Nani wapo nyuma ya Polepole? CCM wanamlinda?

Nani wapo nyuma ya Polepole? CCM wanamlinda?

Sijamtaja Magufuli.
Sijataja Sukima Gang.
Sjaitaja Serikali.
Mimi nimejikita kwenye hoja ya mletamada, na ndiomaana nime comment kwa mtindo wa swali ama mshangao.
Ebu turudi kwenye hoja mkuu
Umejibiwa kwa swali,hebu jibu usifiche kichwa kwenye majani kama kifaranga cha kuku mkia ukiwa nje

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Punguza ukabila. Jina lako na fikra zako tu zinaonyesha wewe ni kundi lile la kanda ya ziwa. Hizi fikra zimeletwa na Magufuli, za kutaka kutugawa Watanzania. Mshindwe na nguvu zenu za kiza na mawazo finyu.
Huna akili kila wakati unamtaja Magufuli vipi una mimba yake nini?
 
Wandugu,kwa kauli na maneno ya hovyo anayotamka huyu Polepole inaonesha hayupo pamoja na CCM wala viongozi wa serikali.

Anaongea kwa kujiamini sana bila kujali chochote.

NI UTASHI WAKE AU KUNA KUNDI KUBWA LA WATU WENYE NGUVU NYUMA YAKE?

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Polepole yuko hivyo hivyo kuanzia Primary school
 
Wandugu,kwa kauli na maneno ya hovyo anayotamka huyu Polepole inaonesha hayupo pamoja na CCM wala viongozi wa serikali.

Anaongea kwa kujiamini sana bila kujali chochote.

NI UTASHI WAKE AU KUNA KUNDI KUBWA LA WATU WENYE NGUVU NYUMA YAKE?

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Mwacheni atimize haki yake ya kidemokrasia. Watu mazezeta na wenye akili ndogo ndio watamuona huyu jamaa hayuko Sawa.
 
Mission is to devide the political party into segments!! Ukanda utahusika hapa, propaganda itakua why Ukanda wa Mwendazake wengi wametupwa nje, na zaidi mbele ya safari wataunda chama kitakachopgia ama kitakachokuja kudevide votes tha kijani kama mbinu ya kuuadhibu haya yote yaliyotokea baada ya march 2021..ukimstad Pole pole ni kama analalamikia mamlaka juu ya falsafa za mwendazake kutupwa nje baada ya mwezi tajwa. Kundi ni kubwa na Niseme kuwa kundi litatikisa chama mana fikilia voters base yao inatoka wapi. Mda ni mwalimu mzuri tusubili!!
Kwa hiyo kuna kundi kubwa kuliko lile la Lowasa?!!
 
Sijamtaja Magufuli.
Sijataja Sukima Gang.
Sjaitaja Serikali.
Mimi nimejikita kwenye hoja ya mletamada, na ndiomaana nime comment kwa mtindo wa swali ama mshangao.
Ebu turudi kwenye hoja mkuu
Sukuma gang....
Kunya anye kuku akinya bata kaharisha huyo!!!
Kama kweli mnaona polepole na sukuma gang mnaonewa tuunganeni wote tuunde katiba mpya itakayolinda maslah ya wote kwa usawa. Siyo hii ya sasa mnapanua midomo yenu mnaponyimwa vyeo tu..mkipewa vyeo mnaanza kuwatukana, kuwateka na hata kuwaua wasiyo ccm.
 
Hari ya kawaida, inabidi tukue kisiasa kama kaka mkubwa Kenya, Raisi na Makamu Hawaivi lakini Raisi hawezi kutumia vyombo vya dola kumgandamiza.

Mifumo ya Serikali inafanya kazi, hiyo ndio demokrasiwa wabongo hii kitu haituingii akilintu tumezoea mafimbo na kutwangwa kutokea juu. Yaani Kauli ya Raisi ndio sheria na hakuna wakupingana nae!!!
Ndio maana wenzetu wanakimbia sisi ndio tunajifunza kukaa🤔.
 
Wandugu,kwa kauli na maneno ya hovyo anayotamka huyu Polepole inaonesha hayupo pamoja na CCM wala viongozi wa serikali.

Anaongea kwa kujiamini sana bila kujali chochote.

NI UTASHI WAKE AU KUNA KUNDI KUBWA LA WATU WENYE NGUVU NYUMA YAKE?

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Maneno ya ovyo ni yale yasiyo na context. Na malengo kusudio. Bila msimamo ndani yake ...
 
Majibu ya swali lako utayapata very soon. Ukiona mtoto mchanga aliyefiwa na wazazi anakataa chakula kisicho na chumvi ujue anakaribia kufa naye wakati wowote maana wazazi wake wsliotakiwa kumnunulia chumvi hawapo alishawazika.
 
Back
Top Bottom