Wanaccm wenzakeWandugu,kwa kauli na maneno ya hovyo anayotamka huyu Polepole inaonesha hayupo pamoja na CCM wala viongozi wa serikali.
Anaongea kwa kujiamini sana bila kujali chochote.
NI UTASHI WAKE AU KUNA KUNDI KUBWA LA WATU WENYE NGUVU NYUMA YAKE?
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Umejibiwa kwa swali,hebu jibu usifiche kichwa kwenye majani kama kifaranga cha kuku mkia ukiwa njeSijamtaja Magufuli.
Sijataja Sukima Gang.
Sjaitaja Serikali.
Mimi nimejikita kwenye hoja ya mletamada, na ndiomaana nime comment kwa mtindo wa swali ama mshangao.
Ebu turudi kwenye hoja mkuu
Ni sisi wamachinga tuko nyuma yake.Wandugu,kwa kauli na maneno ya hovyo anayotamka huyu Polepole inaonesha hayupo pamoja na CCM wala viongozi wa serikali.
Anaongea kwa kujiamini sana bila kujali chochote.
NI UTASHI WAKE AU KUNA KUNDI KUBWA LA WATU WENYE NGUVU NYUMA YAKE?
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Huna akili kila wakati unamtaja Magufuli vipi una mimba yake nini?Punguza ukabila. Jina lako na fikra zako tu zinaonyesha wewe ni kundi lile la kanda ya ziwa. Hizi fikra zimeletwa na Magufuli, za kutaka kutugawa Watanzania. Mshindwe na nguvu zenu za kiza na mawazo finyu.
Polepole yuko hivyo hivyo kuanzia Primary schoolWandugu,kwa kauli na maneno ya hovyo anayotamka huyu Polepole inaonesha hayupo pamoja na CCM wala viongozi wa serikali.
Anaongea kwa kujiamini sana bila kujali chochote.
NI UTASHI WAKE AU KUNA KUNDI KUBWA LA WATU WENYE NGUVU NYUMA YAKE?
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Ni kinyonga,Polepole yuko hivyo hivyo kuanzia Primary school
Kwani na wewe ni kati ya wale wahuni?Bila shaka kuna kundi la mafisi nyuma yake.
Siyo muhuni!
Mwacheni atimize haki yake ya kidemokrasia. Watu mazezeta na wenye akili ndogo ndio watamuona huyu jamaa hayuko Sawa.Wandugu,kwa kauli na maneno ya hovyo anayotamka huyu Polepole inaonesha hayupo pamoja na CCM wala viongozi wa serikali.
Anaongea kwa kujiamini sana bila kujali chochote.
NI UTASHI WAKE AU KUNA KUNDI KUBWA LA WATU WENYE NGUVU NYUMA YAKE?
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Wahuni ni wote wa pale mtaa wa kijani🤔.Kwani na wewe ni kati ya wale wahuni?
Kwa hiyo kuna kundi kubwa kuliko lile la Lowasa?!!Mission is to devide the political party into segments!! Ukanda utahusika hapa, propaganda itakua why Ukanda wa Mwendazake wengi wametupwa nje, na zaidi mbele ya safari wataunda chama kitakachopgia ama kitakachokuja kudevide votes tha kijani kama mbinu ya kuuadhibu haya yote yaliyotokea baada ya march 2021..ukimstad Pole pole ni kama analalamikia mamlaka juu ya falsafa za mwendazake kutupwa nje baada ya mwezi tajwa. Kundi ni kubwa na Niseme kuwa kundi litatikisa chama mana fikilia voters base yao inatoka wapi. Mda ni mwalimu mzuri tusubili!!
Sukuma gang....Sijamtaja Magufuli.
Sijataja Sukima Gang.
Sjaitaja Serikali.
Mimi nimejikita kwenye hoja ya mletamada, na ndiomaana nime comment kwa mtindo wa swali ama mshangao.
Ebu turudi kwenye hoja mkuu
Ndio maana wenzetu wanakimbia sisi ndio tunajifunza kukaa🤔.Hari ya kawaida, inabidi tukue kisiasa kama kaka mkubwa Kenya, Raisi na Makamu Hawaivi lakini Raisi hawezi kutumia vyombo vya dola kumgandamiza.
Mifumo ya Serikali inafanya kazi, hiyo ndio demokrasiwa wabongo hii kitu haituingii akilintu tumezoea mafimbo na kutwangwa kutokea juu. Yaani Kauli ya Raisi ndio sheria na hakuna wakupingana nae!!!
Maneno ya ovyo ni yale yasiyo na context. Na malengo kusudio. Bila msimamo ndani yake ...Wandugu,kwa kauli na maneno ya hovyo anayotamka huyu Polepole inaonesha hayupo pamoja na CCM wala viongozi wa serikali.
Anaongea kwa kujiamini sana bila kujali chochote.
NI UTASHI WAKE AU KUNA KUNDI KUBWA LA WATU WENYE NGUVU NYUMA YAKE?
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
UTAKUWA WEWE MKUUWandugu,kwa kauli na maneno ya hovyo anayotamka huyu Polepole inaonesha hayupo pamoja na CCM wala viongozi wa serikali.
Anaongea kwa kujiamini sana bila kujali chochote.
NI UTASHI WAKE AU KUNA KUNDI KUBWA LA WATU WENYE NGUVU NYUMA YAKE?
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Ofcourse, !! Vinginevyo awe amedata,Kwani mtu akijiamini lazima awe na mtu/watu ama kundi kubwa nyuma yake...!!😲