Nani yuko kwenye nafasi nzuri ya kupiga hela kati ya Mhasibu na Afisa manunuzi?

Nani yuko kwenye nafasi nzuri ya kupiga hela kati ya Mhasibu na Afisa manunuzi?

Watanzania uwa sijui tunazaliwa tukiwa na PhD ya upigaji.

Jichanganye umuachie mtz biashara bila kufuatilia umuamini utalia hata awe ndugu yako.
Yaani ni laana fulani hivi!
 
Kwanza acha mawazo ya kupiga kuwa Mzalendo na mwaminifu
Tatizo ni kwamba hata viongozi wetu wanatoa kauli tata ambazo hazihamasishi uzalendo.

Kiongozi mkuu anaposema, 'ule sawa na urefu wa kamba yako..usile mpaka uvimbiwe'.
Kauli kama hizi zinahamasisha wizi haswa kwa hawa vijana wadogo.
 
Habari za jioni wadau!

Tukiwa watoto tulikuwa tunawaza kazi nzuri ni udakatari na sheria ila kwa kadri umri unavyosonga unagundua hata huko ni umasikini tu sana sana uibe dawa ila kutoboa sio rahisi.

Baada ya kutafakari muda mrefu nimeamua kubadilisha fani kabisa na hizo fani tajwa hapo juu nimeona kidogo huwezi kosa hela ya dagaa na bia mbili nje ya mshahara.

Sasa naomba mnisaidie kwa wizarani au taasisi za serikali kati ya hizo fani mbili ipi unaweza kula kwa urefu wa kamba kuliko nyingine iwe kwa deal halali au haramu.

Karibuni kwa uzoefu wenu.

Wote wanapewa mshahara, kwa hiyo wote wa napiga hela.
 
Mfano umeambiwa wapangie hawa wageni hoteli yenye thamani ya laki 5 kwa siku. Wewe ukaenda hotelini ukaongea vizuri wakakubali kwa laki 4. Hiyo laki moja uirudishe wapi kwa katibu mkuu au kwa mkuu wa idara?
Kwa wazir mkuu kbsa
 
Naona kijana ameshairiwa vzr jins ya kuiba oesa za umma mkuu
Achana na tamaaa ukiona mtu. Anaendeaha Harria yake usimuige kwenda kuiba
Acha kbsa nenda kweny sias tu
Au subir teuzi
 
Wewe ni mtoto huu mwandiko wako ni ushahidi.

First born wangu namlipia cash University wala sijataka aangaike na bodi ya mikopo, halafu nikiona watoto tunaowaangaikia wasome hawana akili.

Kwanza si lazima upate kazi ya kile ulichosomea, Hussein Mwinyi ni daktari wa binadamu na hajafanya hata internship wala kupractise huo udaktari wake.

Kingine ambacho ndio muhimu sana unaposoma University au chuo chochote lengo kuu ni uwe na akili na maarifa ya kuweza kusurvive duniani na kuajiliwa si lazima.

Naandika kama mzazi inatia uchungu sana ukiona kijana wako hana akili licha kuinvest pesa nyingi na nguvu nyingi kumsomesha.

Ukiwa na wazo la kupiga wewe tayari akili huna.
Umeongea kwa hisia
 
Afisa manunuzi kwa kuwa anafanya kazi na watu wa nje. Kuna bonus za commision za kuleta wateja na cha juu pia iwapo opportunity itatokea.
Mlipaji ndo Lila kitu na ndo huyo mhasibu

Acha na Mtu anayeitwa mlipaji
 
Tatizo ni kwamba hata viongozi wetu wanatoa kauli tata ambazo hazihamasishi uzalendo.

Kiongozi mkuu anaposema, 'ule sawa na urefu wa kamba yako..usile mpaka uvimbiwe'.
Kauli kama hizi zinahamasisha wizi haswa kwa hawa vijana wadogo.
Humu wanaoshauri uzalendo wengi wanafiki hao hao ndio wanahonga ili kampuni zao zipewe tenda serikalini ili wauze cement mfuko elfu 30 wakati wao wanachukua kiwandani elfu 9.
Ahsante mkuu kwa ushauri wako
 
Mimi sio mtoto mkuu soma vizuri Uzi wangu
Trust me,wewe ni mtoto,tena mtoto mjinga.Ni hasara kuwa na vijana waliosoma wenye mawazo kama haya.Lakini ni hasara zaidi Kwa taifa kuwa na vijana wenye kuthubutu kuandika haya hadharani.
 
