Nani yuko nyuma ya Nape? Mbona ana dharau kiasi hiki?

Nani yuko nyuma ya Nape? Mbona ana dharau kiasi hiki?

Bashite na Musiba nani alikua nyuma yao?

Sitetei ujinga ila tujue nani pia alikua nyuma ya hao watu?
 
Hawa ndio wanajiona wana hatimiliki ya nchi hii na kwamba wengine si lolote si chochote their days are counted.

To hell with 'em.
 
Kumbukeni Nape alishasema chama kina wenyewe sasa mnakalamuka nini na anajuwa hata iweje chama dola bila kupigiwa kura lazima kirudi madarakani! Mkitaka kuamini subirini 2025 hao ndiyo watakaopita kwa wakuu wa mikoa na makamanda wa polisi pamoja na usalama wa taifa wa mikoa kuwaambia watangaze wanayemtaka na kama wakishindwa basi kazi wasugue benchi makao yao makuu kwa mkuu wa mkoa ndoo kazi itakuwa imeishia hapo. Na mnavyojuwa watanzania wengi njaa imetawala ubongo siyo rahisi mtu kumwaga mboga na ugali kirahisi.[emoji29][emoji29][emoji29][emoji29]
 
Sisi watanzania ni wajinga ndio maana tunakuwa na viongozi mapopoma kama hawa madarakani.
 
Najaribu kufuatilia mijadara mingi sana ya Nape hasa kwenye mitandao.

Binafsi Nashindwa kumuelewa huyu kijana. Najiuliza maswali mengi sana.

1. Hajabarehe? Hajakua?

2. Anahati miliki na hii nchi?

Makuzi na malezi ya huyu kijana yananipa wasiwasi. Hajawahi kuwa na heshima hata siku Moja.

Tangu enzi zile alipokua anamchafua Lowasa, akaja lile sakata la kutaka kumchafua Mwendazake. Akafuatia kauli za kejeri zidi ya Polepole.

Sasa amepewa madaraka amekuwa kama mwehu Fulani. Kila siku kuwabagaza tu wenzie, hataki kukosolewa, anatukana watu hadharani.

Huyu ni waziri Mtumishi wa Umma. Kwa Nini atukane watu?

Mamlaka za uteuzi Huwa hazitoi seminar?

Nilitaka kupendekeza apumuzishwe, ila sizani kama itaeleweka kwa walamba Asali.

View attachment 2217197
Ccm. Ni mali yao
 
Hajitambui yupo yupo tu wakati yeye ni Waziri na wewe unapuyanga?
Ww ndio una akili ndogo Kama punje ya mchele.Sio wote waliomo humu wanapuyanga.Tupo kutetea maslahi endelevu ya Taifa.Tuna professional zetu za uhakika.Huo uwazir unatolewa na mtu dak moja.Lakin Professional yangu nitazeeka nakula tu .Wewe na Nape hamjitambui.
 
Kipindi cha mukubwa JPM alitembea kwa magoti huyu toka getini ikulu mpaka ikulu house.
Na akaomba msamaha live.
Na JPM akamrudisha kundini.
Kuna Njanuary hatujui alitembea kwa magoti sa ngapi labda akiongozana na babaake.
Kuna huyu Mwichemba baada ya kuchunga kondoo sana kwao nduguti huko alipiga na kutembea magoti sa ngapi.
Wote JPM aliwasamehe na akawarudisha kwenye system.
Angewabwaga msingekuwa hapo msimtukane marehemu.
 
Wanash
Kipindi cha mukubwa JPM alitembea kwa magoti huyu toka getini ikulu mpaka ikulu house.
Na akaomba msamaha live.
Na JPM akamrudisha kundini.
Kuna Njanuary hatujui alitembea kwa magoti sa ngapi labda akiongozana na babaake.
Kuna huyu Mwichemba baada ya kuchunga kondoo sana kwao nduguti huko alipiga na kutembea magoti sa ngapi.
Wote JPM aliwasamehe na akawarudisha kwenye system.
Angewabwaga msingekuwa hapo msimtukane marehemu.

Wanashindana na marehemu, siku akifufuka watatafutana
 
Najaribu kufuatilia mijadara mingi sana ya Nape hasa kwenye mitandao.

Binafsi Nashindwa kumuelewa huyu kijana. Najiuliza maswali mengi sana.

1. Hajabarehe? Hajakua?

2. Anahati miliki na hii nchi?

Makuzi na malezi ya huyu kijana yananipa wasiwasi. Hajawahi kuwa na heshima hata siku Moja.

Tangu enzi zile alipokua anamchafua Lowasa, akaja lile sakata la kutaka kumchafua Mwendazake. Akafuatia kauli za kejeri zidi ya Polepole.

Sasa amepewa madaraka amekuwa kama mwehu Fulani. Kila siku kuwabagaza tu wenzie, hataki kukosolewa, anatukana watu hadharani.

Huyu ni waziri Mtumishi wa Umma. Kwa Nini atukane watu?

Mamlaka za uteuzi Huwa hazitoi seminar?

Nilitaka kupendekeza apumuzishwe, ila sizani kama itaeleweka kwa walamba Asali.

View attachment 2217197

Pengine huyu ni toleo jipya la akina Makonda na Sabaya. Acha tuupe muda nafasi.
 
Najaribu kufuatilia mijadara mingi sana ya Nape hasa kwenye mitandao.

Binafsi Nashindwa kumuelewa huyu kijana. Najiuliza maswali mengi sana.

1. Hajabarehe? Hajakua?

2. Anahati miliki na hii nchi?

Makuzi na malezi ya huyu kijana yananipa wasiwasi. Hajawahi kuwa na heshima hata siku Moja.

Tangu enzi zile alipokua anamchafua Lowasa, akaja lile sakata la kutaka kumchafua Mwendazake. Akafuatia kauli za kejeri zidi ya Polepole.

Sasa amepewa madaraka amekuwa kama mwehu Fulani. Kila siku kuwabagaza tu wenzie, hataki kukosolewa, anatukana watu hadharani.

Huyu ni waziri Mtumishi wa Umma. Kwa Nini atukane watu?

Mamlaka za uteuzi Huwa hazitoi seminar?

Nilitaka kupendekeza apumuzishwe, ila sizani kama itaeleweka kwa walamba Asali.

View attachment 2217197
Analindwa na Mze wa kubembea Jamaika, Msomali wa Tanga, Mze wa ACT, Membe.
 
Back
Top Bottom