Nani yuko nyuma ya ‘Majaliwa adondoke’?

Nani yuko nyuma ya ‘Majaliwa adondoke’?

Hivi kipilimba bado yupo windhoek au kastaafu kimya kimya
 
Wenye Macho tunaona!,
"Rosti-Tamu"imeingia jikoni....asiyekubali kula. "Rosti-Tamu" Atafungwa na "Kamba" za "Makamba"

Naona "Mjomba" Cheff maarufu wa
"I-Go-Unga"sasa ameamua kufunga mahesabu ya Mwaka,ni wazi sasa "Katelephone" anaandaliwa zengwe ili adondoke!

"Ma-ajali -waa!" yamesakamwa toka pande zote za utamu,kuanzia "Asali- Ganga"
Mpaka "Msogee-Zenji"

Toka Boo-coo-bar... Mpaka "Do-do!-me"
"Ma-ajali-waa!" Anatafutwa kudondoshwa!

Sasa Wanamtaka Mama Saa-100, Avunje Nyumba ili tu.
Waondowe "Katelephone" kalikofungiwa ndani na "Makufuli."

Ni kwamba kwa sasa ni "katelephone"pekee "aliyebaki" miongoni mwa "Fenicha" zilizokuwa zimefungiwa kwa "Makufuli"

Sababu "Katelephone" kanaongea -ongea sana bila hata kubonyezwa "Button".
Na mbaya zaidi...kako karibu na Chumba anacholala Mama!

Ni ngumu misheni ya "twenti-thati"kukamilishwa bila kuondoa fenicha zilizokuwa zimefungwa na "Makufuli"
Sasa Zinafunguliwa kwa "Rosti- Tamu"
zinafungwa kwa
"Ma- Kamba" ya Ka- taani.

Ndio Maana "Kaa-Body" iliwekwa ndani ya Uzio.huku ikiwekewa
'KK-Guard"24×7×12.

"Look-Waive" iliwekwa ndani ya Uzio.huku ikiwekewa
"Kk-Guard" 24x7×7×12.

"Pale-pale" Pakasogezwa nje ya Uzio."huko "Mara-wii!".
Sasa panacheza Golf .

"Bash- Raw" ikawekwa mjengoni ili ijiwivishe yenyewe huku ikwa na 'Kk-Guard" 24×7x12..

"Kale-Maini" ikasogezwa 'Chai- toto" ipumzike!
Wakati Nguzo ya Taa- nee -sii -koo! ikifungwa Ma-kamba Mengine ili isinyanyuke kabla ya
"Sisi- Mbioni" nyingine ya Mjomba.

"Sio-Raw" ikapelekwa "Zoom-By-Bwey".

"My-be-Yo" Ikaachwa ipumzike bila kuchafua Bahari.
Maana Tufani ya Bahari ingeupukutisha kila Mnazi.

Na Fenicha zilizobakia zilizofungwa na "Makufuli" kwa Sasa,ni zile tu ambazo zimekubali kula "Asali"na "Rosti-Maini."

"Ma-ajali-liwaa!" yatatokea Kwa kwa "Kate-phone"kupasuka kioo!

Tanzania.....
"Tunacheka ya Kulia"
"Tunalia ya kucheka"

"Bottom-Up" yetu ni zaidi ya ile ya "Root-Raw" kule
"Kanye West"

Tobaa!

Alamsikhi.
10101.
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Screenshot_20221106-171937.jpg
 
Akimtoa Majaliwa na kwa jinsi Majaliwa anavyokubalika na watu kuliko yeye nadhani ndiyo atakuwa amempatia tiketi yake ya kuwa Rais wa JMT
Unaongelea huyu Majaliwa mbabaishaji au yupi.. yule hafai hata kuwa mlinzi wa banda la kuku
 
Wenye Macho tunaona!,
"Rosti-Tamu"imeingia jikoni....asiyekubali kula. "Rosti-Tamu" Atafungwa na "Kamba" za "Makamba"

Naona "Mjomba" Cheff maarufu wa
"I-Go-Unga"sasa ameamua kufunga mahesabu ya Mwaka,ni wazi sasa "Katelephone" anaandaliwa zengwe ili adondoke!

"Ma-ajali -waa!" yamesakamwa toka pande zote za utamu,kuanzia "Asali- Ganga"
Mpaka "Msogee-Zenji"

Toka Boo-coo-bar... Mpaka "Do-do!-me"
"Ma-ajali-waa!" Anatafutwa kudondoshwa!

