G'taxi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 6,625
- 8,639
Usicheze na kitu inaitwa manunuzi, huyo mhasibu mwenyewe akitaka printer ya ofcn kwake anamwambia mzee wa manunuzi amuagizie, akiagiza printer kama ni milion 1.5 anaweza akaweka na chake Cha juu ikawa yamkini Milion 1.8 na baadae mhasibu yule analipa, mtu wa biashara anachukua Ile laki 3 anampa mtu wa manunuzi anaenda kunywa biereeeeee[emoji23][emoji23]Habari za jioni wadau!
Tukiwa watoto tulikuwa tunawaza kazi nzuri ni udakatari na sheria ila kwa kadri umri unavyosonga unagundua hata huko ni umasikini tu sana sana uibe dawa ila kutoboa sio rahisi.
Baada ya kutafakari muda mrefu nimeamua kubadilisha fani kabisa na hizo fani tajwa hapo juu nimeona kidogo huwezi kosa hela ya dagaa na bia mbili nje ya mshahara.
Sasa naomba mnisaidie kwa wizarani au taasisi za serikali kati ya hizo fani mbili ipi unaweza kula kwa urefu wa kamba kuliko nyingine iwe kwa deal halali au haramu.
Karibuni kwa uzoefu wenu.
Any way mtoa mada usiende kusomea wizi maana swali lako limelenga kinacho julikana