britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Nape kanyaga hivo hivo hadi CHAKUBANGA AKILI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo kiburi sana. Ndio think tank wa sterling wetu..Najaribu kufuatilia mijadara mingi sana ya Nape hasa kwenye mitandao.
Binafsi Nashindwa kumuelewa huyu kijana. Najiuliza maswali mengi sana.
1. Hajabarehe? Hajakua?
2. Anahati miliki na hii nchi?
Makuzi na malezi ya huyu kijana yananipa wasiwasi. Hajawahi kuwa na heshima hata siku Moja.
Tangu enzi zile alipokua anamchafua Lowasa, akaja lile sakata la kutaka kumchafua Mwendazake. Akafuatia kauli za kejeri zidi ya Polepole.
Sasa amepewa madaraka amekuwa kama mwehu Fulani. Kila siku kuwabagaza tu wenzie, hataki kukosolewa, anatukana watu hadharani.
Huyu ni waziri Mtumishi wa Umma. Kwa Nini atukane watu?
Mamlaka za uteuzi Huwa hazitoi seminar?
Nilitaka kupendekeza apumuzishwe, ila sizani kama itaeleweka kwa walamba Asali.
View attachment 2217197
Atajifunza tu mda ukifika , mwache kidog
Juzi alitutukana watanzania wote yaani.January nae majibu yake kule bungeni yanatisha.
Kwa mwenda zake sijawai kununua petrol zaid ya 2300, leo 3450,mbolea sijawai nunua zaidi ya 50000 leo ni 157,000 shenzy sana huu uongozi.Ni uongozi gani hali ilizidi kuwa rahisi mtaani ?
Kutesa kwa zamu ndiyo mfumo wa utawala wa nchi hiiNajaribu kufuatilia mijadara mingi sana ya Nape hasa kwenye mitandao.
Binafsi Nashindwa kumuelewa huyu kijana. Najiuliza maswali mengi sana.
1. Hajabarehe? Hajakua?
2. Anahati miliki na hii nchi?
Makuzi na malezi ya huyu kijana yananipa wasiwasi. Hajawahi kuwa na heshima hata siku Moja.
Tangu enzi zile alipokua anamchafua Lowasa, akaja lile sakata la kutaka kumchafua Mwendazake. Akafuatia kauli za kejeri zidi ya Polepole.
Sasa amepewa madaraka amekuwa kama mwehu Fulani. Kila siku kuwabagaza tu wenzie, hataki kukosolewa, anatukana watu hadharani.
Huyu ni waziri Mtumishi wa Umma. Kwa Nini atukane watu?
Mamlaka za uteuzi Huwa hazitoi seminar?
Nilitaka kupendekeza apumuzishwe, ila sizani kama itaeleweka kwa walamba Asali.
View attachment 2217197
Huyo nafikiri hayupo sawa kiakili.Kwa kuwa Kikwete aliwahi kusema Mwenezi wetu hauwezi kujua ataongea kitu gani.Analopoka tu.Kwa ufupi hajitambui na hajielewi.Yupo yupo tu.Muda utamhukumu.
Kwa hiyo kijana wake anakula matunda aliyoachiwa na mzee!Mzee Nnauye ndiye alitunga nyimbo za hamasa za Chama enzi za Chama kushika Hatamu.
Hiyoooo, mimba ya jk imeshajitokeza. Narudia, huyu jk kiboko!!Kinana, msoga
Hii hapa mimba nyingine ya jk imeshatokea. Narudia, jk alikuwa kiboko!Jakaya Mrisho Kikwete, yule rais fisadi wa awamu ya nne.
Wachawi ni watu wenye roho mbaya sana ndo maana, kwa kiasikikubwa, maisha yao yanakuwa ya mateso tu siku zote!Kwa hiyo kijana wake anakula matunda aliyoachiwa na mzee!
Hii timu ya akina Makamba, Nauye, Kinana, Samia inajulikana ilikotokea. Huu ni wakati wao hadi watakapokwaa kisiki.
Kisiki kipo, wavute subira tu watakifikia.
Ujinga sio tusiNajaribu kufuatilia mijadara mingi sana ya Nape hasa kwenye mitandao.
Binafsi Nashindwa kumuelewa huyu kijana. Najiuliza maswali mengi sana.
1. Hajabarehe? Hajakua?
2. Anahati miliki na hii nchi?
Makuzi na malezi ya huyu kijana yananipa wasiwasi. Hajawahi kuwa na heshima hata siku Moja.
Tangu enzi zile alipokua anamchafua Lowasa, akaja lile sakata la kutaka kumchafua Mwendazake. Akafuatia kauli za kejeri zidi ya Polepole.
Sasa amepewa madaraka amekuwa kama mwehu Fulani. Kila siku kuwabagaza tu wenzie, hataki kukosolewa, anatukana watu hadharani.
Huyu ni waziri Mtumishi wa Umma. Kwa Nini atukane watu?
Mamlaka za uteuzi Huwa hazitoi seminar?
Nilitaka kupendekeza apumuzishwe, ila sizani kama itaeleweka kwa walamba Asali.
View attachment 2217197