Sasa Wanamtaka Mama Saa-100, Avunje Nyumba ili tu.
Waondowe "Katelephone" kalikofungiwa ndani na "Makufuli."

Ni kwamba kwa sasa ni "katelephone"pekee "aliyebaki" miongoni mwa "Fenicha" zilizokuwa zimefungiwa kwa "Makufuli"

Sababu "Katelephone" kanaongea -ongea sana bila hata kubonyezwa "Button".
Na mbaya zaidi...kako karibu na Chumba anacholala Mama!

Ni ngumu misheni ya "twenti-thati"kukamilishwa bila kuondoa fenicha zilizokuwa zimefungwa na "Makufuli"
Sasa Zinafunguliwa kwa "Rosti- Tamu"
zinafungwa kwa
"Ma- Kamba" ya Ka- taani.

Ndio Maana "Kaa-Body" iliwekwa ndani ya Uzio.huku ikiwekewa
'KK-Guard"24×7×12.

"Look-Waive" iliwekwa ndani ya Uzio.huku ikiwekewa
"Kk-Guard" 24x7×7×12.

"Pale-pale" Pakasogezwa nje ya Uzio."huko "Mara-wii!".
Sasa panacheza Golf .

"Bash- Raw" ikawekwa mjengoni ili ijiwivishe yenyewe huku ikwa na 'Kk-Guard" 24×7x12..

"Kale-Maini" ikasogezwa 'Chai- toto" ipumzike!
Wakati Nguzo ya Taa- nee -sii -koo! ikifungwa Ma-kamba Mengine ili isinyanyuke kabla ya
"Sisi- Mbioni" nyingine ya Mjomba.

"Sio-Raw" ikapelekwa "Zoom-By-Bwey".

"My-be-Yo" Ikaachwa ipumzike bila kuchafua Bahari.
Maana Tufani ya Bahari ingeupukutisha kila Mnazi.

Na Fenicha zilizobakia zilizofungwa na "Makufuli" kwa Sasa,ni zile tu ambazo zimekubali kula "Asali"na "Rosti-Maini."

"Ma-ajali-liwaa!" yatatokea Kwa kwa "Kate-phone"kupasuka kioo!

Tanzania.....
"Tunacheka ya Kulia"
"Tunalia ya kucheka"

"Bottom-Up" yetu ni zaidi ya ile ya "Root-Raw" kule
"Kanye West"

Tobaa!

Alamsikhi.
10101.
Mimi ndo Niko nyuma ya hii kitu, unasemaje!!
 
Wenye Macho tunaona!,
"Rosti-Tamu"imeingia jikoni....asiyekubali kula. "Rosti-Tamu" Atafungwa na "Kamba" za "Makamba"

Naona "Mjomba" Cheff maarufu wa
"I-Go-Unga"sasa ameamua kufunga mahesabu ya Mwaka,ni wazi sasa "Katelephone" anaandaliwa zengwe ili adondoke!

"Ma-ajali -waa!" yamesakamwa toka pande zote za utamu,kuanzia "Asali- Ganga"
Mpaka "Msogee-Zenji"

Toka Boo-coo-bar... Mpaka "Do-do!-me"
"Ma-ajali-waa!" Anatafutwa kudondoshwa!

Sasa Wanamtaka Mama Saa-100, Avunje Nyumba ili tu.
Waondowe "Katelephone" kalikofungiwa ndani na "Makufuli."

Ni kwamba kwa sasa ni "katelephone"pekee "aliyebaki" miongoni mwa "Fenicha" zilizokuwa zimefungiwa kwa "Makufuli"

Sababu "Katelephone" kanaongea -ongea sana bila hata kubonyezwa "Button".
Na mbaya zaidi...kako karibu na Chumba anacholala Mama!

Ni ngumu misheni ya "twenti-thati"kukamilishwa bila kuondoa fenicha zilizokuwa zimefungwa na "Makufuli"
Sasa Zinafunguliwa kwa "Rosti- Tamu"
zinafungwa kwa
"Ma- Kamba" ya Ka- taani.

Ndio Maana "Kaa-Body" iliwekwa ndani ya Uzio.huku ikiwekewa
'KK-Guard"24×7×12.

"Look-Waive" iliwekwa ndani ya Uzio.huku ikiwekewa
"Kk-Guard" 24x7×7×12.

