Nani yuko macho tupige stori?

Nani yuko macho tupige stori?

farkhina ile kideo ya yule mtoto akikimbizwa na kuku ni balaa kile kitoto kitapata phobia ya kuku lazima haaa maana walikuwa na desparate halafu walivyovamia mfukoa sasa mameeeee
 
Last edited by a moderator:
farkhina ile kideo ya yule mtoto akikimbizwa na kuku ni balaa kile kitoto kitapata phobia ya kuku lazima haaa maana walikuwa na desparate halafu walivyovamia mfukoa sasa mameeeee

Hahahahahah alafu wajua hakujua kwanini wale kuku wanamkimbiza vile....
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahah alafu wajua hakujua kwanini wale kuku wanamkimbiza vile....
Kulikuwa na nn kwenye ule mfuko ulowatia wale kuku wazim???matama ama mahindi :smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big:
 
Kulikuwa na nn kwenye ule mfuko ulowatia wale kuku wazim???matama ama mahindi :smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big:

Mchanganyiko wa chakula cha kuku.....wao shida yao ni chakula yeye kajua anakimbizwa labda wanataka kumla yey....
 
Back
Top Bottom