Nani yuko kwenye nafasi nzuri ya kupiga hela kati ya Mhasibu na Afisa manunuzi?

Nani yuko kwenye nafasi nzuri ya kupiga hela kati ya Mhasibu na Afisa manunuzi?

Leverage

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2021
Posts
2,125
Reaction score
3,150
Habari za jioni wadau!

Tukiwa watoto tulikuwa tunawaza kazi nzuri ni udakatari na sheria ila kwa kadri umri unavyosonga unagundua hata huko ni umasikini tu sana sana uibe dawa ila kutoboa sio rahisi.

Baada ya kutafakari muda mrefu nimeamua kubadilisha fani kabisa na hizo fani tajwa hapo juu nimeona kidogo huwezi kosa hela ya dagaa na bia mbili nje ya mshahara.

Sasa naomba mnisaidie kwa wizarani au taasisi za serikali kati ya hizo fani mbili ipi unaweza kula kwa urefu wa kamba kuliko nyingine iwe kwa deal halali au haramu.

Karibuni kwa uzoefu wenu.
 
Habari za jioni wadau!
Tukiwa watoto tulikuwa tunawaza kazi nzuri ni udakatari na sheria ila kwa kadri umri unavyosonga unagundua hata huko ni umasikini tu sana sana uibe dawa ila kutoboa sio rahisi. Baada ya kutafakari muda mrefu nimeamua kubadilisha fani kabisa na hizo fani tajwa hapo juu nimeona kidogo huwezi kosa hela ya dagaa na bia mbili nje ya mshahara. Sasa naomba mnisaidie kwa wizarani au taasisi za serikali kati ya hizo fani mbili ipi unaweza kula kwa urefu wa kamba kuliko nyingine iwe kwa deal halali au haramu.
Karibuni kwa uzoefu wenu.
Hivi unaelewa kama tunajinyima sana kuwalipia school fees shule za gharama halafu watoto wenyewe hamna akili?
 
Habari za jioni wadau!
Tukiwa watoto tulikuwa tunawaza kazi nzuri ni udakatari na sheria ila kwa kadri umri unavyosonga unagundua hata huko ni umasikini tu sana sana uibe dawa ila kutoboa sio rahisi. Baada ya kutafakari muda mrefu nimeamua kubadilisha fani kabisa na hizo fani tajwa hapo juu nimeona kidogo huwezi kosa hela ya dagaa na bia mbili nje ya mshahara. Sasa naomba mnisaidie kwa wizarani au taasisi za serikali kati ya hizo fani mbili ipi unaweza kula kwa urefu wa kamba kuliko nyingine iwe kwa deal halali au haramu.
Karibuni kwa uzoefu wenu.
Kupiga hela au kwenda jela?😀

Endelea kujidanganya dogo
 
Mimi sio mtoto mkuu soma vizuri Uzi wangu
Wewe ni mtoto huu mwandiko wako ni ushahidi.

First born wangu namlipia cash University wala sijataka aangaike na bodi ya mikopo, halafu nikiona watoto tunaowaangaikia wasome hawana akili.

Kwanza si lazima upate kazi ya kile ulichosomea, Hussein Mwinyi ni daktari wa binadamu na hajafanya hata internship wala kupractise huo udaktari wake.

Kingine ambacho ndio muhimu sana unaposoma University au chuo chochote lengo kuu ni uwe na akili na maarifa ya kuweza kusurvive duniani na kuajiliwa si lazima.

Naandika kama mzazi inatia uchungu sana ukiona kijana wako hana akili licha kuinvest pesa nyingi na nguvu nyingi kumsomesha.

Ukiwa na wazo la kupiga wewe tayari akili huna.
 
HAPANA hauko serious unakuja kuomba jinsi ya kuibia watanzania HV Nani ametuloga badla ufikiri namna Bora ya kuisaidia serekali kubapamban na ubadhirifu wew unakuja Happ kuomba kufundishwa idara gani inapendeza kuiba Zaid

Wew naona kbsa segerea inakuita au keko hapa inakuita usicheze na serekali usizani Kam imelala uzingizi shauri yako
 
Wewe ni mtoto huu mwandiko wako ni ushahidi.

First born wangu namlipia cash University wala sijataka aangaike na bodi ya mikopo, halafu nikiona watoto tunaowaangaikia wasome hawana akili.

Kwanza si lazima upate kazi ya kile ulichosomea, Hussein Mwinyi ni daktari wa binadamu na hajafanya hata internship wala kupractise huo udaktari wake.

Kingine ambacho ndio muhimu sana unaposoma University au chuo chochote lengo kuu ni uwe na akili na maarifa ya kuweza kusurvive duniani na kuajiliwa si lazima.

Naandika kama mzazi inatia uchungu sana ukiona kijana wako hana akili licha kuinvest pesa nyingi na nguvu nyingi kumsomesha.

Ukiwa na wazo la kupiga wewe tayari akili huna.
Kijn amenizikitisha sna na punguani haswa.

Eti uibe hell za serekali alfu unakuja kuanzisha uzi huku
 
Back
Top Bottom