"Pale-pale" Pakasogezwa nje ya Uzio."huko "Mara-wii!".
Sasa panacheza Golf .

"Bash- Raw" ikawekwa mjengoni ili ijiwivishe yenyewe huku ikwa na 'Kk-Guard" 24×7x12..

"Kale-Maini" ikasogezwa 'Chai- toto" ipumzike!
Wakati Nguzo ya Taa- nee -sii -koo! ikifungwa Ma-kamba Mengine ili isinyanyuke kabla ya
"Sisi- Mbioni" nyingine ya Mjomba.

"Sio-Raw" ikapelekwa "Zoom-By-Bwey".

"My-be-Yo" Ikaachwa ipumzike bila kuchafua Bahari.
Maana Tufani ya Bahari ingeupukutisha kila Mnazi.

Na Fenicha zilizobakia zilizofungwa na "Makufuli" kwa Sasa,ni zile tu ambazo zimekubali kula "Asali"na "Rosti-Maini."

"Ma-ajali-liwaa!" yatatokea Kwa kwa "Kate-phone"kupasuka kioo!

Tanzania.....
"Tunacheka ya Kulia"
"Tunalia ya kucheka"

"Bottom-Up" yetu ni zaidi ya ile ya "Root-Raw" kule
"Kanye West"

Tobaa!

Alamsikhi.
10101.
Tumshukuru mtume
 
code izo ungetumia kuunda mabomu tungekuelewa sio unatuandikia umbea na micode kibao Kam unatak kueleweka andika vitu vinaeleweka kwa wasomaji acha ujuaji usio na maana
 
Dalili zote zipo wazi !!
The doomsday of the ancient 'Chama' will be inadvertent for accomplishment in 2024

*Five horizons shall facilitate the wreck of the crooks for a new page to be scrolled..........
1. Lake zone-----head (this shall prevail until the end of time)
2. South zone.......foot 9this shall prevail until the end of time
3. Coast & Isles zone........left arm (this is likely to interchange with number 4 depending on the skeleton standing position)
4.. West & Southern highland.........right arm
5. Central zone.............(this comprises of a chest, abdomen and backbone .encasing heart, liver, kidney, private parts, backbone neurology system)

In the absence of number 1 (Lake zone) Tanzania stands on the probability to disintegrate and become extinct
If you cut any of the arm or foot, the country shall prevail

The head and chest, abdomen & backbone are dependent on each other to sustain life therefore they are vital parameters to be respected in all midst. If the left, right arm, and foot stiffen their neck disputing with the former it is evident where the lapses shall take advantage to escalate the cold power scrambling that eventually leads to Tanzania's collapse due to gluttonous politicians who wrongly think they are the only chosen to rule the country.
 
'rosti tamu' ni nani hadi TISS wanakubali ujinga huu?
TISS ya akina Nyerere iko wapi kupambana na uharamia huu wa mtu?
Viongozi wenye maadili wako wapi kukemea huu upumbavu?
Eti makamba awe waziri mkuu! Hivi kweli tumefikia ktk ujinga mkubwa hivi kupewa ma failure watutawale sababu ya mtu apate kuchuma na kufanya ulaghai wa rasilimali za nchi?
Nawaza mashujaa Nyerere, Mkapa wangekuwa hai!
Viongozi mlio hai akina Warioba, Butiku, Mwandosya amkeni kukemea haya yanayoendelea!
 
'rosti tamu' ni nani hadi TISS wanakubali ujinga huu?
TISS ya akina Nyerere iko wapi kupambana na uharamia huu wa mtu?
Viongozi wenye maadili wako wapi kukemea huu upumbavu?
Eti makamba awe waziri mkuu! Hivi kweli tumefikia ktk ujinga mkubwa hivi kupewa ma failure watutawale sababu ya mtu apate kuchuma na kufanya ulaghai wa rasilimali za nchi?
Nawaza mashujaa Nyerere, Mkapa wangekuwa hai!
Viongozi mlio hai akina Warioba, Butiku, Mwandosya amkeni kukemea haya yanayoendelea!
Tusubiri tuone what is cooking!!
 
Yamekuwa ya kutishana tena duuh

Eti mguseni muone ,yawezekana wewe sio mtanzania. Yanayoendelea nchini huyaoni au wewe hauishi Tanzania ?

Tunahtaji kiongozi mwenye wivu wa maendeleo Kwa watu wake pia awe na uwezo wa kuwajibika anaposhindwa kutimiza wajibu wake
Taja hata majina mawili tu tuyapime kwamba nani anafaa. !!
 
