goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,845
- 13,072
HV unamshauri ujinga gani hyu kijan aliyepotokaWatu wa Procurement wanapiga pesa vibaya sana
Kumbe mkifungwa kwa kesi za uhujumu uchumi hawakosei
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HV unamshauri ujinga gani hyu kijan aliyepotokaWatu wa Procurement wanapiga pesa vibaya sana
Pamoto siku hizi, zamani bwana, dingi alipitmga pesa enzi hizo hatar, kwenye chuo dishdesh.Watu wa Procurement wanapiga pesa vibaya sana
Watu wa Procurement wanapiga pesa vibaya sana
Manunizi achanaaa naoooo...!! Yani hao ni maboss
Still bado. Maana hata ukishinda tenda bado utahitaji kuwa karibu na procurement. Na hata kabla ya kushinda ni procurement ndo atakuambia ni nn cha kufanya kuongeza chance ya kuipata hiyo Tenda. Hata info tu kuwa price zako zichezee wapi ili zisiwe juu sana wakakuona ni ghali na zisiwe chini sana wakakuona unaweza shindwa kazi baadae ukaanza kulia lia ni ya muhimu na inakuhitaji ufahamiane na procure.Taneps imeshawavuruga