Nani wa kumfungia kiongozi wetu Speed Governor? Nchi itapigwa mnada hii


Hiv mikopo hii inaelekezwa kwenye sector gani hasa?
 
Hadi bibi chaudele anatoka kwenye madaraka tanganyika yote itakua imerudi kua koloni la mataifa tofauti duniani, bwana nduga iiii aliyaona mapema akasema ukweli lakini kile kibibi kwa kushilikiana na machawa wake wakamtukana na kumdhalilisha kinacho endelea sasa hivi naona jamaa hua anajichekea zake
 
Sanduku la kura tu ndo linaweza mdhititi
 
Waarabu wanapita mashuleni kuulizia walimu na wanafunzi wa Dini Ile,

Sijui wamesaini nini kwenye mikataba Yao!!
 
"Anaupiga mwingi"
 
Hahahaa
 
Tafuta bandiko la Profesa Mkumbo limeongelea kwa kina kilichokwenda kufanyika Korea kabla ya kuanzisha uzi wenye ujumbe ambao tayari umeshatolewa ufafanuzi.
Wewe acha janja janja........Hata kama kaeleza gazeti nzima speed ya ukopaji imepita maelezo.

Na kumbuka Prof Mkumbo in anyway ataandika uongo tu.
 
Cha kutia huruma makabwela kabisa kabisa wanachanga senti zao za kununulia chumvi eti hela ya form wakati hup hup form ni moja tuuuu.
Zile hela hakuna aliyechangia ni maigizo tu ni pesa za serikali......makabwela wanafanyishwa maigizo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…