizara wanaishia kuwa wezi tu wa mali za umma, ndio hao unaowaongelea au kuna wazawa wengine wenye kustahili?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hela ya ELIMU Bure mpaka Leo Iko wapi?Hao wazawa wanashindwa kusimamia wizara wanaishia kuwa wezi tu wa mali za umma, ndio hao unaowaongelea au kuna wazawa wengine wenye kustahili?.
Mbona unakuwa mkali au nawewe ni miongoni mwa wanufaika wa hizo pesa?Tafuta ukweli na uhalisia wa habari husika, sio kutegemea vyanzo feki na ukaja humu kuandika kwa kujiamini kabisa utadhani unafahamu kwa kina hicho unachokiandika. Punguza chuki binafsi kwa wanasiasa.
Huyo ni mnufaika wa vyeti feki,Mbona unakuwa mkali au nawewe ni miongoni mwa wanufaika wa hizo pesa?
WE GARASA nenda kaharishe huo uvundo wako. Kwanza unakufahamu kwenu ni wapi, una taarifa km mashamba ya babako yako salama au yameuzwa? We nyau una akili ndgo sn km at all unazo. Lijitu lizima eti nchi itauzwa, tutajie ht nchi moja ilouzwa hapa duniani.Salaam, Shalom!!
Nchi yetu ni maskini, na Umaskini wetu ni WA matumizi ya akili katika kuzitumia vizuri raslimali na kuzibadili raslimali kuwa utajiri.
Niliwahi kuhoji kuwa, dhamana ya mikopo anayokopa kiongozi wetu ni nini Hasa?
Speed katika kukopa ni kubwa sana, ni Kweli tunahitaji pesa Kwa ajili ya kumalizia miradi iliyoanzishwa na Hayati Magu lakini tunahitaji kufanya Utafiti mikopo iliyokopwa tulinganishe na KAZI mikopo hiyo imefanya tupate balance!
Ikiwa tunakopa na wizi unafanyika, pesa zinaibwa na hazitimizi kusudi Kisha tunarudi tena kukopa, hii Hali ni Hadi lini?
Nani wa kumfunga kiongozi wetu Speed Governor kuhusu mikopo?
Iweje Nchi ikope vijipesa kiduchu vya mboga Kwa kubadilishana na Raslimali zenye thamani mara elfu zaidi ya mikopo hiyo?
Ikiwa Bunge limeshindwa kumdhibiti Kiongozi wetu kutukopea bila kutuuliza, ni nani atazuia au kumshauri vizuri kuhusu mikopo yenye TIJA?
Swali: Njia Gani wananchi tuzitumie kumzuia kiongozi wetu kukopa pesa kiduchu Kwa Kugawa Ardhi, misitu, Bandari na Bahari, raslimali ambazo ni thamani yake ni kubwa kuliko vipesa anavyokopa Kisha vinaishia kuibwa?
Karibuni🙏
Video link ipi sasa,jf ilete option ya kupaste video links kirahisi za kutoka humu jf kirahisi kama ilivo kuoaste kutoka mitandao mingine.
uzi bila ile clip haujakamilika kabisa
ulitaka agombee mamako we bwege? Mwambie basi agombee mamako au ht shangazi yako. we ni maskini mpaka wa akiliMie kinachoniuma zaidi ni kwamba ETI mkopaji ana mpango wa kugombea nafasi aliyonayo uchaguzi mkuu wa mwakani!!!.
Afrika tumelogwa!
neno mnada inaendana na ile clip ya mheshimiwa jobVideo link ipi sasa,
Yaani Lulu Yuko na kiongozi wetu wameiwakilisha Nchi!!
Pesa hiyo ya data umekosa KAZI?
Mgogo baada ya klip Ile, anachungwa kama mtoto Kila aendako!!neno mnada inaendana na ile clip ya mheshimiwa job
Luhaga Mpina Yuko sahihi kabisa.Njia iliyobaki ni coup d'e` tat. Ile mihimili mingine ambayo ingemwajibisha ni vibogoyo na upuuzi mtupu.
Inahuzunisha sana,Inasikitisha kuwa part na shuhuda wa haya yote yatokeayo chini.
Mgogo baada ya klip Ile, anachungwa kama mtoto Kila aendako!!
Iweke kama unayo video hiyo🙏
Hata saa mbovu Kuna wakati husema Kweli.View attachment 3008254
2025 picha halisi za wanasiasa ndo tutaziona vizuri
Oyaa haya machungu yanatuhusu sisi Watanganyika!! Wewe endelea Kila Ulojo tu hapo MchambawimaTafuta bandiko la Profesa Mkumbo limeongelea kwa kina kilichokwenda kufanyika Korea kabla ya kuanzisha uzi wenye ujumbe ambao tayari umeshatolewa ufafanuzi.