Nani wa kumfungia kiongozi wetu Speed Governor? Nchi itapigwa mnada hii

Nani wa kumfungia kiongozi wetu Speed Governor? Nchi itapigwa mnada hii

jf ilete option ya kupaste video links kirahisi za kutoka humu jf kirahisi kama ilivo kuoaste kutoka mitandao mingine.


uzi bila ile clip haujakamilika kabisa
 
Hoja yako ina mantiki mno.Lakini mazingira yalivyo anayeongoza nchi sio yeye.Yeye ni 'figure' tu ila genge kubwa lipo nyuma ya pazia.Genge hilo ndilo linaloumiza nchi.Lina nguvu kubwa kuliko mamlaka hslali madarakani.
 
Salaam, Shalom!!

Nchi yetu ni maskini, na Umaskini wetu ni WA matumizi ya akili katika kuzitumia vizuri raslimali na kuzibadili raslimali kuwa utajiri.

Niliwahi kuhoji kuwa, dhamana ya mikopo anayokopa kiongozi wetu ni nini Hasa?

Speed katika kukopa ni kubwa sana, ni Kweli tunahitaji pesa Kwa ajili ya kumalizia miradi iliyoanzishwa na Hayati Magu lakini tunahitaji kufanya Utafiti mikopo iliyokopwa tulinganishe na KAZI mikopo hiyo imefanya tupate balance!

Ikiwa tunakopa na wizi unafanyika, pesa zinaibwa na hazitimizi kusudi Kisha tunarudi tena kukopa, hii Hali ni Hadi lini?

Nani wa kumfunga kiongozi wetu Speed Governor kuhusu mikopo?

Iweje Nchi ikope vijipesa kiduchu vya mboga Kwa kubadilishana na Raslimali zenye thamani mara elfu zaidi ya mikopo hiyo?

Ikiwa Bunge limeshindwa kumdhibiti Kiongozi wetu kutukopea bila kutuuliza, ni nani atazuia au kumshauri vizuri kuhusu mikopo yenye TIJA?

Swali: Njia Gani wananchi tuzitumie kumzuia kiongozi wetu kukopa pesa kiduchu Kwa Kugawa Ardhi, misitu, Bandari na Bahari, raslimali ambazo ni thamani yake ni kubwa kuliko vipesa anavyokopa Kisha vinaishia kuibwa?

Karibuni🙏
WE GARASA nenda kaharishe huo uvundo wako. Kwanza unakufahamu kwenu ni wapi, una taarifa km mashamba ya babako yako salama au yameuzwa? We nyau una akili ndgo sn km at all unazo. Lijitu lizima eti nchi itauzwa, tutajie ht nchi moja ilouzwa hapa duniani.
 
jf ilete option ya kupaste video links kirahisi za kutoka humu jf kirahisi kama ilivo kuoaste kutoka mitandao mingine.


uzi bila ile clip haujakamilika kabisa
Video link ipi sasa,

Yaani Lulu Yuko na kiongozi wetu wameiwakilisha Nchi!!

Pesa hiyo ya data imekosa KAZI?
 
  • Kicheko
Reactions: Lax
Mie kinachoniuma zaidi ni kwamba ETI mkopaji ana mpango wa kugombea nafasi aliyonayo uchaguzi mkuu wa mwakani!!!.
Afrika tumelogwa!
ulitaka agombee mamako we bwege? Mwambie basi agombee mamako au ht shangazi yako. we ni maskini mpaka wa akili
 
neno mnada inaendana na ile clip ya mheshimiwa job
Mgogo baada ya klip Ile, anachungwa kama mtoto Kila aendako!!

Iweke kama unayo video hiyo🙏
 
  • Kicheko
Reactions: Lax
Njia iliyobaki ni coup d'e` tat. Ile mihimili mingine ambayo ingemwajibisha ni vibogoyo na upuuzi mtupu.
 
Inasikitisha kuwa part na shuhuda wa haya yote yatokeayo chini.
 
Inasikitisha kuwa part na shuhuda wa haya yote yatokeayo chini.
Inahuzunisha sana,

Wajukuu zetu wakituuliza, mlikuwa wapi haya yakitokea ,tutaonekana hatuna akili.

Tuzidishe kupaza sauti za HAKI!!
 
Ndugai: Budget ni Trillion 30, katika hizo Trilioni 10 ni Kwa ajili ya kulipa mikopo na Riba,

Halafu kiongozi wetu anaenda kukopa trillion 1.5 watu wanapiga makofi,

Yaani pesa Yako mwenyewe, unaikopa na kulipa Riba kibao unawarudishia kupitia budget na makusanyo.

Ikiwa Ndugai alikuwa sahihi, aliyepo hafai kugombea.
 
Back
Top Bottom