Mlinzi hahaha acha kutuibia bana, we mlinzi ulinde na uko Jf? Na sa kumi kasoro hii ndio wezi wanapita pita dah kama kwel pole snaa mkuu lkn sio haba salary ya voda si $20ph?
Huyo mlinzi wa kisasa....analinda kwa computer lol...
Alafu ya cctv ipo jf lol