Nani yuko kwenye nafasi nzuri ya kupiga hela kati ya Mhasibu na Afisa manunuzi?

Nani yuko kwenye nafasi nzuri ya kupiga hela kati ya Mhasibu na Afisa manunuzi?

Nyie mnaongea tu ila haya mambo yanaumiza sana kwa sababu hakuna usawa.


Ukiacha mambo mengine ya kibinadamu unamlipaje Mwalimu wa Degree 460k halafu mtu fani nyingine unamlipa 6M. !!??

HAMJAMUELEWA MLETA MADA. MLETA MADA NI MTUMISHI WA SERIKALI MIONGONI MWA WALE WANAO TESEKA NA GAP HAPO JUU.
Wewe umenielewa, wako watu wanamaliza degree ya aina moja mfano uhandisi. Mmoja akiwa halmashauri laki 9 mwingine akienda Tanroad milioni 2 na point + allowances. Mfumo huu usharibika tayari na hakuna wa kuurekebisha. Ngoja na sisi tutafute kamba tuanze kula
 
Kabla sijakujibu hilo niambie kwanza kati ya kuingia na kikaratasi au kuuliza wenzio, ni ipi njia rahisi ya kuibia kwenye chumba cha mtihani?
Jibu swali langu mkuu mbona unaniuliza tena?
 
Usipopiga utapigwa ,tena na kitu kizito
Hadi ufikie kubadili wapigaji wa hii nchi ulisha kwenda na maji, wapigaji ni wengi na huwezi kuwa mwema peke yako.
Kikubwa piga kwa akili(huo ndo urefu wa kamba uliyonayo)
Watanzania unawashangaa sana hao hao ndio wakwepa kodi hawatoi risiti kwenye biashara zao halafu wanajifanya wanachukia ufisadi. Dhambi ya kusema uongo na dhambi ya kwenda kwa mpalange au kuua zote ni dhambi tu.
Nani mwema humu?
 
Hakuna dili ambalo mtu wa manunuzi atacheza pasipo kumshirikisha mhasibu.
Supplier ili alipwe kwa wakati inabidi aishi vizuri na mhasibu vinginevyo itakua ni sound tu kila siku.
To me mhasibu is far better kuliko mtu wa manunuzi.
 
Hakuna dili ambalo mtu wa manunuzi atacheza pasipo kumshirikisha mhasibu.
Supplier ili alipwe kwa wakati inabidi aishi vizuri na mhasibu vinginevyo itakua ni sound tu kila siku.
To me mhasibu is far better kuliko mtu wa manunuzi.
Ahsante sana kwa mchango wako
 
Hakuna dili ambalo mtu wa manunuzi atacheza pasipo kumshirikisha mhasibu.
Supplier ili alipwe kwa wakati inabidi aishi vizuri na mhasibu vinginevyo itakua ni sound tu kila siku.
To me mhasibu is far better kuliko mtu wa manunuzi.

Hakuna kitu unajua boss,
Mtu wa manunuzi anakula bila mhasibu kujua chochote,ila mhasibu hali bila mtu wa manunuzi kujua.
(Manunuzi)Napokea hewa,nawasiliana na supplier mm na mhasibu unalipa bila kujua na mpunga tunakula
 
Kwenye kusaini documents hapo hapati chochote?
Hata kama anapata ni ki ji pesa tu na sio pesa, na inategemea na aina ya doc!!zamani pesa zote zilipokuwa zikilipiwa kwenye ofisi ya uhasibu moja kwa moja, na wao ndio wanazipeleka bank, ndipo kulikuwa mhasibu anaonekana kama Mungu Mtu!!kwani ndiye alikuwa na uwezo wa kuchukua kiasi fulani na kuzizungusha kwanza kwenye biashara zake huko, na kukopesha watu kwa riba.
 
Hakuna kitu unajua boss,
Mtu wa manunuzi anakula bila mhasibu kujua chochote,ila mhasibu hali bila mtu wa manunuzi kujua.
(Manunuzi)Napokea hewa,nawasiliana na supplier mm na mhasibu unalipa bila kujua na mpunga tunakula
Nani kakuambia kuna malipo yanafanywa pasipokua na physical verification ya huo mzigo ulionunuliwa?anaefanya verification ya mzigo ni mtu wa finance/mhasibu na sio afisa manunuzi.vinginevyo auditor akija atakubana utashindwa kujibu.so mhasibu huwezi kumkwepa
 
Watanzania uwa sijui tunazaliwa tukiwa na PhD ya upigaji.

Jichanganye umuachie mtz biashara bila kufuatilia umuamini utalia hata awe ndugu yako.
Hapa naungana na wewe 100% now nimeamua nikae mwenyewe kwenye kiofisi changu, kwajinsi tulivyokuwa tunapiga hela sehemu tuliyokuwa tunafanya kazi, sitamani kabisa kumuajiri mtu kwenye ofisi yangu. Mwizi hataki aibiwe bhana
 
Hapa naungana na wewe 100% now nimeamua nikae mwenyewe kwenye kiofisi changu, kwajinsi tulivyokuwa tunapiga hela sehemu tuliyokuwa tunafanya kazi, sitamani kabisa kumuajiri mtu kwenye ofisi yangu. Mwizi hataki aibiwe bhana
Hahaah waachie na wengine wale asee, mbona we ulikua unakula kwa wenzio
 
Hapa naungana na wewe 100% now nimeamua nikae mwenyewe kwenye kiofisi changu, kwajinsi tulivyokuwa tunapiga hela sehemu tuliyokuwa tunafanya kazi, sitamani kabisa kumuajiri mtu kwenye ofisi yangu. Mwizi hataki aibiwe bhana
Ukila vya wenzio nawe lazima uliwe kidogo mkuu
 
Still bado. Maana hata ukishinda tenda bado utahitaji kuwa karibu na procurement. Na hata kabla ya kushinda ni procurement ndo atakuambia ni nn cha kufanya kuongeza chance ya kuipata hiyo Tenda. Hata info tu kuwa price zako zichezee wapi ili zisiwe juu sana wakakuona ni ghali na zisiwe chini sana wakakuona unaweza shindwa kazi baadae ukaanza kulia lia ni ya muhimu na inakuhitaji ufahamiane na procure.

Uyo supplier wa kutoa pesa nae mwehu Yaan ushinde kwenye mfumo utoe pesa kwa procurements haipo iyo mana akishinda nikudeal na user departments kwa clear specification
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Back
Top Bottom