Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msumarii, " Tie will tell"kuna vijana wa viongozi wa taifa hili wastaafu na walioko madarakani wanaamini nchi hii wana hati miliki
"TIME WILL TELL"
Mnyonge-msukule naona unatema ulichokaririshwa na jamaa yenu. Hahahaaaaaa, mnachekesha sana!Kwa ufisadi
Hahahaha wivu tuUmeona lini Nape akafanya vizuri?
Taja hata kimoja?
Huyo anafanya vitu kwa ajili yake binafsi.
Nape hana lolote hapa nchini.
Hawa jamaa wafuasi wa Kinje wanazidi kuchanganyikiwaMnyonge-msukule naona unatema ulichokaririshwa na jamaa yenu. Hahahaaaaaa, mnachekesha sana!
Suala la makuzi nami nimekuwa najiuliza sana hasa historia yake na mdomo wake.Makuzi na malezi ya huyu kijana yananipa wasiwasi. Hajawahi kuwa na heshima hata siku Moja
State criminal syndicate iliyomuua magufuli ikasingizia tatizo la moyoNajaribu kufuatilia mijadara mingi sana ya Nape hasa kwenye mitandao.
Binafsi Nashindwa kumuelewa huyu kijana. Najiuliza maswali mengi sana.
1. Hajabarehe? Hajakua?
2. Anahati miliki na hii nchi?
Makuzi na malezi ya huyu kijana yananipa wasiwasi. Hajawahi kuwa na heshima hata siku Moja.
Tangu enzi zile alipokua anamchafua Lowasa, akaja lile sakata la kutaka kumchafua Mwendazake. Akafuatia kauli za kejeri zidi ya Polepole.
Sasa amepewa madaraka amekuwa kama mwehu Fulani. Kila siku kuwabagaza tu wenzie, hataki kukosolewa, anatukana watu hadharani.
Huyu ni waziri Mtumishi wa Umma. Kwa Nini atukane watu?
Mamlaka za uteuzi Huwa hazitoi seminar?
Nilitaka kupendekeza apumuzishwe, ila sizani kama itaeleweka kwa walamba Asali.
View attachment 2217197
Anasahau ule mwendo na kitambi chake kwenye ofisi namba moja.Kwamba kajisahau
Wakati wa Mzee alikuwa chwiiiiiii...! Kufa kufaana...!Najaribu kufuatilia mijadara mingi sana ya Nape hasa kwenye mitandao.
Binafsi Nashindwa kumuelewa huyu kijana. Najiuliza maswali mengi sana.
1. Hajabarehe? Hajakua?
2. Anahati miliki na hii nchi?
Makuzi na malezi ya huyu kijana yananipa wasiwasi. Hajawahi kuwa na heshima hata siku Moja.
Tangu enzi zile alipokua anamchafua Lowasa, akaja lile sakata la kutaka kumchafua Mwendazake. Akafuatia kauli za kejeri zidi ya Polepole.
Sasa amepewa madaraka amekuwa kama mwehu Fulani. Kila siku kuwabagaza tu wenzie, hataki kukosolewa, anatukana watu hadharani.
Huyu ni waziri Mtumishi wa Umma. Kwa Nini atukane watu?
Mamlaka za uteuzi Huwa hazitoi seminar?
Nilitaka kupendekeza apumuzishwe, ila sizani kama itaeleweka kwa walamba Asali.
View attachment 2217197
Na ndiyo maana tunapiga hatua mbili mbele halafu awamu inayofuata tunarudi hatua nne nyuma, je Tutafika??Kutesa kwa zamu ndiyo mfumo wa utawala wa nchi hii
Ova
HpnNa ndiyo maana tunapiga hatua mbili mbele halafu awamu inayofuata tunarudi hatua nne nyuma, je Tutafika??