Mwambie majaliwa yupo ila 2025 atapumzika na chama Chake,

Ndio anayo mapungufu kwani wanamsingizia, ila Sasa ukimpiga chini na kuteuliwa mwingine ni mzigo mkubwa kwa taifa, ukizingatia ccm inaenda kufa
Utabiri au Karma. ?
 
Sisi hatumkingii kifua tunauliza tu maana kama ni utendaji mbovu uko kila mahali wananchi wanalia mfumko wa bei, wanalia mgao wa maji, wanalia mgao wa umeme, wakulima wanakufa kwenye foleni wakisubiri mbolea za ruzuku, hospitali madawa hakuna
Wapo wawili wamepigiwa kelele weeeeee !! Lakini wapiii !! Ngoja tuone kwa huyu itakuwaje. !! ?
 
Mbona inaeleweka vizuri tu wala hamna code ya ajabu hapo.

Au nyie vichwa vyenu haviwezagi kuchakata mambo.
 
Kama mmeshasanua mchongo wao basi mission yao wataiahirisha!coz mmeshasanua Mpango kazi wao!!

Hawawezi tena kumtoa katelephone !!
Wenye Macho tunaona!,
"Rosti-Tamu"imeingia jikoni....asiyekubali kula. "Rosti-Tamu" Atafungwa na "Kamba" za "Makamba"

Naona "Mjomba" Cheff maarufu wa
"I-Go-Unga"sasa ameamua kufunga mahesabu ya Mwaka,ni wazi sasa "Katelephone" anaandaliwa zengwe ili adondoke!

"Ma-ajali -waa!" yamesakamwa toka pande zote za utamu,kuanzia "Asali- Ganga"
Mpaka "Msogee-Zenji"

Toka Boo-coo-bar... Mpaka "Do-do!-me"
"Ma-ajali-waa!" Anatafutwa kudondoshwa!

Sasa Wanamtaka Mama Saa-100, Avunje Nyumba ili tu.
Waondowe "Katelephone" kalikofungiwa ndani na "Makufuli."

Ni kwamba kwa sasa ni "katelephone"pekee "aliyebaki" miongoni mwa "Fenicha" zilizokuwa zimefungiwa kwa "Makufuli"

Sababu "Katelephone" kanaongea -ongea sana bila hata kubonyezwa "Button".
Na mbaya zaidi...kako karibu na Chumba anacholala Mama!

Ni ngumu misheni ya "twenti-thati"kukamilishwa bila kuondoa fenicha zilizokuwa zimefungwa na "Makufuli"
Sasa Zinafunguliwa kwa "Rosti- Tamu"
zinafungwa kwa
"Ma- Kamba" ya Ka- taani.

Ndio Maana "Kaa-Body" iliwekwa ndani ya Uzio.huku ikiwekewa
'KK-Guard"24×7×12.

"Look-Waive" iliwekwa ndani ya Uzio.huku ikiwekewa
"Kk-Guard" 24x7×7×12.

"Pale-pale" Pakasogezwa nje ya Uzio."huko "Mara-wii!".
Sasa panacheza Golf .

"Bash- Raw" ikawekwa mjengoni ili ijiwivishe yenyewe huku ikwa na 'Kk-Guard" 24×7x12..

"Kale-Maini" ikasogezwa 'Chai- toto" ipumzike!
Wakati Nguzo ya Taa- nee -sii -koo! ikifungwa Ma-kamba Mengine ili isinyanyuke kabla ya
"Sisi- Mbioni" nyingine ya Mjomba.

"Sio-Raw" ikapelekwa "Zoom-By-Bwey".

"My-be-Yo" Ikaachwa ipumzike bila kuchafua Bahari.
Maana Tufani ya Bahari ingeupukutisha kila Mnazi.

Na Fenicha zilizobakia zilizofungwa na "Makufuli" kwa Sasa,ni zile tu ambazo zimekubali kula "Asali"na "Rosti-Maini."

"Ma-ajali-liwaa!" yatatokea Kwa kwa "Kate-phone"kupasuka kioo!

Tanzania.....
"Tunacheka ya Kulia"
"Tunalia ya kucheka"

"Bottom-Up" yetu ni zaidi ya ile ya "Root-Raw" kule
"Kanye West"

Tobaa!

Alamsikhi.
10101.
 
Back
Top Bottom