I Igurumuki Masanja JF-Expert Member Joined Dec 25, 2016 Posts 993 Reaction score 2,021 Nov 11, 2022 #141 mzeewaSHY said: Wapo ila nilidhani utakuwa umeshafanya tathmini yako ya angalau majina mawili ili tuwajadili !! Click to expand... Kama wapo ni jambo jema tushikamane kwa umoja wetu tushinikize mamlaka ya uteuzi ivunje baraza la mawaziri waje wengine na wao walitumikie taifa sio hao waliozoea kubebwa na majina ya familia zao
mzeewaSHY said: Wapo ila nilidhani utakuwa umeshafanya tathmini yako ya angalau majina mawili ili tuwajadili !! Click to expand... Kama wapo ni jambo jema tushikamane kwa umoja wetu tushinikize mamlaka ya uteuzi ivunje baraza la mawaziri waje wengine na wao walitumikie taifa sio hao waliozoea kubebwa na majina ya familia zao
Goodvision JF-Expert Member Joined Apr 4, 2012 Posts 858 Reaction score 467 Nov 11, 2022 #142 Code nyepesi sana mbona. Ausar said: Hapa my beyi nimepotea msaada kituoni Click to expand...
Ausar JF-Expert Member Joined Mar 19, 2021 Posts 2,369 Reaction score 3,800 Nov 11, 2022 #143 Goodvision said: Code nyepesi sana mbona. Click to expand... Kabla haijabadilishwa
M Mateo Kovasic JF-Expert Member Joined Aug 9, 2022 Posts 420 Reaction score 334 Nov 11, 2022 #144 Snipper said: Sasa tabu ya nini kuandika vitu kificho wakati humu watu ni anonymous? Click to expand... Uoga umemzidia
Snipper said: Sasa tabu ya nini kuandika vitu kificho wakati humu watu ni anonymous? Click to expand... Uoga umemzidia
A Acholile Member Joined May 30, 2022 Posts 90 Reaction score 59 Nov 12, 2022 #145 Gladiator4440 said: Akimtoa Majaliwa na kwa jinsi Majaliwa anavyokubalika na watu kuliko yeye nadhani ndiyo atakuwa amempatia tiketi yake ya kuwa Rais wa JMT Click to expand... 🤣🤣🖐
Gladiator4440 said: Akimtoa Majaliwa na kwa jinsi Majaliwa anavyokubalika na watu kuliko yeye nadhani ndiyo atakuwa amempatia tiketi yake ya kuwa Rais wa JMT Click to expand... 🤣🤣🖐
B Bongo bO Member Joined Nov 29, 2019 Posts 36 Reaction score 23 Nov 12, 2022 #146 Aisee "mtanikumbuka" kumkichwa iwakae