Nani yuko nyuma ya Nape? Mbona ana dharau kiasi hiki?

Nani yuko nyuma ya Nape? Mbona ana dharau kiasi hiki?

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
7,914
Reaction score
10,793
Najaribu kufuatilia mijadara mingi sana ya Nape hasa kwenye mitandao.

Binafsi Nashindwa kumuelewa huyu kijana. Najiuliza maswali mengi sana.

1. Hajabarehe? Hajakua?

2. Anahati miliki na hii nchi?

Makuzi na malezi ya huyu kijana yananipa wasiwasi. Hajawahi kuwa na heshima hata siku Moja.

Tangu enzi zile alipokua anamchafua Lowasa, akaja lile sakata la kutaka kumchafua Mwendazake. Akafuatia kauli za kejeri zidi ya Polepole.

Sasa amepewa madaraka amekuwa kama mwehu Fulani. Kila siku kuwabagaza tu wenzie, hataki kukosolewa, anatukana watu hadharani.

Huyu ni waziri Mtumishi wa Umma. Kwa Nini atukane watu?

Mamlaka za uteuzi Huwa hazitoi seminar?

Nilitaka kupendekeza apumuzishwe, ila sizani kama itaeleweka kwa walamba Asali.

Screenshot_20220508-204246_1.jpg
 
Elezea matukio yaliyokukera kwa sasa! Alikuwa sahihi kwa Lowassa na pole pole kipindi husika. Lipi ulipendi kwa sasa, umeongea jumla jumla.
 
Kwanini awe na pressure kama anaropoka kila wakati na bado anapewa madaraka?

Hao jamaa wanachojua ni kujipendekeza kwa mamlaka yao ya uteuzi tu, wengine wote nje ya hapo hasa wanaoonesha kuwapinga hata kwa hoja, kwao ni wajinga tu.

Waache waringe kikundi cha wateule, wao kila awamu wanalamba asali tu.
 
Kuna matatizo yanakabili baadhi ya viongozi kwamba kuna baadhi wana tatizo la upungufu wa virutibisho vya bongo. Wanapopewa madaraka makubwa ubongo unapiga breki ukikumbuka tu karaha na matusi. Na usipoangalia ili kurahisisha maisha huweza hata kudhuru wengine ili wasipate changamoto za maswali kutoka kwa wananchi.
 
Kuna matatizo yanakabili baadhi ya viongozi kwamba kuna baadhi wana tatizo la upungufu wa virutibisho vya bongo. Wanapopewa madaraka makubwa ubongo unapiga breki ukikumbuka tu karaha na matusi. Na usipoangalia ili kurahisisha maisha huweza hata kudhuru wengine ili wasipate changamoto za maswali kutoka kwa wananchi.
Umeandika kwa hisia sana mkuu 😀😀
 
Najaribu kufuatilia mijadara mingi sana ya Nape hasa kwenye mitandao.

Binafsi Nashindwa kumuelewa huyu kijana. Najiuliza maswali mengi sana.

1. Hajabarehe? Hajakua?

2. Anahati miliki na hii nchi?

Makuzi na malezi ya huyu kijana yananipa wasiwasi. Hajawahi kuwa na heshima hata siku Moja.

Tangu enzi zile alipokua anamchafua Lowasa, akaja lile sakata la kutaka kumchafua Mwendazake. Akafuatia kauli za kejeri zidi ya Polepole.

Sasa amepewa madaraka amekuwa kama mwehu Fulani. Kila siku kuwabagaza tu wenzie, hataki kukosolewa, anatukana watu hadharani.

Huyu ni waziri Mtumishi wa Umma. Kwa Nini atukane watu?

Mamlaka za uteuzi Huwa hazitoi seminar?

Nilitaka kupendekeza apumuzishwe, ila sizani kama itaeleweka kwa walamba Asali.

View attachment 2217197
Ukisia chichiemu ina wenyewe uwe unaelewa
 
Kuna matatizo yanakabili baadhi ya viongozi kwamba kuna baadhi wana tatizo la upungufu wa virutibisho vya bongo. Wanapopewa madaraka makubwa ubongo unapiga breki ukikumbuka tu karaha na matusi. Na usipoangalia ili kurahisisha maisha huweza hata kudhuru wengine ili wasipate changamoto za maswali kutoka kwa wananchi.
Hakika. Kuna utapia mlo wa kitosha. Sema watu hawaelewi tu
 
Back
Top Bottom