Nani yuko nyuma ya ‘Majaliwa adondoke’?

Wapo ila nilidhani utakuwa umeshafanya tathmini yako ya angalau majina mawili ili tuwajadili !!
Kama wapo ni jambo jema tushikamane kwa umoja wetu tushinikize mamlaka ya uteuzi ivunje baraza la mawaziri waje wengine na wao walitumikie taifa sio hao waliozoea kubebwa na majina ya familia zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…