Nani yuko nyuma ya Nape? Mbona ana dharau kiasi hiki?

Nani yuko nyuma ya Nape? Mbona ana dharau kiasi hiki?

Najaribu kufuatilia mijadara mingi sana ya Nape hasa kwenye mitandao.

Binafsi Nashindwa kumuelewa huyu kijana. Najiuliza maswali mengi sana.

1. Hajabarehe? Hajakua?

2. Anahati miliki na hii nchi?

Makuzi na malezi ya huyu kijana yananipa wasiwasi. Hajawahi kuwa na heshima hata siku Moja.

Tangu enzi zile alipokua anamchafua Lowasa, akaja lile sakata la kutaka kumchafua Mwendazake. Akafuatia kauli za kejeri zidi ya Polepole.

Sasa amepewa madaraka amekuwa kama mwehu Fulani. Kila siku kuwabagaza tu wenzie, hataki kukosolewa, anatukana watu hadharani.

Huyu ni waziri Mtumishi wa Umma. Kwa Nini atukane watu?

Mamlaka za uteuzi Huwa hazitoi seminar?

Nilitaka kupendekeza apumuzishwe, ila sizani kama itaeleweka kwa walamba Asali.

View attachment 2217197
Dogo kiburi sana. Ndio think tank wa sterling wetu..
 
Hao waache hivyo hivyo na viburi vyao.
 
Najaribu kufuatilia mijadara mingi sana ya Nape hasa kwenye mitandao.

Binafsi Nashindwa kumuelewa huyu kijana. Najiuliza maswali mengi sana.

1. Hajabarehe? Hajakua?

2. Anahati miliki na hii nchi?

Makuzi na malezi ya huyu kijana yananipa wasiwasi. Hajawahi kuwa na heshima hata siku Moja.

Tangu enzi zile alipokua anamchafua Lowasa, akaja lile sakata la kutaka kumchafua Mwendazake. Akafuatia kauli za kejeri zidi ya Polepole.

Sasa amepewa madaraka amekuwa kama mwehu Fulani. Kila siku kuwabagaza tu wenzie, hataki kukosolewa, anatukana watu hadharani.

Huyu ni waziri Mtumishi wa Umma. Kwa Nini atukane watu?

Mamlaka za uteuzi Huwa hazitoi seminar?

Nilitaka kupendekeza apumuzishwe, ila sizani kama itaeleweka kwa walamba Asali.

View attachment 2217197
Kutesa kwa zamu ndiyo mfumo wa utawala wa nchi hii

Ova
 
Huyo nafikiri hayupo sawa kiakili.Kwa kuwa Kikwete aliwahi kusema Mwenezi wetu hauwezi kujua ataongea kitu gani.Analopoka tu.Kwa ufupi hajitambui na hajielewi.Yupo yupo tu.Muda utamhukumu.

Angekuwa na akili mpaka sasa angekuwa amejifunza yale yaliyomkuta enzi ya Magufuli!! Ajue Dunia inazunguka yale yaliyomkuta yanaweza kujirudia na hapo hata kuwa na wa kumlaumu. Samia kama Magufuli sio Tanzanaia ,wanaweza kuondoka lakini Tanzania itaendelea kuwepo hivyo hana budi kuheshimu nchi na wenye nchi ambao ni raia. Asivimbe kichwa kama mtoto wa kambo.
 
Mzee Nnauye ndiye alitunga nyimbo za hamasa za Chama enzi za Chama kushika Hatamu.
Kwa hiyo kijana wake anakula matunda aliyoachiwa na mzee!

Hii timu ya akina Makamba, Nauye, Kinana, Samia inajulikana ilikotokea. Huu ni wakati wao hadi watakapokwaa kisiki.

Kisiki kipo, wavute subira tu watakifikia.
 
Kwa hiyo kijana wake anakula matunda aliyoachiwa na mzee!

Hii timu ya akina Makamba, Nauye, Kinana, Samia inajulikana ilikotokea. Huu ni wakati wao hadi watakapokwaa kisiki.

Kisiki kipo, wavute subira tu watakifikia.
Wachawi ni watu wenye roho mbaya sana ndo maana, kwa kiasikikubwa, maisha yao yanakuwa ya mateso tu siku zote!
 
Najaribu kufuatilia mijadara mingi sana ya Nape hasa kwenye mitandao.

Binafsi Nashindwa kumuelewa huyu kijana. Najiuliza maswali mengi sana.

1. Hajabarehe? Hajakua?

2. Anahati miliki na hii nchi?

Makuzi na malezi ya huyu kijana yananipa wasiwasi. Hajawahi kuwa na heshima hata siku Moja.

Tangu enzi zile alipokua anamchafua Lowasa, akaja lile sakata la kutaka kumchafua Mwendazake. Akafuatia kauli za kejeri zidi ya Polepole.

Sasa amepewa madaraka amekuwa kama mwehu Fulani. Kila siku kuwabagaza tu wenzie, hataki kukosolewa, anatukana watu hadharani.

Huyu ni waziri Mtumishi wa Umma. Kwa Nini atukane watu?

Mamlaka za uteuzi Huwa hazitoi seminar?

Nilitaka kupendekeza apumuzishwe, ila sizani kama itaeleweka kwa walamba Asali.

View attachment 2217197
Ujinga sio tusi
 
Back
Top Bottom