- Thread starter
- #41
Tumeruhusiwa tule kwa urefu wa kamba
Kupiga hela au kwenda jela?😀
Endelea kujidanganya dogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupiga hela au kwenda jela?😀
Endelea kujidanganya dogo
Mazingira ya nchi yetu ndivyo yalivyo mkuu ukiwa mzalendo watoto wako hawatapanda school busKabisa na ni wengi uwa nawasikia ila si ile kazi unapata videal flani vya upigaji wakati kazi hajapata bado
Mwenye degree salary laki 7, mbunge ambae qualification yake kujua kusoma na kuandika salary milioni 11.Kwanza acha mawazo ya kupiga kuwa Mzalendo na mwaminifu
IPI kati ya hizo fani mbili naweza kula vizuri?HAPANA hauko serious unakuja kuomba jinsi ya kuibia watanzania HV Nani ametuloga badla ufikiri namna Bora ya kuisaidia serekali kubapamban na ubadhirifu wew unakuja Happ kuomba kufundishwa idara gani inapendeza kuiba Zaid
Wew naona kbsa segerea inakuita au keko hapa inakuita usicheze na serekali usizani Kam imelala uzingizi shauri yako
Hakuna neno kuiba ila kupata hela nje ya mshahara sio kuibaKijn amenizikitisha sna na punguani haswa. Eti uibe hell za serekali alfu unakuja kuanzisha uzi huku
Unanishauri niingie kwenye siasa?tuachane na takataka zooote, nimeishi nikajua kuwa kazi inayolipa kuliko zoote hapa duniani ni uanasiasa. trust me, ndio watu wanaopata hela kuliko profession zote, kwa kuchezesha tu maneno ya kisiasa na kuchezea akili za watu. sometimes utadhani ni maadui ila ikifika mahali kwenye common interest, wanakutana wanayajenga then wanarudi wote kuwadanganya raia kuwa yameisha wagange yajayo (kumbe wote wanataka wasiloose).
Ahsante sana kiongozi. Nitafanya kazi kwa welediManunizi achanaaa naoooo...!! Yani hao ni maboss
Si ulisema halali au sio halali au?Hakuna neno kuiba ila kupata hela nje ya mshahara sio kuiba
Mfano kununua nguzo ya umeme bei ya serikali laki 1. Mimi nikitafuta mtu akaniuzia elfu 40 hapo nimebakiwa na elfu 60.Si ulisema halali au sio halali au?
Mkuu umeongea kwa hisia sana. Japo unachenga kuniambia wewe ni mzaliwa wa mkoa gani.Wewe ni mtoto huu mwandiko wako ni ushahidi.
First born wangu namlipia cash University wala sijataka aangaike na bodi ya mikopo, halafu nikiona watoto tunaowaangaikia wasome hawana akili.
Kwanza si lazima upate kazi ya kile ulichosomea, Hussein Mwinyi ni daktari wa binadamu na hajafanya hata internship wala kupractise huo udaktari wake.
Kingine ambacho ndio muhimu sana unaposoma University au chuo chochote lengo kuu ni uwe na akili na maarifa ya kuweza kusurvive duniani na kuajiliwa si lazima.
Naandika kama mzazi inatia uchungu sana ukiona kijana wako hana akili licha kuinvest pesa nyingi na nguvu nyingi kumsomesha.
Ukiwa na wazo la kupiga wewe tayari akili huna.
Easy easy tu au sio?Mfano kununua nguzo ya umeme bei ya serikali laki 1. Mimi nikitafuta mtu akaniuzia elfu 40 hapo nimebakiwa na elfu 60.
Huo sio wizi bali ni ujanja tu.
Haya ni maswali ya wajinga waliokwenda shule kutembea lakini hawajaelimika.Mkuu umeongea kwa hisia sana. Japo unachenga kuniambia wewe ni mzaliwa wa mkoa gani.
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mo dewj au bakhresa anafanya kazi gani kati ya hizo? Kama hakuna Kati ya hizo bas bado una safari ndefu ya kupiga pesa
Alafu utakuja kufungwa upotelee mbali we endelea tu kuleta uzi huku umevaa earphones na malapa meupe na soks
Jipatie picha halisi hapo ya vijana tulionao.Sasa hapa nimeelewa kwanini CEO wengi wa voda,coca,tigo etc sio watanzania.
Sisi wa watanzania tunawaza upigaji tu,watu wamehangaikia kuitengeneza kampuni kwa jasho na damu wewe unawaza kwenda kuifilisi....
Pumbavu[emoji35][emoji35]
Wrong 100%Mazingira ya nchi yetu ndivyo yalivyo mkuu ukiwa mzalendo watoto wako hawatapanda school bus
Watanzania uwa sijui tunazaliwa tukiwa na PhD ya upigaji.
Jichanganye umuachie mtz biashara bila kufuatilia umuamini utalia hata awe ndugu yako.
IPI kati ya hizo fani mbili naweza kula vizuri?
Hayo mengine ya jela niachie nipambane nayo.
Aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Nakuuliza wewe, sijamuuluza Manara.Haya ni maswali ya wajinga waliokwenda shule kutembea lakini hawajaelimika.
Haji Manara amezaliwa Amsterdam Netherlands.