Watanzania uwa sijui tunazaliwa tukiwa na PhD ya upigaji.

Jichanganye umuachie mtz biashara bila kufuatilia umuamini utalia hata awe ndugu yako.
Uwizi ndiyo jadi yetu

Ova
 
Wewe ni mtoto huu mwandiko wako ni ushahidi.

First born wangu namlipia cash University wala sijataka aangaike na bodi ya mikopo, halafu nikiona watoto tunaowaangaikia wasome hawana akili.

Kwanza si lazima upate kazi ya kile ulichosomea, Hussein Mwinyi ni daktari wa binadamu na hajafanya hata internship wala kupractise huo udaktari wake.

Kingine ambacho ndio muhimu sana unaposoma University au chuo chochote lengo kuu ni uwe na akili na maarifa ya kuweza kusurvive duniani na kuajiliwa si lazima.

Naandika kama mzazi inatia uchungu sana ukiona kijana wako hana akili licha kuinvest pesa nyingi na nguvu nyingi kumsomesha.

Ukiwa na wazo la kupiga wewe tayari akili huna.
Wachaneee haoooo

Ova
 
Mama wa Biharusi tumempa jukumu la Kamati ya Maandalizi ya harusi ya binti yale kwenda kutafuta Kuku wa shughuli ya Mwanae kenda kutuletea Vikuku kama njiwa halafu bei ya Juu tukajua kapigwa kwa ule utuu uzima wake …kufuatilia kumbe kacheza dili na Muuzaji wapate kama elf 5 kwa kila vikuku vile vya sijui wiki nne tu


Unapambana kujibana ujenge kijumba chako pekee kwny uhai wako unamshirikisha Mkeo wa maisha lakin cha ajabu huyo huyo anashirikiana na mafundi kuiba
Nyie mnaongea tu ila haya mambo yanaumiza sana kwa sababu hakuna usawa.


Ukiacha mambo mengine ya kibinadamu unamlipaje Mwalimu wa Degree 460k halafu mtu fani nyingine unamlipa 6M. !!??

HAMJAMUELEWA MLETA MADA. MLETA MADA NI MTUMISHI WA SERIKALI MIONGONI MWA WALE WANAO TESEKA NA GAP HAPO JUU.
 
Nashukuru sana mkuu kwa mchango wako wa kiuweledi. Hawa wengine wananitisha wakati wao wanaendesha Harrier new model au Dualis kwa mishahara ya laki 7 inawezekana vipi? Wanafiki wakubwa.
Ndugu kila la kheri tatizo watanzania ni wanafiki tu yeye analipwa 12M wewe unalipwa 300k kwa nini usifikirie kufanya vinginevyo...!!
 
Na bado tunashangaa kwanini kama Taifa / Nchi tunapiga hatua kila siku za kurudi nyuma ?

Ukweli ni kwamba kama Taifa kuanzia viongozi mpaka wananchi tume-lose the Plot..., Yaani utafikiri tupo kwenye nchi ya kupanga na sio nchi yetu....

Tunabomoa / chukua mbao za milango ili tujenge madirisha
Tatizo ubinafsi na hakuna usawa.

Unamlipaje Mwalimu 400k halafu mwanasiasa 11M....!!!?
 
Usipopiga utapigwa ,tena na kitu kizito
Hadi ufikie kubadili wapigaji wa hii nchi ulisha kwenda na maji, wapigaji ni wengi na huwezi kuwa mwema peke yako.
Kikubwa piga kwa akili(huo ndo urefu wa kamba uliyonayo)
 
Habari za jioni wadau!

Tukiwa watoto tulikuwa tunawaza kazi nzuri ni udakatari na sheria ila kwa kadri umri unavyosonga unagundua hata huko ni umasikini tu sana sana uibe dawa ila kutoboa sio rahisi.

Baada ya kutafakari muda mrefu nimeamua kubadilisha fani kabisa na hizo fani tajwa hapo juu nimeona kidogo huwezi kosa hela ya dagaa na bia mbili nje ya mshahara.

Sasa naomba mnisaidie kwa wizarani au taasisi za serikali kati ya hizo fani mbili ipi unaweza kula kwa urefu wa kamba kuliko nyingine iwe kwa deal halali au haramu.

Karibuni kwa uzoefu wenu.

Kabla sijakujibu hilo niambie kwanza kati ya kuingia na kikaratasi au kuuliza wenzio, ni ipi njia rahisi ya kuibia kwenye chumba cha mtihani?
 
Back
Top Bottom